bulajunior
JF-Expert Member
- Oct 14, 2024
- 302
- 434
Jamaa ana point lkn anaonekana kujiona ana akili kuliko wote yeye aseme watu tuzae kwa kiwango ambacho tunaweza kuwapa huduma na sio kufyatua tu km unavosemaWhat if, wazazi wako wasingekuleta duniani kwa kumfikiria dhana hiyo na ikizingatiwa wewe si mtoto wa kwanza, usiogope majukumu we fyatua tu maana Mungu na shetani wanatupia jicho hapo hapo.