Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
IGP Sirro na ubilionea wake wote ana watoto watatu tu.Kama tajiri anazaa mtoto mmoja, wawili au watatu.
Wewe kapuku maskini choka mbaya, Utazaaje watoto wengi halafu useme ni baraka?
Hivi unafikiri sawa sawa kweli?