Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
na panyarodiiKabisa , ni kuongeza tu idadi ya majambazi duniani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na panyarodiiKabisa , ni kuongeza tu idadi ya majambazi duniani.
Kuzaliwa kwenye mazingira magumu sio kigezo cha wanao waje kuzaliwa kwenye mazingira magumu vilevile.
Kama mtu ulizaliwa kwenye mazingira magumu, Fahamu kwamba wazazi wako walikuwa wajinga, wazembe na wapumbavu.
Hawaku jipanga vizuri kabla ya kukuzaa wewe.
Utajiri haupo shule, bali ni kutoka kwa Mungu,. Kuna wasomi wangapi Tanzania, Nigeria, South Africa, etc. masikini kama wewe lakini waliofeli shule ndio matajiri? Usikariri maisha!Usiwe na kipato halafu zaa watoto tuone kama hizo baraka zitalipa bills.
Kama tajiri anazaa mtoto mmoja, wawili au watatu.Mtoa uzi bila shaka umeandika huu uzi ukiwa umepiga moja moto moja baridi..au umepiga ngumu kumeza nyepesi kumekesuka...mbona matajiri wengi unakuta wanawatoto 2, Mmoja au hawana kabisa mtoto hao ndo wenye akili? mtoto ni baraka.
Hii kuzaa bila mipango inaleta majambazi na makahaba sana kwa kisingizio mtoto ni baraka .na panyarodii
Hakuna Mungu anayetoa utajiri. Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.Utajiri haupo shule, bali ni kutoka kwa Mungu,.
Una elewa nilicho andika?Kuna wasomi wangapi Tanzania, Nigeria, South Africa, etc. masikini kama wewe lakini waliofeli shule ndio matajiri?
Ifafanue hiyo Baraka tuoneInaonekana mleta mada hakupata malezi bora . Pia , ndio maana huwa anapinga uwepo wa Mungu .
Mtoto ni baraka.
Makahaba woote almost wote wametoka kwenye familia zilizochoka hasa kwa kuzaana kama panya huku uwezo wa uchumi kidogoHii kuzaa bila mipango inaleta majambazi na makahaba sana kwa kisingizio mtoto ni baraka .
Hizi ni speculations zako tu.Inaonekana mleta mada hakupata malezi bora
. Pia , ndio maana huwa anapinga uwepo wa Mungu .
Zaa watoto halafu tuone kama hizo baraka zitalipa bills.Mtoto ni baraka.
Mtu dhaifu kiuchumi na kisaikolojia hapa JF na Twitter (X) si salama kwake. Humu kila mtu yuko vizuri kiuchumi na hatuyumbishwi na chochote yakiwemo mapenzi.Hii kauli inamfanya mtu mmoja anajitoa uhai muda huu
Acha hivyo mkuu wewe hujengi, unabomoa.Nyie wazungu wa kuchovya kaeni na uzungu wenu Koko, sie waafrika kwetu watoto ni baraka nakila mtoto anakuja na riziki zake duniani. Umeshafanya utafiti kwa matajiri wakubwa duniani pamoja na viongozi wakubwa walitokea kwenye familia gani?
100% trueHakuna Mungu anayetoa utajiri. Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
Una elewa nilicho andika?
Kweli mkuu. Makahaba wengi wametoka familia fukara mno.Makahaba woote almost wote wametoka kwenye familia zilizochoka hasa kwa kuzaana kama panya huku uwezo wa uchumi kidogo
Atakuja na kiingereza kwenye hii commentInaonekana mleta mada hakupata malezi bora . Pia , ndio maana huwa anapinga uwepo wa Mungu .
Mtoto ni baraka.
Sometimess ukiwaza, yaani unazaliwa ili uje kucharangwa mapanga na chama fulani?Kuna faida gani mtu kuzaa, AU kuna faida gani mtu kuzaliwa?? HAKUNA, ni upepo mtupu.
NI ujinga kuibeba challenge ambayo ambayo hauna mkakati wa kuikabili eti kwa sababu tu wewe ni mwanaume.mwanaume hajaumbwa kuogopa challenges. mwanaume ameumbwa kukumbatia changamoto na kusonga mbele.
huwezi kusema unaogopa kuitwa baba kisa huna hela
wewe kama mwanaume ukifika miaka 30 hakikusha una baby boy miaka wa mika 3
Haijalishi tajiri fulani alitoka kwenye familia ya kimaskini. Hupaswi kuzaa watoto waje wateseke na umaskini wako.Nyie wazungu wa kuchovya kaeni na uzungu wenu Koko, sie waafrika kwetu watoto ni baraka nakila mtoto anakuja na riziki zake duniani. Umeshafanya utafiti kwa matajiri wakubwa duniani pamoja na viongozi wakubwa walitokea kwenye familia gani?
Yaani ukiwaona wanajiuza unaweza ukawadharau na kwabagua lakini ukichimba ndani historia wakikupa unalia na machozi.Kweli mkuu. Makahaba wengi wametoka familia fukara mno.