bulajunior
JF-Expert Member
- Oct 14, 2024
- 302
- 434
Jamaa ana point lkn anaonekana kujiona ana akili kuliko wote yeye aseme watu tuzae kwa kiwango ambacho tunaweza kuwapa huduma na sio kufyatua tu km unavosemaWhat if, wazazi wako wasingekuleta duniani kwa kumfikiria dhana hiyo na ikizingatiwa wewe si mtoto wa kwanza, usiogope majukumu we fyatua tu maana Mungu na shetani wanatupia jicho hapo hapo.
atalelewa na mama yake!Bora ukose mtoto, kuliko ulete mtoto duniani halafu ushindwe kumlea.
Don't come to vomit your nonsense here. Make sure you are mentally enough to think and reason properly and critically.Wewe ni among witches bila shaka
You are the one who vomited first mjombaDon't come to vomit your nonsense here. Make sure you are mentally enough to think and reason properly and critically.
Kuna wengine wanasiri nzito moyoni wengine hawawezi kumpa mwanamke mimba sasa anajifanya anatoa ushauri huku akitukana Sana! Japo siwakatalii kuzaa kwa mpango ni vyema zaidiBora ukose mtoto, kuliko ulete mtoto duniani halafu ushindwe kumlea.
Find someone of your league to parallel your mediocrity.You are the one who vomited first mjomba
Wewe mbona ulizaliwa?Kuzaa ni kuendeleza mzunguko wa mateso duniani.
Kuna faida gani mtu kuzaa, AU kuna faida gani mtu kuzaliwa?? HAKUNA, ni upepo mtupu.
Ukizaliwa unapata faida gani? Unazaa ili iweje?
Kwa mfano lijitu kama Lucas Mwashambwa lina faida gani duniani?
Cc: secretarybird Lloyd Munroe Poor Brain Mbaga Jr
PerfectUnavyo pambania na kuhakikisha unaitwa baba, Pambana na hakikisha unakuwa vizuri kiuchumi vilevile.
Kigezo cha kuitwa "baba" halafu wewe ni maskini choka mbaya ni kuendeleza cycle ya umaskini na kizazi chako.
The PrinceKuzaa ni baraka
Naunga mkono . Watoto wengi wanapitia mateso sababu ya starehe za wazazi wapumbaavuBora ukose mtoto, kuliko ulete mtoto duniani halafu ushindwe kumlea.
Jifariji..... nimetokea familia maskini siwezi kurudia kosaNyie wazungu wa kuchovya kaeni na uzungu wenu Koko, sie waafrika kwetu watoto ni baraka nakila mtoto anakuja na riziki zake duniani. Umeshafanya utafiti kwa matajiri wakubwa duniani pamoja na viongozi wakubwa walitokea kwenye familia gani?
Kuzaliwa kwenye mazingira magumu sio kigezo cha wanao waje kuzaliwa kwenye mazingira magumu vilevile.Ukute wewe tu ulizaliwa mazingira magumu mno lakini leo hii nawewe unasema hivi
Ndiyo maana kwa kiasi kikubwa huwa ninakubaliana na wazungu wanaotuita waafrika nyani au sokwe.Kuzaa ni kuendeleza mzunguko wa mateso duniani.
Kuna faida gani mtu kuzaa, AU kuna faida gani mtu kuzaliwa?? HAKUNA, ni upepo mtupu.
Ukizaliwa unapata faida gani? Unazaa ili iweje?
Kwa mfano lijitu kama Lucas Mwashambwa lina faida gani duniani?
Cc: secretarybird Lloyd Munroe Poor Brain Mbaga Jr