Watoto ni gharama si baraka. Kabla hujafikiria kuzaa watoto tambua hili mapema

Ngoja afike miaka 55 na huyo mtoto wake mmoja
 
Baraka ni nini tuanzie hapo?
Baraka ni imaginations just an illusion.

Baraka ni msemo uchwara.
Kwa taarifa yako hakuna kitu chenye thamani ambacho utakipata bure bila kukigharamia kukipata, kukigharamia kukimudu na kukiendesha! Fikiria Simu, gari, nyumba, TV, mke, nk. Na mtoto vivyo hivyo!
Na mtoto ni gharama hivyo hivyo.

Utahitaji kumsomesha, kumtibu, kumlisha, kumvisha, kumpa makazi.

Zote hizi ni gharama si baraka.

Una elewa hilo?
 
Umetudanganya......mzee wako alikuwa anapenda kutomba tu na si vinginevyo na wengine mlizaliwa kama matokeo tu na wala hakuwa amepanga
Ni kweli kabsa maana moja ya kazi msingi ya dhakari ni kutomba sio kujichua! Utajiri wa mtu timamu ni uzao wake!
Ngoja afike miaka 55 na huyo mtoto wake mmoja
Tatizo Waafrik wengi wakiona maisha ya Watu wa Magharibi wanadhani ni kitu kizuri. Ukienda MorningStar Senior Living pamoja na Crimson Village kukutana na vizee vyenye miaka 60+ wakiwa hawana watoto, wanalelewa na kutunza. Ukipata watoto wako wanne au watatu na wao wakapata watoto, he unadhani utaanza kufikiria kupata mawazo ya suicide!? Wakati kuna watu wanakutazama!??
 
mwanaume hajaumbwa kuogopa challenges. mwanaume ameumbwa kukumbatia changamoto na kusonga mbele.

huwezi kusema unaogopa kuitwa baba kisa huna hela

wewe kama mwanaume ukifika miaka 30 hakikusha una baby boy miaka wa mika 3
Miaka 21-26 unazaa mtoto ili iweje una wahi wapi??
 

Umechangqnya vitu vi 2 sababu huna akili, kama watoto ni baraka sio kwamba watazaliwa bila midomo ili wasile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…