Generations lazima ziwepo otherwise wasingezaliwa watu kabla ya Uhuru wa TZ Kwa sasa kusingekua na watu,muhimu ni kuzaa utakaowaweza wasimamiaNianze kwa kusema Watoto si Baraka, Watoto ni Gharama.
Kabla hujafikiria kuleta kiumbe kwenye hii dunia tambua hili mapema.
Kabla ya kufikiria kuzaa watoto hapa duniani, Kaa chini wewe na mwenza wako mpange kabisa namna mtakavyo lea na kuhudumia watoto wenu hadi watakapo fika umri wa kujitegemea.
Kuna maelfu ya watoto maskini wanateseka sana hapa duniani kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu wa wazazi wanao zaa hovyo hovyo kama mapanya bila malengo wala uwezo wa kutoa huduma na malezi.
Na hili ni janga kubwa sana kwa nchi maskini hasa barani Afrika.
Mtu maskini akizaa mtoto anaongeza maskini mwingine duniani na anaipa serikali mzigo mzito wa kugharamia ujinga wake na umaskini wa kizazi chake.
Wazazi maskini huzaa watoto kwa dhana uchwara kwamba
"watoto ni baraka" Lakini ndio haohao wa kwanza kutekeleza familia zao, kukwepa majukumu na uwajibikaji na wengine hufikia hatua hadi ya kuua au kujiua wao na familia zao kwa kigezo kwamba maisha ni magumu.
Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hili dunia, Tambua kwamba, Maisha hayajawahi kuwa marahisi, Maisha si rahisi na Maisha hayatakuja kuwa marahisi kwa watu wazembe, wajinga na maskini.
Ewe kijana kabla hujafungua hiyo zipu yako kuleta watoto, Tambua kwamba Dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako. Jipange na hakikisha uko vizuri kiuchumi.
Ewe binti kabla hujapanua hayo mapaja, tambua kwamba dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako.
Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hii dunia, tambua kwamba una wajibu wa kuhudumia na kulea hicho kiumbe wewe mwenyewe, Sio kulia lia kuanza kusumbua watu, ndugu, jamaa na marafiki wakusadie malezi, pesa au mahitaji kwa wanao uliozaa wewe mwenyewe.
Mwanaume kama unajua huna uwezo wa kuhudumia funga hiyo zipu. Mwanamke kama unajua huna uwezo wa kuhudumia usivue chupi.
Hakuna mtu anakusaidia kuzaa watoto kwenye hii dunia.Vivyo hivyo Usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.
Watoto si baraka, Na Hakuna Mungu wa kuja kukusaidia kulea wanao. Kama una hii dhana futa huko kichwani. Ukishaleta mtoto kwenye hii dunia tambua kwamba wewe mwenyewe ndiye utawajibika kuhudumia.
This world 🌍 is not for the weak, ignorant, lazy and poor people.
You either go hard, go home or you die.
In the jungle of life salvation is largely on your hands.
Hakuna Mtu au Mungu wa kukuhurumia wewe na kizazi chako.
I'm out.
kabisa, hiyo sahani inabidi iwekwe chakula x3 kwa siku ale asifeWaswahili wanasema kila mtoto anakuja na sahani yake
Wanaokufa ni wachache kuliko wanaozaliwa ndio maana binadamu tunaongezeka duniani.Kama anataka ijae mbona watu wanakufa? Tumia akili
😅Wanasemaga God will provideUsiwe na kipato halafu zaa watoto tuone kama hizo baraka zitalipa bills.
Njia ambayo Adam alikuja ilimpasa kuwepo malighafi hizo Mkuu! Adam na Hawa hawakuingia dunia through reproductive organ! Ila kuanzia Kaini na Abel pamoja na Seth huko mbele ndo walianza kupita njia hiziKasome mwanzo Mungu aliandaa nini kabla ya kumleta Adam ulimwenguni
Kuna haja gani watu kufa kama lengo ni kuijaza Dunia?Wanaokufa ni wachache kuliko wanaozaliwa ndio maana binadamu tunaongezeka duniani.
Na huyo God wao anayetegemewa ku provide, Hajawahi kuwa provide chochote kile.😅Wanasemaga God will provide
Hukatazwi kuzaa. Wewe ukitaka zaa hata watoto 20. Ila uwe na uwezo wa kuwahudumia.Generations lazima ziwepo otherwise wasingezaliwa watu kabla ya Uhuru wa TZ Kwa sasa kusingekua na watu,muhimu ni kuzaa utakaowaweza wasimamia
Kaini na Abel wamerithi mali kutoka kwa wazazi wao. Wakati saivi wanaume kibao wanakufa wanaacha madeni na watoto wao wanaenda kuishi mtaani.Njia ambayo Adam alikuja ilimpasa kuwepo malighafi hizo Mkuu! Adam na Hawa hawakuingia dunia through reproductive organ! Ila kuanzia Kaini na Abel pamoja na Seth huko mbele ndo walianza kupita njia hizi
Mkuu! Unadhani kila mtu anaishi kwenye hizi fikra za kukataa kuzaa!? Tembea uone interior ndani ndani huko uond watu wanavyotumia mbegu na mayai yao kushusha watoto.Kaini na Abel wamerithi mali kutoka kwa wazazi wao. Wakati saivi wanaume kibao wanakufa wanaacha madeni na watoto wao wanaenda kuishi mtaani.
Hii generation haiwezi kuziishi falsafa za vizazi vilivyopita kwasababu za kimazingira. Zamani swala la kuoa ni la wazazi wako wewe kwanzia kutafuta mke hadi gharama za ndoa
Zamani mke ndiye atahakikisha mji wake hauna njaa kwa kulima kwa bidii, zamani unakatiwa eneo ujenge uishi na familia yako.
SahihiThis world 🌍 is not for the weak, ignorant, lazy and poor people.
You either go hard, go home or you die.
In the jungle of life salvation is largely on your hands.
Hakuna Mtu au Mungu wa kukuhurumia wewe na kizazi chako.
Kabisa!Hukatazwi kuzaa. Wewe ukitaka zaa hata watoto 20. Ila uwe na uwezo wa kuwahudumia.
Cha msingi usisumbue watu kuomba msaada.
UNA AKILI SANA.Kuna haja gani watu kufa kama lengo ni kuijaza Dunia?
Huna akiliNyie wazungu wa kuchovya kaeni na uzungu wenu Koko, sie waafrika kwetu watoto ni baraka nakila mtoto anakuja na riziki zake duniani. Umeshafanya utafiti kwa matajiri wakubwa duniani pamoja na viongozi wakubwa walitokea kwenye familia gani?, na wasanii maarufu
Sizungumzii kukataa kuzaa, nazungumzia kujipanga kabla ya kuzaa.Mkuu! Unadhani kila mtu anaishi kwenye hizi fikra za kukataa kuzaa!? Tembea uone interior ndani ndani huko uond watu wanavyotumia mbegu na mayai yao kushusha watoto.
Nakubalian na hoja kuwa dunia imebadilika ila haina maana kwamba watu wasizae kisa tu maisha yana ugumu wake.
Sio familia zote wako hivyo ila kulea mtoto kwenye poverty kwangu mimi ni uongoKuna wale wazazi wana uwezo, wana kila kitu. Wanazaa wtt wawili au watatu. Wanaprovide vizuri tu kwa kila kitu chao.
Lkn wanashindwa kwenye malezi yenye maadili mema. Mtu ana mtt mmoja au wawili tu lkn wanakuwa wahuni, mashoga, wasagaji, wala unga n.k
Hawa mie ndio huwa nalia nao. Maana na wao sijui tuseme pia wasizae!?
Kwa kweli kuna nchi ambazo wao kuzaa ni furaha zaidi kwa sababu serikali zao zinawalipa kwa kuzaa watoto kama baadhi ya nchi za uarabuni nilizokaa
Ila kuna wengine pia kama nchi za Ulaya ambapo wao wanapewa kila kitu na serikali zao ila hawazai watoto wengi na ndio maana kila leo wakimbizi wanaingia kwao na kupokelewa kufanya kazi ambazo ni za kumwaga
Ila pia wapo ambao wana watoto wawili au mmoja tu na wakifika miaka 18 huondoka makwao wengi wao au wachangie gharama za nyumbani kama bills zote
Ila pia wazee wakizeeka nao wanaenda kutupwa sehemu za kulelea wazee mpaka wanapokufa
Sisi waafrika ni tofauti hatujielewi kabisa ni kama wanyama tu
Serikali hazina jitihada za kuondokana na umasikini
Na wananchi wanamalizia hasira kuzaa akijua kabisa hana hata ajira
Kweli unauza maji ndoo buku jero unategemea ukalishe familia ya watoto wengi kama fox anaetoka na kwenda kurandaranda na kuwinda
Unakuta nchi masikini inajisifia kwa ongezeko la watu katika miji yao ila ajira hakuna sasa hawa watu wana faida gani na nchi kama ajira zenyewe hakuna?
Una hoja usikilizwe