Watoto ni gharama si baraka. Kabla hujafikiria kuzaa watoto tambua hili mapema

Watoto ni gharama si baraka. Kabla hujafikiria kuzaa watoto tambua hili mapema

Maelfu ya watoto wadogo wasio na hatia yeyote ile wamekufa na wanaendelea kufa huko mashariki ya kati.

Hii inadhihirisha wazi kwamba, Hakuna Mungu wa kuhurumia au kusaidia kitu au mtu yeyote yule.

Kila mtu hapa duniani atajipambania yeye na kizazi chake, yeye mwenyewe.

Hakuna Mungu wa kusaidia chochote kile.
View attachment 3166761
Ut
Nianze kwa kusema Watoto si Baraka, Watoto ni Gharama.
Kabla hujafikiria kuleta kiumbe kwenye hii dunia tambua hili mapema.

Kabla ya kufikiria kuzaa watoto hapa duniani, Kaa chini wewe na mwenza wako mpange kabisa namna mtakavyo lea na kuhudumia watoto wenu hadi watakapo fika umri wa kujitegemea.

Kuna maelfu ya watoto maskini wanateseka sana hapa duniani kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu wa wazazi wanao zaa hovyo hovyo kama mapanya bila malengo wala uwezo wa kutoa huduma na malezi.

Na hili ni janga kubwa sana kwa nchi maskini hasa barani Afrika.

Mtu maskini akizaa mtoto anaongeza maskini mwingine duniani na anaipa serikali mzigo mzito wa kugharamia ujinga wake na umaskini wa kizazi chake.

Wazazi maskini huzaa watoto kwa dhana uchwara kwamba
"watoto ni baraka" Lakini ndio haohao wa kwanza kutekeleza familia zao, kukwepa majukumu na uwajibikaji na wengine hufikia hatua hadi ya kuua au kujiua wao na familia zao kwa kigezo kwamba maisha ni magumu.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hili dunia, Tambua kwamba, Maisha hayajawahi kuwa marahisi, Maisha si rahisi na Maisha hayatakuja kuwa marahisi kwa watu wazembe, wajinga na maskini.

Ewe kijana kabla hujafungua hiyo zipu yako kuleta watoto, Tambua kwamba Dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako. Jipange na hakikisha uko vizuri kiuchumi.

Ewe binti kabla hujapanua hayo mapaja, tambua kwamba dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hii dunia, tambua kwamba una wajibu wa kuhudumia na kulea hicho kiumbe wewe mwenyewe, Sio kulia lia kuanza kusumbua watu, ndugu, jamaa na marafiki wakusadie malezi, pesa au mahitaji kwa wanao uliozaa wewe mwenyewe.

Mwanaume kama unajua huna uwezo wa kuhudumia funga hiyo zipu. Mwanamke kama unajua huna uwezo wa kuhudumia usivue chupi.

Hakuna mtu anakusaidia kuzaa watoto kwenye hii dunia.Vivyo hivyo Usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.

Watoto si baraka, Na Hakuna Mungu wa kuja kukusaidia kulea wanao. Kama una hii dhana futa huko kichwani. Ukishaleta mtoto kwenye hii dunia tambua kwamba wewe mwenyewe ndiye utawajibika kuhudumia.

This world šŸŒ is not for the weak, ignorant, lazy and poor people.
You either go hard, go home or you die.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

Hakuna Mtu au Mungu wa kukuhurumia wewe na kizazi chako.

I'm out.
Serikali ipige faini kwa wanaozidisha watoto zaidi ya wanne....mnazaa zaaa na mnaona Hali ya maisha ni ngumu na hamna ajira
 
Kulea ni nini hasa!!?

Elim Hadi chuo kikuu au mtaji wa mapesa akaunti!!?

Unaamini ukilea kwa dhana yako majibu lazima yawe positive!!?nauliza tu!!!

Timiza wajibu lakini hatma ya mtoto ni fumbo tu mkuu,nani ajuaye kuwa mtotowako awezakuwa shoga au mraibu wa dawa za kulevya hasta kama katoka familia bora au kasoma sana!!?
Malezi ya mtoto ndio huweza kupelekea tabia zake.
Nani ajuaye!!?

Kuna uzao was baraka na uzao wa laana hapa duniani!kama uzao wako ni wa laana hata usomeshe vipi utaona laana tu Kwa watoto!!
Hakuna uzao wa baraka wala laana.
Zaa kwa kadiri uwezavyo na Lea kwa kadri ya majaaliwa huku ukiwaombea coz zama hizi ni za uovu hapa duniani!!
Ukiwalea na kuwadhibiti vyema watoto wako wala hawawezi kuwa na tabia mbovu.

Labda waamue kubadilika huko ukubwani wakiwa kwenye himaya zao.

Ila mtoto akibadilikia kwenye himaya yako, Tambua wewe ndio mwenye makosa kwenye malezi.
Maturity ni uwezo wa kuyatazama mambo katika three dimension sio one way process !!

Maisha hayana kanuni halisi ya kufuata zaidi ya discipline na bahati Kwa mtu husika!!!

Makinika !
 
Nianze kwa kusema Watoto si Baraka, Watoto ni Gharama.
Kabla hujafikiria kuleta kiumbe kwenye hii dunia tambua hili mapema.

Kabla ya kufikiria kuzaa watoto hapa duniani, Kaa chini wewe na mwenza wako mpange kabisa namna mtakavyo lea na kuhudumia watoto wenu hadi watakapo fika umri wa kujitegemea.

Kuna maelfu ya watoto maskini wanateseka sana hapa duniani kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu wa wazazi wanao zaa hovyo hovyo kama mapanya bila malengo wala uwezo wa kutoa huduma na malezi.

Na hili ni janga kubwa sana kwa nchi maskini hasa barani Afrika.

Mtu maskini akizaa mtoto anaongeza maskini mwingine duniani na anaipa serikali mzigo mzito wa kugharamia ujinga wake na umaskini wa kizazi chake.

Wazazi maskini huzaa watoto kwa dhana uchwara kwamba
"watoto ni baraka" Lakini ndio haohao wa kwanza kutekeleza familia zao, kukwepa majukumu na uwajibikaji na wengine hufikia hatua hadi ya kuua au kujiua wao na familia zao kwa kigezo kwamba maisha ni magumu.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hili dunia, Tambua kwamba, Maisha hayajawahi kuwa marahisi, Maisha si rahisi na Maisha hayatakuja kuwa marahisi kwa watu wazembe, wajinga na maskini.

Ewe kijana kabla hujafungua hiyo zipu yako kuleta watoto, Tambua kwamba Dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako. Jipange na hakikisha uko vizuri kiuchumi.

Ewe binti kabla hujapanua hayo mapaja, tambua kwamba dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hii dunia, tambua kwamba una wajibu wa kuhudumia na kulea hicho kiumbe wewe mwenyewe, Sio kulia lia kuanza kusumbua watu, ndugu, jamaa na marafiki wakusadie malezi, pesa au mahitaji kwa wanao uliozaa wewe mwenyewe.

Mwanaume kama unajua huna uwezo wa kuhudumia funga hiyo zipu. Mwanamke kama unajua huna uwezo wa kuhudumia usivue chupi.

Hakuna mtu anakusaidia kuzaa watoto kwenye hii dunia.Vivyo hivyo Usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.

Watoto si baraka, Na Hakuna Mungu wa kuja kukusaidia kulea wanao. Kama una hii dhana futa huko kichwani. Ukishaleta mtoto kwenye hii dunia tambua kwamba wewe mwenyewe ndiye utawajibika kuhudumia.

This world šŸŒ is not for the weak, ignorant, lazy and poor people.
You either go hard, go home or you die.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

Hakuna Mtu au Mungu wa kukuhurumia wewe na kizazi chako.

I'm out.
Hapa wafia dini watakuona mbabaishaji tu, Hongera MUNGU akubariki mkuu, umetumia maarifa aliyokujalia, kuelimisha jamii.
 
Wa 4 wanatosha mkuu leba sio kama kwenda kariakoo,kuleta mtu duniani is never easy task , maana yake ni majukumu ya malezi yanayogharimu pesa,muda bila mwisho ,stress za malezi hajaumwa ,ale asome , kujinyima uhuru wako binafsi,kujikana nafsi,sometimes hata kuacha kazi zako zinazokuingizia kipato ili ulee mtoto awe mwenye manufaa na awe vile unataka na akubalike katika jamii alooo sio mchezo,KUZAA SIO KAZI KAZI KULEA
Ndio kinacholeta ugomvi kwenye familia nyingi
 
Tukiacha suala la pesa ambalo lina kanuni zake kidunia, Kuna suala la kumjenga mtoto kihisia, wazazi wengi hatulijui hili suala.

Wazazi tuwe tayari kulea watoto kwa commitments za hali ya juu sana, Unakuta watoto wadogo wadogo wako heart brokenšŸ’”
Hatuko tayari kwa huu mjadala.

Mleta mada ana hoja.
 
Ukiwalea na kuwadhibiti vyema watoto wako wala hawawezi kuwa na tabia mbovu.

Labda waamue kubadilika huko ukubwani wakiwa kwenye himaya zao.

Ila mtoto akibadilikia kwenye himaya yako, Tambua wewe ndio mwenye makosa kwenye malezi.
Na fainali ya malezi ya mtoto huja kipindi anapojitegemea na sio wakati unammiliki nyumbani!!

Wakati anaishi kwake ndio utajua faida ya malezi yako wala sio wakati unae nyumbani kwako,hapo anaweza igiza akiogopa uwepo wako!!
 
Tukiacha suala la pesa ambalo lina kanuni zake kidunia, Kuna suala la kumjenga mtoto kihisia, wazazi wengi hatulijui hili suala.

Wazazi tuwe tayari kulea watoto kwa commitments za hali ya juu sana, Unakuta watoto wadogo wadogo wako heart brokenšŸ’”
Hatuko tayari kwa huu mjadala.

Mleta mada ana hoja.
Mkuu chanzo ni maisha magumu.

Mtu anayezaa kila mwaka unategemea atajikita kwenye psychology ya mtoto saa ngapi?

Kuna wanawake wameolewa walishasahau kuvaa chupi. Kila wakati jamaa anawaza ngono tu.
 
Nilichokibaini hapa ni uwoga wa kubeba majukumu, aisee vijana acheni uwoga wa maisha.

Maisha ni zaidi ya mipango na matarajio.
Nyie ndio mnazaa Machawa.. .


Chawa ni mtu hana mwelekeo wa maisha anabaki kubahatisha liziki kwa watu wengine kwa kujikomba.
 
Wafia dini wameaminishwa na kuaminishwa dhana zisizo na ukweli.

Mimi siamini kwenye Mungu.

Lakini nashukuru kwa mchango wako.
We jamaa sasa umevuka mipaka. Mungu yupo ila sio kwamba ana msaada kivile kama tunavyoaminishana. Ila Yupo ametuumba
 
Na fainali ya malezi ya mtoto huja kipindi anapojitegemea na sio wakati unammiliki nyumbani!!

Wakati anaishi kwake ndio utajua faida ya malezi yako wala sio wakati unae nyumbani kwako,hapo anaweza igiza akiogopa uwepo wako!!
Mtoto akisha ondoka kwangu. Huyo sina shida naye tena.

Akiamua kubadilika ni yeye na maisha yake. Cha msingi tu, haishi kwangu tena na Asije kulia lia njaa au shida nyumbani kwangu maana nitamfurumusha.
 
We jamaa sasa umevuka mipaka. Mungu yupo ila sio kwamba ana msaada kivile kama tunavyoaminishana. Ila Yupo ametuumba
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Kama Mungu yupo thibitisha uwepo wake na si imani za kufikirika tu.

Hakuna Mungu aliyeumba kitu chochote kile.

Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu, Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.

Anyway tujikite kwenye mada.
 
Mtoto akisha ondoka kwangu. Huyo sina shida naye tena.

Akiamua kubadilika ni yeye na maisha yake. Cha msingi tu, haishi kwangu tena na Asije kulia lia njaa au shida nyumbani kwangu maana nitamfurumusha.
We jamaa mtoto anauma wewe!!
Omba mungu sana,unafikiri hai mateja,mashoga ,majambazi wazazi wao wanajisikiaje kama sio hasara ya maisha!!?
 
We jamaa mtoto anauma wewe!!
Omba mungu sana,unafikiri hai mateja,mashoga ,majambazi wazazi wao wanajisikiaje kama sio hasara ya maisha!!?
Huyo Mungu wakuombwa hayupo.

Ndio maana hata wazazi wenye watoto walevi, majambazi, mashoga na mateja n.k

Wamesha hangaika, wanahangaika na wana endelea kujihangaisha kumuomba huyo Mungu watoto wao wabadilike, Lakini Nothing happens.

Litoto likisha amua kuwa na tabia mbovu, Na umemkanya vyakutosha hasikii. Niku lifukuza likafie mbali. Dunia ikamfunze.

Asirudi tena nyumbani kuleta ujinga wake.
 
Nasisi tunazidi kumwomba Wasiojulikana wafe badala yake Tunakufa sisi. Ni Kama Mungu kashachoka hasikilizi tena sala zetu.
Huyo Mungu wakuombwa hayupo.

Ndio maana hata wazazi wenye watoto walevi, majambazi, mashoga na mateja n.k

Wamesha hangaika, wanahangaika na wana endelea kujihangaisha kumuomba huyo Mungu watoto wao wabadilike, Lakini Nothing happens.
 
Litoto likisha amua kuwa na tabia mbovu, Na umemkanya vyakutosha hasikii. Niku lifukuza likafie mbali. Dunia ikamfunze
Hii kitu kuna single maza nimemwambia juzi akamaindi sana.

Nikamwambia huyo Mtoto wako ana zaidi ya miama 20 anafanya ujinga anaojua ukiendelea kujiliza eti unamuonea huruna yeye ndio atazidisha ujinga maana ameshakuteka akili. FUKUZIA MBALI Likafie mbele
 
Back
Top Bottom