Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...

Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...

sasa wewe dada, watoto wapo marekani, kiule marekani wanaishi na mama yao ambaye umegombana naye na anawalisha watoto sumu zile ulizoona mange analeta hapa ni chamtoto, watoto wameside na mama, na huwezi kurudi kule marekani kwasababu ulikimbia msala ukifika tu watakudaka na kukupeleka mahakamani then jela, unafikiri angewawekaje karibu sasa? mama yao angeamua kuruhusu hilo ingewezekana, lakini mama yao ndo unavyomjua, hata alipojaribu kuomba msamaha labda awe karibu na watoto mama katuma msg kwa mange. no wonder trump alisema nchi zetu ni shithole, ile shithole ni wewe nafikiri.
Mkuu Mimi simlaum sana Marehem ila yupo jamaa (RIP) alikuwa akiishi huko huko watoto wapo hapa nyumbani Tanzania, baada ya kuondoka mama yao alirudi kwenye dini yake na kuwashawishi watoto pia wakasali naye mbaya zaidi aliwajaza ubaya kwa baba na dini ya baba pia watoto . Iakini jamaa alipopata hiyo habari aliumia sana ndugu walimsihi aendelee kuwahudumia na alifanya hivyo Hadi umauti ulipomfika, na hakupata kutuma picha zozote za kero mitandaoni Kama huyu marehemu wa sasa alivyokuwa akifanya, ina maana watoto wa Le Mutuzi wana zaidi ya miaka thelathini wanaona picha alizokuwa akituma baba yao mitandaoni hata bila ya ushawishi wa mama yao ingekuwa ngumu kumsamehe

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Nakuunga mkono na mguu pia, watoto kumdharau baba yao ni laana. Hata baba Mungu hatowasamehe na wao, kina Kanumba waliowaumbua baba zao mitandaoni wapo wapi!! Biblia inasema waheshimu BABA na mama yako upate miaka mingi na yenye heri duniani.
biblia ishasema pia mithali 26:2 laana isiyo sababu haimpati mtu.
Kwa hiyo hadi laana ifanye kazi ni lazma kuwe na sababu, haitolewi tu. Siungi mkono walichafanya hao watoto hasa wa kiume lakini nachotaka kuona ni kuwa story iwe balanced, wazazi wawe pia responsible maana zile zama za watoto kutegemea mashamba ya bibi au ujombani waishi zinakaribia kuisha hasa mijini,

ukitelekeza mtoto jua huko alipo anateseka unless mama yake ajiweze, kuna watoto wanabakwa ujombani, wanateswa, hawasomeshwi, wanasimangwa kwenye kula, wanabaguliwa kwenye matumizi, sikukuu wanatembeza machungwa ili wapate pesa, wengine wanapotelea mitaani kwa kukosa guidance. kiufupi watoto wananyang'anywa utoto wao na kuwa watu wazima kabla ya umri wao, wakiharibikiwa wazazi huwa hawahangaiki nao kwa sababu wengi wanakuwa na familia zao mpya, ila wakifanikiwa kuliko waliowalea na wazazi wasitoboe ndio wanakuwa wazuri wa kuwatolea laana

Mungu anaona pia na sio wa kukosa hekima kiasi hicho, ukifeli kama mzazi usikimbilie laana while hujui huo ugumu wa huyo mtoto ambaye hukuwahi kumjali hata kwa pen, moyo wake umebeba maumivu kiasi gani. kuwa mpole ingia slowly, kama ambavyo mtoto alizoea kuishi bila wewe taratibu bhasi nawe mpe muda wa kukuingiza kwenye system yake taratibu na sio kuforce mambo
 
Sasa ndo wamtukane matusi kama suck my dick you ass nigga. Kweli mzazi hata kama kakukosea aje hilo sio tusi la kumpa
Na watu wanashangilia.

Jamii inapolalamikia mmomonyoko wa maadili isisahau msingi wa hayo yote ni uhuru usiosadifika
 
Miaka 33 na 31 sasa aliwaagaje wakati kawatelekeza kwa miaka 30 ina maana ka mwaka mmoja nako kalifahamu Baba yao alivyowaambia kipindi anakimbia kesi aliyozushiwa na mkewe ee? turudi kwenye mada uliyoanza kuniquote je ni halali yule kijana kusema suck my dick kwa Baba yake?
Wa kwanza ana 33 wa pili ana 31. Sasa piga hesabu aliwaachaje hao malaika Kwa wakat huo kisa tu ugomvi na mkewe.
 
Inashangaza sana. Sadala katelekezwa na Baba yake kitambo sana,ommy dimpoz,mwana FA pia ila hawa hawajawahi kuwatukana baba zao matusi makubwa na kupeleka screenshots kwa adui wa Baba yao
Na watu wanashangilia.

Jamii inapolalamikia mmomonyoko wa maadili isisahau msingi wa hayo yote ni uhuru usiosadifika
 
huu uzi unanihusu sana naona na mimi sina tofauti na lemutuz... unatoa hela za matumiz bado unaonekana si kitu,kwa ndugu zake anasema sina msaada wowote wala mtoto si hudumii daah inauma kuna mda natamani nisitishe kuhudumia ila nikimwamgalia yule mwanangu naona hana hatia.matatizo
Acha kuhudumia kama anasema huhudumii kaushia
 
Usiombe mkeo akakushitakia kwa wanao, hasa wa kiume. Huo ugomvi hatapatikana muamuzi. Maana wamama wanajua kuchomekea, utakuta anasema nilipokuwa na mimba yako alinipiga teke la tumbo, nusura mimba yako itoke. Nilianguka chini, akaniacha palepale wasamalia wakaniokota, yeye huyo kwa mwanamke wake.
Bro hapo huchomoi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]
 
Acha kuhudumia kama anasema huhudumii kaushia
Sasa unamkomoa nani??? Labda kama mama yake ana uwezooo.. Unakataa kutoa matumizi watoto wako wanashindaaa njaaa...wanavaa ovyoo either utoe hela au uwachukue watoto ambapo hilo ni ngumuu maana mama anajua anakula kupitia watoto hasa kama ana kipato na pia upendo wa mama kwa mtoto unaweza mchukua mtoto mwanamke unaeishi nae akawa anawanyanyasaa
 
Sasa mkuu ndo inahalalisha kummwagia mzazi matusi makubwa kama yale na kuyasambaza mtandaoni?
Ukiwanyanyasa wakiwa na akili za kutambua unyasanyasaji wako hakika hawata sahau na ndo hapoo huanza maneno ya "WAMEJAZWA CHUKI NA MAMA YAO" Kumbe wanazo kumbukumbu za mabaya yako kwao halafu na kwa mama yao.
 
Sasa unamkomoa nani??? Labda kama mama yake ana uwezooo.. Unakataa kutoa matumizi watoto wako wanashindaaa njaaa...wanavaa ovyoo either utoe hela au uwachukue watoto ambapo hilo ni ngumuu maana mama anajua anakula kupitia watoto hasa kama ana kipato na pia upendo wa mama kwa mtoto unaweza mchukua mtoto mwanamke unaeishi nae akawa anawanyanyasaa
Kama unatoa hela yako afu wanatangaza kuwa huwasaidii bora usiwasaidie mazima kupitia yeye na kubwa bora uwachukue ili uwalee mwenyewe.
 
Usiombe mkeo akakushitakia kwa wanao, hasa wa kiume. Huo ugomvi hatapatikana muamuzi. Maana wamama wanajua kuchomekea, utakuta anasema nilipokuwa na mimba yako alinipiga teke la tumbo, nusura mimba yako itoke. Nilianguka chini, akaniacha palepale wasamalia wakaniokota, yeye huyo kwa mwanamke wake.
Bro hapo huchomoi.
Haaaaah haaaaah nimecheka hapa
 
Sikatai Hilo, nachokuuliza je hakuona umuhimu wa kucheki na watoto once after his life became fine ?

Kumbuka leaked post yake Kwa watoto ilikua ni after 30 years since amewatoroka.
After 30yrs? Wakati hao watoto hakuna aliefika 30yrs na Lemutuz alisema aliwaacha mmoja ana miaka 13 na mwingine miaka 9
 
Usiombe mkeo akakushitakia kwa wanao, hasa wa kiume. Huo ugomvi hatapatikana muamuzi. Maana wamama wanajua kuchomekea, utakuta anasema nilipokuwa na mimba yako alinipiga teke la tumbo, nusura mimba yako itoke. Nilianguka chini, akaniacha palepale wasamalia wakaniokota, yeye huyo kwa mwanamke wake.
Bro hapo huchomoi.
Hahahahahahaha
 
nitatunza miamala mpaka lini mkuu,nimeamua itavyokuwa na iwe tu roho yangu imeanza kupata kutu.mwanzo nilikuwa namtumia kila week...ikaja tokea kuna week sikutuma na nilimpa sababu kwanini sikutumaa aisee nifuatwa ofisini nikafanyiwa fujo aisee nilishindwa vumilia nilimpa vitasa akanipeleka polisi nilazwe ndani bahati nzuri kile kituo wale polisi wananijua...anawalazimisha polisi nisweke ndani wakamwambia rudi nyumbani kesho utamkuta mtuhumiwa wako lock up oyrsterbay hahaha daaah hapo ndio akapata amani ya roho... wanawake wengine ni wametumwa kuharibu maisha ya wanaume
Mnawakojolea wa nini,, mashimo mmejichimbia nyie wenyewe
 
Back
Top Bottom