Usipimlea mtoto huyo sio wakoWatoto wanaomkataaga Baba yao huwa hawafikagi mbali. Wanakiwa na hisia sana, hawajali chochote wala kumsikiliza mtu yoyote mpaka wakutana na watoto wa mama wenzao hapo ndo hutokea mengi.
Muachage ujinga usimlee mtu mpaka chuo afu utokee ghafla.watabalikiwa mpaka wakomeHiyo dhambi itawatafuna maisha yao yote
Najifunza mkuuVyovyote iwavyo, unapoamua kulipa kisassi maana yake wewe hauna tofauti na unayemlipa kisasi
Acha kutetea ujinga.usipolea wewe sio mzaziNimepitia komenti za wadau hapa,nimekuja kujua kumbe
Jamaa na familia yake (Malechela) wamemtoa dem huku bongo na kumpeleka US,wakamtafutia kazi na hata hii michakato ya uraia kwake ilikuwa rahisi sababu ya jina la Malechela.
Still bado akazinguana na baba watoto, kipindi ambacho mwenzake anaungaunga na kutaka hata kule kidogo alichokuwa nacho wagawane (unaweza ukakuta anachokipata yy ni kikubwa kuliko cha mwenzio).
Sawa mnamlaumu jamaa kwa maisha yake ya starehe huku bongo, ila hamjui may be jamaa alikuwa anapitia maumivu ya kihisia ya tokanayo na familia yake. Hiyo haitoshi ugomvi wa familia unamshirikisha tahira wa taifa Mange Kimambi ,anaweka wazi mambo ya familia public,akizani anamkomoa mmewe kumbe kuna siku zile meseji zitawaumiza wao na hasa watoto.
Jamaa kweli si malaika ana mabaya yake ila mwanamke aliyezaa nae inawezekana ikawa sababu ya maisha aliyo yaishi sasa. Kwa mbele hasa US wanawaume wanapitia maumivu mengi ya kihisia sababu ya kunyanyaswa na wanawake (mara zote wanaume hawaongei), hasa inapofikia kipindi cha talaka maana hapa kuna kugawana mbali na hasa zaidi mkewe kutumia watoto kama fimbo ya kumchapia mmewe.
Wanawake wanaongea kwa hisia kuliko akili ..ukishindwa kutumia akili yako vizuri kuwaelewa utaishi nao kwa tabu sana ukiona mwanamke uliyemzalisha anakuwa mkali kwako ujue ana nyege na anahitaji ukaribu wako zaidi kuliko mtu mwingine.. nimekupa code pambana nayo..Dah kumbe tupo wengi,hawa akina mama ambao wako na watoto wetu always ni wagomvi na washari. Yaan unajiuliza, tatzo hasa ni nini? Huyu wa kwangu hata nikituma pesa ya mahitaji ya mtoto,hatoi mrejesho wowote.. muda wote ni mkali,
Mabongo hasa manaume ndo yalivyoPamoja mwamba. Alivokua hai walikua wanamsagia kunguni hatar kua katelekeza familia. Leo kavuta wanataka tumpambe. Ni unafiki uliopitiliza
Ujinga kwa jicho lako la kipuuzi na la kitoto,ila ukirudi kiroho plus hekima jamaa hakudeserver aliyofanyiwa na mkewe.Acha kutetea ujinga.usipolea wewe sio mzazi
Mbona domo anakula bataNakuunga mkono na mguu pia, watoto kumdharau baba yao ni laana. Hata baba Mungu hatowasamehe na wao, kina Kanumba waliowaumbua baba zao mitandaoni wapo wapi!! Biblia inasema waheshimu BABA na mama yako upate miaka mingi na yenye heri duniani.
Umeona eehMabongo hasa manaume ndo yalivyo
KabisaIla na kuna wanawake wengine wanyama pia, kila uhusiano upo kivyake.
Aliandika yake humu yasake .
.
kaka unabishana na mtu mwenye jina chapwa masaa 24? mpuuze tu..Matako yako wewe na inaonyesha hata hujawahi kumiliki watoto. Umegombana na mama Sawa je huoni umuhim wa kuwaweka jirani watoto in any way ?
Stupid Indeed na usijibu hii post coz ntakufuata hapohapo ulipo. Idiot
Hahahaha ngoja nimuache aisee. Shukran Kwa ushauri mkuukaka unabishana na mtu mwenye jina chapwa masaa 24?
Le Mutuz alimkosea sana Binti yake na zile chati zilionesha hivyo lkn yule dogo wa kiume ataishi maisha yake yote akikumbuka kwamba alifanya upuuzi kumjibu dingi yake vile ilikuwa ni nonsense kabisa.Exactly na hicho ndo wengi wanafeli kuona, yule binti alikuwa anatamani kutengeneza bond na mzee wake ila pride ya le mutuz ilimuumiza zaidi. Watu hawajui kumkosa mzazi hata kwa miaka mitano inaumiza kiasi gani halafu umtafute au akutafute na kisha akuoneshe kuwa you are worthless in their lives, walahi vile vidonda vote vinaamka upya.
All in all naamini huyo binti hana shida sana labda huyo mtoto wa kiume alijibu shit
Chief haya mambo ya laana yapo huku kwetu africa kwa wenzetu hawana hyo mambo na hyo mtoto kakulia kwenye mazingira yao, mfano eminem alikuwa anawatukana baba na mama yake matusi mazito.hilo tusi huyo mtoto ataishi nalo hadi uzeeni, litamsumbua mwisho atamchukia mamake aliyemlisha sumu. na yeye ni mwanaume akikua atakutana tu na wanawake wa type ya mama yake yatamkuta yaliyomkuta babake. huwezi kumtukana babako ukaenda bure hata kama amekosea na hasa pale anapotafuta amani. never.
Dogo alimjibu vibaya sana na ile sio sumu bali ni kukosa adabu.. Hata mtu aliyekuzidi umri huwezi mtolea zile manenoLe Mutuz alimkosea sana Binti yake na zile chati zilionesha hivyo lkn yule dogo wa kiume ataishi maisha yake yote akikumbuka kwamba alifanya upuuzi kumjibu dingi yake vile ilikuwa ni nonsense kabisa.