Watoto wa Mjini Dar

Watoto wa Mjini Dar

Mama kasema yeye sio Mwafrika. Umetoa maelezo yako ya kwanini na amesema sio yeye,

Sasa kama hakuna proof zaidi ya yanayozungumza, then its best ku-drop this.

Anything more, is harassment.

Waambie kisura hao.... hawa ndio wale wale wakipigwa bao kwenye mitihani na jinsia tofauti na ya kwao wanakimbilia kulialia kuwa mitihani imevuja. Na so far hawaelekei kuamini ukweli kuwa hawawezi kusimama kwa hoja dhidi ya gender ambayo wamekuwa wanafundishwa kwa miaka yote hii kuwa ni dhaifu.
 
holy ghost!!!!!!!!!!!!!!!!!! sasa tuna tutors wa english humu.

Mkuu SOA...

yup!

this is just the begining.... mtu anayedai kuwa ana sentimental kuliko wengine wote kisha anafanya makosa wazi kama haya inaita uchunguzi zaidi wa uwezo wake wa kusoma na kuandika lugha anayodai kuwa inamwezesha kufikia hitimisho la anachokiandika.
 
GT,where are you,come back and sort out this thread,it seems it has lost its bearings.as the captain you should be the last person to abandon the sinking ship.
 
Slim yuko na naendela kujimwaga viwanja kuliko ma teen agers...si unajua tena? hakuna anayetaka kuzeeka....by the way hizi picha hapo chini source ni HAKINGOWI BLOG na Slim sasa hivi anadai katulia OSLO wakati sie wengine tunajua yule Mshiiri hana cha kutulia wala nini


hii picha kapiga October mwaka huu wakati wa Iddi...sasa ES kama unawakumbuka jamaa hapo wee sema tuuu

- Gt saafi sana nimemuona hapo kwenye picha duh! long time sasa kawa mtumzima kidogo si unajua enzi zile alipokuwa Thriller kama Mkulu Mkandara, hivi uliwahi kumuona Mkandara enzi zake za Ma-Holiday Inn? Duh baaaabu kubwa!

Kumbe sister Joyce alitangulia kwenye haki, Mungu amuweke mahali pema, ninamkumbuka sana Ma-Mwenge karibu na kituo cha basi kule, halafu alikua na brother Tito Jackosn Dj sana YMCA, lovely siku hizi ma-US!
 
DUH!

sasa balaa lote hili Mwanakijiji analileta la nini?


noma tupu

tunajua yeye si mtoto wa mini na hili halina mjadala sasa ndio nini kuja kuharibu mijadala ya wenzie?

au kwa sababu tuegma kwenda kwenye website yake?
 
- Gt saafi sana nimemuona hapo kwenye picha duh! long time sasa kawa mtumzima kidogo si unajua enzi zile alipokuwa Thriller kama Mkulu Mkandara, hivi uliwahi kumuona Mkandara enzi zake za Ma-Holiday Inn? Duh baaaabu kubwa!

By the way pamoja na utu uzima wote huo Slim bado anaendela kujimwaga viwanja na uchekibob wake uko pale palee

utafikiri hajaoa mwanamke wa kiswahili...well she isnt mswahili par se lakini ndio hivyo tena

Bob atakuwa anajua natye huyu wote hawa watu wa eneo moja
 
WAKUBWA,mnawakumbuka akina PAILONGA,jamaa limedunda sana pale holiday inn.kuna jamaa lingine SPEAR,hii mijamaa yote ya kuja lakini ilitesa kiaina.Nani kasema jogoo wa shamba hawiki mjini?
 
Tatizo lako wewe unachanganya mambo....wewe unamzungumzia KHAMISI YANKEEEZ alikuwa business partner wa MUDI MAS aka TAJIRI MTOTO enzi ziiiileeee walipokuwa wanakwenda States kufanya vurugu

Khamisi aliamua kuwa hotelier wakati Mwarabu bado anaendela "kuuza chupi" kama mwenyewe anavyosema

Actually duka la Nkuruma lilifungwa akafungua lingine kule Kariakoo....si unajua tena kariakoo ndio kwenye biashara?

Hehehe, dah ukisema tajiri mtoto unanikumbusha Airport DIA maana jamaa wote wa TRA wanamuita hivyo, ila Mudi Mas mtu poa sana kuna siku nimekwea naye pipa kutoka NY mpaka Dar....plus nilikuwa napata sana discount pale dukani kwake. Wale jamaa wenye maduka ya nguo kariakoo wengi wao walifungua maduka mitaa ya kati ya mji kama Yankees-Nkurumah, Mudi Mas-Zanaki then Samora, Chicago-Clock Tower...

Hivi Alphas aliishia wapi na yule Sabri mwenye duka la Nice n Easy karibia na Kwa Azam mtaa wa Livingstone..jamaa naye ameniuzia sana jezi za Manchester United alafu Chef Pride ndio ilikuwa kijiwe chake.
 
Duu?? kichwa cha mada na tulipo mbona kunaelekea kuwa kasikazini na kusini?
 
Labda neno watoto wa mjini lingefafanuliwa manake kwani Bongo kuna mji mmoja tu???...Anyway Jamani na wale wenzangu wa kule TMK hampo humu??? enzi zetu tunapekua pekupeku bila ya wasiwasi na madeli ya ashikirimu za ukwaju mitaa ya wailes,changombe,sokota,keko mwanga,magurumbasi,toroli,kurasini....enzi za Temeke rangers,Namanga etc .......je mnakumbuka enzi za kuruka ukuta uwanja wa Taifa???ndala (mara nyingi rangi tofauti) unavaa mikononi halafu unapanda juu ya mgongo wa mwenzio then unaruka ndani.,na yeye hivyohivyo....je enzi za yosso??? au unajifanya kilema ili uingie uwanjani friii....ila mgambo wakikustukia sooo..unapona ghafla unatoka mbio...dah tumeshaingia sana frii kwa staili hii pale....
 
ZAMANIZAMANI,umenikumbusha stadium pale green stand,jamaa shabiki wa simba kanoa step kakaa upande wa yanga(nahisi alikuwa ndio kwanza kaingia mjini)simba kapata bao,yeye kashangilia,shabiki la yanga nyuma yake likamgusa bega,punde alipogeuka akaachiwa ndoo,kasi ya kichwa ilimteremsha mzobe mzobe juu ya vichwa vya watu mpaka chini kule ambako ilibidi apelekwe hospitali akiwa hana fahamu
 
Wale wale,

Babu,kama unaona hapa hapakufai tafuta tafuta issue au thread nyingine ukaonyeshe BUSARA yako huko.(kwanza wewe huna tofauti na sisi wengine wote ungeonyesha tofauti yako kwa kuingia kwa jina lako harisi ili tukujue kama wenzio wakina John Mwanyika au Zitto)

Sisi tuko haoa kufata entertainments sio zaidi,kama wewe uko hapa kufata kuonyesha hasira na busara yako nenda kwenye siasa na mengineyo.
wale wale,
Hiki kijiwe mkuu ,hakuchaguliwi maada au issue ya kuzungumzia ukiona kuna kubore tafuta thread inayo kufaa ndio maana kuna siasa ,muziki na mengineyo.
Kwanza wewe mchanga sana hapa,na kwa taarifa yako kipimo cha BUSARA yako hakipo hapa (kwanza ungeingia na jina lako harisi ili tukujue kama John Mwanyika,Zitto) those guys are serious ones unlike the rest of us tukiingia humu tunatafuta entertainments.


Kuwa kwako hapa JF tangu 2007 au tangu ikijulikana kama Jambo Furums hainibabaishi mimi. Uchanga wangu katika registration haumaaanishi kuwa sina busara. Jina langu halisi unalitakia nini!!!??? Tumia satellite uni trace!!!!! Kila mtu ana uhuru wa kuingia hapa apendavyo either anonymous or not. Off course I do not ready any cabbage in, I am selective.
 
Hehehe, dah ukisema tajiri mtoto unanikumbusha Airport DIA maana jamaa wote wa TRA wanamuita hivyo, ila Mudi Mas mtu poa sana kuna siku nimekwea naye pipa kutoka NY mpaka Dar....plus nilikuwa napata sana discount pale dukani kwake. Wale jamaa wenye maduka ya nguo kariakoo wengi wao walifungua maduka mitaa ya kati ya mji kama Yankees-Nkurumah, Mudi Mas-Zanaki then Samora, Chicago-Clock Tower...

Hivi Alphas aliishia wapi na yule Sabri mwenye duka la Nice n Easy karibia na Kwa Azam mtaa wa Livingstone..jamaa naye ameniuzia sana jezi za Manchester United alafu Chef Pride ndio ilikuwa kijiwe chake.



Alpha yuko s unajua naye aliuvamia mji kichwa kichwa na kuanza kutembea na wake za watu eventually watu waka catch up naye...mengine siwezi kuyasema humu kwani ni too graphic yaliyomkuta kijana Alpha

Anyway sasa hivi yukpo mjini ana share nadhani in one of them magazines za weekly na naona posho ya Ephraim Mafuru wa Vodacom ina mkeep huyo Alpha going which is all good if you know what i mean

Lile dula lake la Karibu hotel lilifungwa lakini kama hustler yoyote yule mjini bado ana survive.

One again I cant knock the brothers hustle
 
Back
Top Bottom