mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Mkapa alizaa tutoto tuwili tuKuna mtoto wa Mkapa hapo bungeni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkapa alizaa tutoto tuwili tuKuna mtoto wa Mkapa hapo bungeni?
Akitokea UDSM acha ujinga dogoProf Kitila wa Chadema alipoteuliwa KM wizara ya maji alipanda kutokea wapi?
Usiwe unaonja sana hadi unalewa manka!
Hivi lemutuz kwa akili kisoda vile unaweza kumpa cheo gani,alikosea akiporudi tika kubeba maboksi angekuwa lowprofile ye akaha na swaga za kitoto at his 50s,dish limeyumbaMkuu mimi ninachoona kuna kugombea kihalali kama mtu mwingine asiye na wazazi wenye legacy, na kuna kugombea kwa kutumia nguvu ya mzazi...
Kuna watu waliotajwa na mleta mada hapo juu, bila kushikwa mkono na wazee wao leo hii wasingekuwa na nafasi za uongozi...
Kuna wakati nishawahi kusoma maandishi ya Le Mutuz, kuwa katika maisha yake hakuwahi kutegemea cheo cha baba yake kimpe ahueni ya mambo yake...
Hahahaaaa....... hahahaaaa........!Akitokea UDSM acha ujinga dogo
Tafuta picha ya mzee aikael,na mbowe copy copy acha ujinga dogoMbowe= Nyerere. Msije mkasema Baba wa Taifa hajaacha alama
Le mutuz ni bilionea anakaa na mabilionea wenzake kama akina mosha, hawezi kukaa the whole day bungeni muda huo anautumia kuingiza mapesa...le akili kubwaaz, american spiritNi mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge .
Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika mashariki akafeli.
Ipyana RIP naye hakufika mbali.
Mwele tena mshumaa umezimika
Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni
Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jumaa kareem.
Watoto wa Mkapa unawajua mkuu?
Alitokea udsm kama lecturer(academician) tatizo yeye alichagua uchumia tumbo kuliko proffesionalism na madhara yake hatodumu katika siasa na uenda huu ndo ukawa ubunge wake wa mwishoProf Kitila wa Chadema alipoteuliwa KM wizara ya maji alipanda kutokea wapi?
Usiwe unaonja sana hadi unalewa manka!
Kibajaj ni mtoto wa mstaafu jimbo la Mtera chini ya kapeti hiyoLe mutuz ni bilionea anakaa na mabilionea wenzake kama akina mosha, hawezi kukaa the whole day bungeni muda huo anautumia kuingiza mapesa...le akili kubwaaz, american spirit
Katibu Mkuu ni kama Jaji wa Mahakama, haitakiwi ateuliwe kutokea kufundisha chuoni, hata awe Professor. Anatakiwa awe anajua utawala watu huru siyo wanafunzi.Vinginevyo ungeona maprofesa hapa duniniani wameajiriwa sehemu nyingi.Mtazamo wa Tanzania kama wako ni sababu mojawapo ya Tanzania kuwa hapa tulipo; kuwa na maendeleo hasi; tunachanganya kusoma na utendaji na pia kuwa na imani potofu kuwa mtu ye yote anaweza kufanya kazi yo yote! Ndiyo maana wengi tunategemea waganga wa kienyeji badala ya kwenda hospitali. Akili ya aina hii imeshamiri hata kwa waliokwenda shule. Ni aibu!Akitokea UDSM acha ujinga dogo
Mkuu hapa ni kiswahili tuu au umechanganyia maneno ya kilugha chako?Hivi lemutuz kwa akili kisoda vile unaweza kumpa cheo gani,alikosea akiporudi tika kubeba maboksi angekuwa lowprofile ye akaha na swaga za kitoto at his 50s,dish limeyumba
Ndiyo maana halisi ya jina Mwinyi, wanaendeleza 'umwinyi'.Kizazi cha akina Mwinyi wao ni kujazana ndani ya system
Tafuta picha ya mzee aikael,na mbowe copy copy acha ujinga dogo
Kwanza na zile swagger zao zilizojaa umarekani mwingi mambo ya siasa wanayaona michosho tu.Sidhani hata kama wanaishi Tanzania, ni vijana wawili wa kiume...
Weka majina yao, picha zao na wasifu wao.Watoto wa Mkapa unawajua mkuu?
We yohanambatizaji weeee eee eee!Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.
Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.
Ipyana RIP naye hakufika mbali.
Mwele tena mshumaa umezimika
Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni
Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jumaa kareem.
Kwahiyo Jo siasa ndio kila kitu kwako?Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.
Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.
Ipyana RIP naye hakufika mbali.
Mwele tena mshumaa umezimika
Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni
Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jumaa kareem.
Alizaa na naniMkapa alizaa tutoto tuwili tu