Watoto wa Mzee Malecela hawana bahati na Siasa kama ilivyo kwa Wana wengine wa viongozi wa CCM

Watoto wa Mzee Malecela hawana bahati na Siasa kama ilivyo kwa Wana wengine wa viongozi wa CCM

Mkuu mimi ninachoona kuna kugombea kihalali kama mtu mwingine asiye na wazazi wenye legacy, na kuna kugombea kwa kutumia nguvu ya mzazi...

Kuna watu waliotajwa na mleta mada hapo juu, bila kushikwa mkono na wazee wao leo hii wasingekuwa na nafasi za uongozi...

Kuna wakati nishawahi kusoma maandishi ya Le Mutuz, kuwa katika maisha yake hakuwahi kutegemea cheo cha baba yake kimpe ahueni ya mambo yake...
Hivi lemutuz kwa akili kisoda vile unaweza kumpa cheo gani,alikosea akiporudi tika kubeba maboksi angekuwa lowprofile ye akaha na swaga za kitoto at his 50s,dish limeyumba
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge .

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.
Le mutuz ni bilionea anakaa na mabilionea wenzake kama akina mosha, hawezi kukaa the whole day bungeni muda huo anautumia kuingiza mapesa...le akili kubwaaz, american spirit
 
Akitokea UDSM acha ujinga dogo
Katibu Mkuu ni kama Jaji wa Mahakama, haitakiwi ateuliwe kutokea kufundisha chuoni, hata awe Professor. Anatakiwa awe anajua utawala watu huru siyo wanafunzi.Vinginevyo ungeona maprofesa hapa duniniani wameajiriwa sehemu nyingi.Mtazamo wa Tanzania kama wako ni sababu mojawapo ya Tanzania kuwa hapa tulipo; kuwa na maendeleo hasi; tunachanganya kusoma na utendaji na pia kuwa na imani potofu kuwa mtu ye yote anaweza kufanya kazi yo yote! Ndiyo maana wengi tunategemea waganga wa kienyeji badala ya kwenda hospitali. Akili ya aina hii imeshamiri hata kwa waliokwenda shule. Ni aibu!
 
Hivi lemutuz kwa akili kisoda vile unaweza kumpa cheo gani,alikosea akiporudi tika kubeba maboksi angekuwa lowprofile ye akaha na swaga za kitoto at his 50s,dish limeyumba
Mkuu hapa ni kiswahili tuu au umechanganyia maneno ya kilugha chako?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Sidhani hata kama wanaishi Tanzania, ni vijana wawili wa kiume...
Kwanza na zile swagger zao zilizojaa umarekani mwingi mambo ya siasa wanayaona michosho tu.
USA ndiyo wanaita 'home'[emoji2369][emoji2369][emoji2369][emoji2369]!
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.
We yohanambatizaji weeee eee eee!
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.
Kwahiyo Jo siasa ndio kila kitu kwako?
 
Back
Top Bottom