mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Vilaza🤣🤣🤣🤣Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk…….,vilaza hawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vilaza🤣🤣🤣🤣Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk…….,vilaza hawa.
Wewe unawajua?Watoto wa Mkapa unawajua mkuu?
Sio mwanaye, hakuna mtoto anayeweza kumtukana baba.Kibajaj ni mtoto wa mstaafu jimbo la Mtera chini ya kapeti hiyo
IKwa bongo yote yawezekana mkuu
Reference kitila mkumbo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Marehemu alikuwa kama kichaaKwa bongo yote yawezekana mkuu
Reference kitila mkumbo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hii point yako inabeba maana kubw sana na sijui kama wengi tutakuelewa.Mkuu mimi ninachoona kuna kugombea kihalali kama mtu mwingine asiye na wazazi wenye legacy, na kuna kugombea kwa kutumia nguvu ya mzazi...
Kuna watu waliotajwa na mleta mada hapo juu, bila kushikwa mkono na wazee wao leo hii wasingekuwa na nafasi za uongozi...
Kuna wakati nishawahi kusoma maandishi ya Le Mutuz, kuwa katika maisha yake hakuwahi kutegemea cheo cha baba yake kimpe ahueni ya mambo yake...
Wanaishi mbinguni?Wewe unawajua?
Hapo Bila Bila.Lakini kila Mwinyi ni Mwinyi.
Serious kabisa unamchagua Lemutuz awe mbunge? 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kuna uwezekano kwao siasa sio kipaumbele kama ilivyo kwa hao wengine...
Halafu unampa uwaziriSerious kabisa unamchagua Lemutuz awe mbunge? 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Halafu unampa uwaziriSerious kabisa unamchagua Lemutuz awe mbunge? 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Umepiga ngumi ya kichwa. UVCCM ni batch la mavuvuzela tuu hivyo huwezi waona kwenye kazi za kitaaluma.Cheo cha KM ni cha siasa? Katibu Mkuu anapanda kwa sifa zake ndiyo maana kule hakuna UVCCM
Sio mbaya tukipata swaga fulani Amazing hivi watu wacheke angalauSerious kabisa unamchagua Lemutuz awe mbunge? 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hivi kumbe wewe ni mbumbumbu kiasi hiki?Prof Kitila wa Chadema alipoteuliwa KM wizara ya maji alipanda kutokea wapi?
Usiwe unaonja sana hadi unalewa manka!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wataingia tu nao Bungeni Ubunge na Uwaziri ni wa Familia kwa sasa kama Baba yako hakuichangia TANU usitegemee labda kwa UCHAWANi mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.
Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.
Ipyana RIP naye hakufika mbali.
Mwele tena mshumaa umezimika
Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni
Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jumaa kareem.
Lemutuz ni mtoto wa nje, hakua sana kwenye mapenzi ya familia na alilisema hili. Hivyo kupata vyeo kupitia baba isingewezekanaMkuu mimi ninachoona kuna kugombea kihalali kama mtu mwingine asiye na wazazi wenye legacy, na kuna kugombea kwa kutumia nguvu ya mzazi...
Kuna watu waliotajwa na mleta mada hapo juu, bila kushikwa mkono na wazee wao leo hii wasingekuwa na nafasi za uongozi...
Kuna wakati nishawahi kusoma maandishi ya Le Mutuz, kuwa katika maisha yake hakuwahi kutegemea cheo cha baba yake kimpe ahueni ya mambo yake...
Mkuu Hivi bilionea mosha ni yupi/nani?Le mutuz ni bilionea anakaa na mabilionea wenzake kama akina mosha, hawezi kukaa the whole day bungeni muda huo anautumia kuingiza mapesa...le akili kubwaaz, american spirit
Jamaa nimemshusha sana! Sikutegemea kuwa ni KIRUNDU kiasi hicho?Kwahiyo Jo siasa ndio kila kitu kwako?
Umemsahau Samia jr, anaita wanuNi mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.
Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.
Ipyana RIP naye hakufika mbali.
Mwele tena mshumaa umezimika
Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni
Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jumaa kareem.
Lemutuz ni mtoto wa nje, hakua sana kwenye mapenzi ya familia na alilisema hili. Hivyo kupata vyeo kupitia baba isingewezekana
Upo sahihi, kitilia ni professional. Tena makatibu wakuu wengi walikua wakitolewa udsm. Ukiachia wale waliokua promoted kutoka wizaraniHivi kumbe wewe ni mbumbumbu kiasi hiki?
Unadhani kazi ya U Katibu mkuu wa wizara ni ya CCM? Hiyo ni ajira ya serikalini na Kitila alikuwa mtumishi wa umma kama mhadhiri hivyo alistahili kuwa promoted na kupewa KM wa wizara! Kumbe unaandika sana JF but uwezo wako wa ufahamu uko that much low?