Watoto wa Mzee Malecela hawana bahati na Siasa kama ilivyo kwa Wana wengine wa viongozi wa CCM

Watoto wa Mzee Malecela hawana bahati na Siasa kama ilivyo kwa Wana wengine wa viongozi wa CCM

Mkuu mimi ninachoona kuna kugombea kihalali kama mtu mwingine asiye na wazazi wenye legacy, na kuna kugombea kwa kutumia nguvu ya mzazi...

Kuna watu waliotajwa na mleta mada hapo juu, bila kushikwa mkono na wazee wao leo hii wasingekuwa na nafasi za uongozi...

Kuna wakati nishawahi kusoma maandishi ya Le Mutuz, kuwa katika maisha yake hakuwahi kutegemea cheo cha baba yake kimpe ahueni ya mambo yake...
Hii point yako inabeba maana kubw sana na sijui kama wengi tutakuelewa.
Ukiangalia kwa undani kuna wanaong'ang'ania mfumo wa siasa tulionao sasa na wanaona ndio unawasidia kuendeleza haya mambo. Ndio maana ukiangalia uwezo na competence ya huyu aliyefariki hivi sasa huwezi kumlinganisha na hawa 'wanaopenyezwa' kwa kulazimisha.

Mwisho wa siku ukitafiti vizuri unagundua ukweli wa akili ndogo kutawala akili kubwa. Hebu angalia mtoto wa PM mstaafu mwingine, yuko huko kwenye kazi kubwa kubwa za UN, Muda utaongea zaidi
 
Prof Kitila wa Chadema alipoteuliwa KM wizara ya maji alipanda kutokea wapi?

Usiwe unaonja sana hadi unalewa manka!
Hivi kumbe wewe ni mbumbumbu kiasi hiki?
Unadhani kazi ya U Katibu mkuu wa wizara ni ya CCM? Hiyo ni ajira ya serikalini na Kitila alikuwa mtumishi wa umma kama mhadhiri hivyo alistahili kuwa promoted na kupewa KM wa wizara! Kumbe unaandika sana JF but uwezo wako wa ufahamu uko that much low?
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wataingia tu nao Bungeni Ubunge na Uwaziri ni wa Familia kwa sasa kama Baba yako hakuichangia TANU usitegemee labda kwa UCHAWA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mimi ninachoona kuna kugombea kihalali kama mtu mwingine asiye na wazazi wenye legacy, na kuna kugombea kwa kutumia nguvu ya mzazi...

Kuna watu waliotajwa na mleta mada hapo juu, bila kushikwa mkono na wazee wao leo hii wasingekuwa na nafasi za uongozi...

Kuna wakati nishawahi kusoma maandishi ya Le Mutuz, kuwa katika maisha yake hakuwahi kutegemea cheo cha baba yake kimpe ahueni ya mambo yake...
Lemutuz ni mtoto wa nje, hakua sana kwenye mapenzi ya familia na alilisema hili. Hivyo kupata vyeo kupitia baba isingewezekana
 
Le mutuz ni bilionea anakaa na mabilionea wenzake kama akina mosha, hawezi kukaa the whole day bungeni muda huo anautumia kuingiza mapesa...le akili kubwaaz, american spirit
Mkuu Hivi bilionea mosha ni yupi/nani?
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.
Umemsahau Samia jr, anaita wanu
Na wote hao ni majuha watupu, hebu nieleze Kati ya nani intelligent?
Kawawa jr, makamba nr, nnauye jr, kikwete jr, ditopile jr, Samia jr
 
Hivi kumbe wewe ni mbumbumbu kiasi hiki?
Unadhani kazi ya U Katibu mkuu wa wizara ni ya CCM? Hiyo ni ajira ya serikalini na Kitila alikuwa mtumishi wa umma kama mhadhiri hivyo alistahili kuwa promoted na kupewa KM wa wizara! Kumbe unaandika sana JF but uwezo wako wa ufahamu uko that much low?
Upo sahihi, kitilia ni professional. Tena makatibu wakuu wengi walikua wakitolewa udsm. Ukiachia wale waliokua promoted kutoka wizarani
 
Back
Top Bottom