cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Kwani mkapa alikuwa na watoto?Kuna mtoto wa Mkapa hapo bungeni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mkapa alikuwa na watoto?Kuna mtoto wa Mkapa hapo bungeni?
[emoji23][emoji23][emoji23]Sio kila Hassan ni Mwinyi.
Wile ni mwanao ambaye yupo pale Tegeta anauza magari?Kwani mkapa alikuwa na watoto?
Uchaga na umusoma ni wapi na wapi mzee?Mbowe= Nyerere. Msije mkasema Baba wa Taifa hajaacha alama
Siyo kazi yangu kumfahamu mtu mpaka nichukue na CV yake
Kabisa aiseeNdiyo maana halisi ya jina Mwinyi, wanaendeleza 'umwinyi'.
Ndiyo hapo sasaUchaga na umusoma ni wapi na wapi mzee?
Yupi kati ya hao aligombea na kushinda kihalali?Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.
Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.
Ipyana RIP naye hakufika mbali.
Mwele tena mshumaa umezimika
Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni
Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jumaa kareem.
Hakika hata mimi nimeona ilo na mama ameshamkataaAlitokea udsm kama lecturer(academician) tatizo yeye alichagua uchumia tumbo kuliko proffesionalism na madhara yake hatodumu katika siasa na uenda huu ndo ukawa ubunge wake wa mwisho
Mmoja ni katibu mkuu wa wizaraWatoto wa Mkapa unawajua mkuu?
Mkuu unaniuliza ama unanijibu swali languWile ni mwanao ambaye yupo pale Tegeta anauza magari?
Mwanae ni katibu mkuu wa wazaraKuna mtoto wa Mkapa hapo bungeni?
Kweli maana watoto wake madokta maprofesa hadi majaji wametuwakilisha hadi kimataifa.Kuna uwezekano kwao siasa sio kipaumbele kama ilivyo kwa hao wengine...
Wizara ndiyo bunge? hapo siyo siasa hata wewe unaweza kuwa KMMwanae ni katibu mkuu wa wazara
Nicholas Nnnkapaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa bongo yote yawezekana mkuuWizara ndiyo bunge? hapo siyo siasa hata wewe unaweza kuwa KM
Kuhusu kuwekeza kwenye Elimu Mzee Malecela muondoe. Hakuna mtoto wake asiye na Elimu ya chuo. Mwele amefariki akiwa Dr. utasemaje baba yake hakuwekeza kwake kielimu?Wazee hawa walioishi kwenye nadharia za ujamaa kindakindaki , hawakuwekeza zaidi kwenye elimu na urithi wa watoto wao. Mifano ni mingi hata Mwl hakuwekeza huko zaidi ya ikulu kuwabeba.
Rip. Mwele, nakumbuka kisa chake na marehemu Maghufuli
Lakini kila Mwinyi ni Mwinyi.Sio kila Hassan ni Mwinyi.
Unaweza kuwa sahihi, maana alitoka kuwa muuza dagaa huko Nkasi Rukwa hadi ubunge na Elimu ya hapa na pale!!Kibajaj ni mtoto wa mstaafu jimbo la Mtera chini ya kapeti hiyo
Mzee Msuya , Mzee Salim, Mzee Warioba , Mzee Sumaye sijui Mzee Pinda, ila kuna familia nyingine siasa kwao siyo kipaumbele siyo lazma urithi kazi ya baba unaweza kurithi ya mjomba pia tena zaidi.Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.
Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.
Ipyana RIP naye hakufika mbali.
Mwele tena mshumaa umezimika
Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni
Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jumaa kareem.
Hili swali wakikujibu unishitue na Mimi.Alizaa na nani