Watoto wa Mzee Malecela hawana bahati na Siasa kama ilivyo kwa Wana wengine wa viongozi wa CCM

Watoto wa Mzee Malecela hawana bahati na Siasa kama ilivyo kwa Wana wengine wa viongozi wa CCM

Yaani kwa bongo makatibu wakuu waliotokea vyuoni ni wengi sana,ninaowajua mimi,francis michael-udsm,prof eliamani sedoyeka-TIA,jimmy jonas -IFM,emmanuel ole gabriel -IFM,kuna yule akitoka udsm akaenda nssf nae sasa ni katibu mkuu sonebody kahrayra sijui
Ni sawa Boss wangu. Lakini umekutana nao ukaona wangapi wanajua hata maana ya Katibu Mkuu au hujawahi wapelekea tatizo. Mimi nina ushahidi wa kimaandishi hapa kwa baadhi ya majibu yao waliyonipa nilipowapelekea tatizo. Wanaudhi halafu wanadhani wanajua! Kuna tofauti kubwa sana kati ya shule na utendaji ingawa ni kweli kuna wachache wamefaulu yote mawili; hao nao nawafahamu lakinihao wachache hawatangulizi vyeti kwenye utendaji na pia wako tayari kuelezwa yale ambayo hawayajui!
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.

Vipi kuhusu watoto wa Mkapa, Magufuli, lets say Sumaye na Msuya kwa uchache. Hasa hao wawili wa kwanza, ukinijibu hapo nitakufafanulia sababu
 
Ni mzee Malecela pekee katika wale wakongwe wa CCM ambaye hana mtoto mbunge.

Le mutuz aligombea ubunge wa Afrika Mashariki akafeli.

Ipyana RIP naye hakufika mbali.

Mwele tena mshumaa umezimika

Yule Anna Kilango alikuwa mwanasiasa kabla ya kuolewa na mzee Malecela, nakumbuka mwaka 2000 alimgaragaza mzee Keenja rip kwenye kura za maoni pale Ubungo sema tu Mkapa akaingilia kati Keenja akatimba bungeni

Ukifika bungeni utawakuta akina Jr kibao, kwa mfano Kawawa Jr, Nnauye Jr, Kikwete Jr, Mwinyi Jr, Makamba Jr, Lowassa Jr, Ditopile Jr nk...nk. amekosekana Le mutuz na Kinje tu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Jumaa kareem.
Le Mutuz mbona alipanda sana hadi kuwa mshika begi wa Makonda !
 
Kuna siku Hawa vilaza ma juniour ndiyo watakua wanaendesha nchi.
Mmoja wao akishika hata u PM tu, tumeumia.
Kati ya Hawa vilaza nitajie mmoja aliyepata division one fomfoo.
Makamba alifutiwa matokeo ya fomfoo kwa kilichohisiwa udanganyifu japo the guy is bright.
Halafu Hawa vilaza wakija kuwatumbukiza watoto wao kwenye system ndio mtajua hamjui.
Ngoja leo huenda nikaelewesha vizuri.
Umesema makamba ni bright, u-bright wake upo kwenye nini?
 
Ni sawa Boss wangu. Lakini umekutana nao ukaona wangapi wanajua hata maana ya Katibu Mkuu au hujawahi wapelekea tatizo. Mimi nina ushahidi wa kimaandishi hapa kwa baadhi ya majibu yao waliyonipa nilipowapelekea tatizo. Wanaudhi halafu wanadhani wanajua! Kuna tofauti kubwa sana kati ya shule na utendaji ingawa ni kweli kuna wachache wamefaulu yote mawili; hao nao nawafahamu lakinihao wachache hawatangulizi vyeti kwenye utendaji na pia wako tayari kuelezwa yale ambayo hawayajui!
Tatizo ni kiburi chao tu cha kujiona wasomi,kujifanya wanajua kila kitu lakini kazi yao sio ngumu kivile,degree moja tu kwa any field inatosha,kumbuka mwandosya na mohamed bilal pia walitoka udsm kuwa makatibu wakuu wazuri tu
 
Tatizo ni kiburi chao tu cha kujiona wasomi,kujifanya wanajua kila kitu lakini kazi yao sio ngumu kivile,degree moja tu kwa any field inatosha,kumbuka mwandosya na mohamed bilal pia walitoka udsm kuwa makatibu wakuu wazuri tu
Majina mazuri lakini kama wangefikia hata nusu ya umahiri na utendaji wa Katibu Mkuu Timothy Apiyo hungehitaji kuwaibua hivyo ungesikia Ukatibu Mkuu wao unaelezwa ulivyotukuka kama unavyowasikia baadhi ya Majaji waliopita sifa zao. Makatibu wakuu nguli wengine ni akina Shelukindo, Benard Mulokozi na Rutabanzibwa aliyekuwa Wizara ya Ardhi!
 
Back
Top Bottom