Watoto wa Reginald Mengi wapo tofauti sana

Watoto wa Reginald Mengi wapo tofauti sana

yupo anasoma Edern Garden Moshi,na kila siku anapelekwa shule na gari na kurudi na analala Salsalnero hotel ya dingi ake....acha ubishi!!!! yuko standard seven sahiv


kuitwa Joshua Mengi sio lazima awe amezaliwa na reginald Mengi...hilo jina la Mengi ni ukoo so huo umjuaye wewe anaweza kua ni mtoto wa ukoo wa mengi
 
yupo anasoma Edern Garden Moshi,na kila siku anapelekwa shule na gari na kurudi na analala Salsalnero hotel ya dingi ake....acha ubishi!!!! yuko standard seven sahiv

Hahahahahaha jamaa acha fix wewe.. Akina Mengi wapo wengi hilo la kwanza.. Huyo dogo unayemsema ni mjukuu wa kaka yake Mengi sio mtoto wa Reginald.. Watoto wa Reginald ni wakubwa sio wa kuwa Std 7 au hata Undergraduate ukiacha hawa mapacha
 
Hahahahahaha jamaa acha fix wewe.. Akina Mengi wapo wengi hilo la kwanza.. Huyo dogo unayemsema ni mjukuu wa kaka yake Mengi sio mtoto wa Reginald.. Watoto wa Reginald ni wakubwa sio wa kuwa Std 7 au hata Undergraduate ukiacha hawa mapacha
Ndio aitwe Joshua Reginald Mengi??acha ubishi mkuu,watoto wa nje huez jua
 
kuitwa Joshua Mengi sio lazima awe amezaliwa na reginald Mengi...hilo jina la Mengi ni ukoo so huo umjuaye wewe anaweza kua ni mtoto wa ukoo wa mengi
Mkuu anaitwa Joshua reginald mengi na ninao uhakika sababu mwalimu wake tunakaa nae.....kwani lazima ajulikane?.
 
Alipokufa Yule mmoja kipindi cha msiba ikasemekana Yule alokufa ndo alikuwa Tegemeo la Mzee , eti alikuwa anamwamini sana mwanae Yule kuliko wengine wote!
Basi yakasemwa mengi unajua tena mambo ya Kwenye msiba wakasema sijui kuna mtoto mwingine sijui msagaj , mwingine eti haeleweki kichwa chake hivi na hivi!
Hizo Habari zilivuma sana wakati ule sijui kwanini!
Baadae ikawa kimya sijui ndo kusema ilikuwa uzushi au la!
 
Hata watoto wa Magu pia, ni nadra sana kuwakuta Magogoni.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Imezoeleka watoto wa mabilionea kuwa na kashfa mbalimbali kama za kifisadi, madawa ya kulevya, wizi, umalaya nk but kwa watoto wa huyu mzee maarufu imekuwa tofauti sana kusikia kashfa zao ni nadra sana kuwakuta wakiuza sura kwenye TV kiukweli au kuwaona kwenye viwanja vya bata hapa bongo ni mfano wa kuugwa kwa kweli kwa watoto wa matajiri r. i. p.motiel mengi.. ila hawa watoto ni mfano wa kuigwa
Unakumbuka yule mtoto wake aliichukua timu ya pazi queens akaipeleka south afrika,aliendaga kuwafanya nini?
 
Watoto wenyewe hata miaka mitatu hawajafikisha wape muda
Mbona wapo wakubwa kabisa yupo regina anayesimamia kampuni ya palmolive,hii familia haina mbwembwe kabisa tunaishi na mengi kinondoni lakini hata kumuona huyo k lyn ni kwa mbinde sanaa unaweza kaa mwaka mzima usione anatoka au anaingia saa ngapi
 
Niliwahi kutamani kuweka thread kama hii kuhusu Mh Mizengo kayanza peter Pinda!! Nikaogopa kubananishwa!! But now this you unleashed my peer appreciations to whom it's due!!asante sana
Pinda nawafahamu watoto wake wawili wana mbwembwe vibaya sana mmoja wa kike na huyo wa kiume ukikaa naye unaweza kuchukia bila kupenda
 
Wakubwa walioko hai ni wawili
Regina (anafuga dread hivi) ambaye ana manage EATV na EA radio,na Abdiel ambaye pia kama haijabadilika alikua ni moja ya wakurugenzi ndani ya the guardian,

Aliyefariki alikua Rodney Mutie (alikua mtu mwema pia) na ndio alikua mkuu wa Ea tv na radio.
Plus twins wa dada Klynn...
Upo sahihi ila regina walishamzushia kashfa ya usagaji
 
Rumours has it Regina ni mkoboaji na mpaka sasa hajaolewa wala hana watoto.
Mh sikweli kuna jamaa yangu alikuwa anapiga huyu bibie miaka ya 90 na alikuwa anamfuata Kinondoni na M Benzi fulani hivi enzi hizo ulikuwa hatari sana unless kama kaanza hiyo michezo sasa hivi
 
Back
Top Bottom