Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Watu wanafukunyua sana...Ha huu uzi umefufuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanafukunyua sana...Ha huu uzi umefufuka
Ha ha ha...Fikiria Wema na Mabeto wangekuwa watoto wa Mengi sijui kama tungekuwa tunalala
Kuna wakubwa sio hao wadogo mpendwaWatoto wenyewe hata miaka mitatu hawajafikisha wape muda
Matatizo ya Wema,Mabeto na Diamond sio baba zao bali mama zao,umjini na ushwahili umewakaa sana kwenye akili zao,wao wanatumia uceleb wa watoto nao kujifanya maceleb hadi wanakosa akili kuwa wao ni wazazi na ni watu wazima,kutwa wapo makalioni kwa watoto waoIla hata baba yake wema hakuwa mtu dhaifu pia
Imezoeleka watoto wa mabilionea kuwa na kashfa mbalimbali kama za kifisadi, madawa ya kulevya, wizi, umalaya nk but kwa watoto wa huyu mzee maarufu imekuwa tofauti sana kusikia kashfa zao ni nadra sana kuwakuta wakiuza sura kwenye TV kiukweli au kuwaona kwenye viwanja vya bata hapa bongo ni mfano wa kuugwa kwa kweli kwa watoto wa matajiri r. i. p.motiel mengi.. ila hawa watoto ni mfano wa kuigwa
Yule wa kike ndiye aliyepata masters hapo mzumbe?Pinda nawafahamu watoto wake wawili wana mbwembwe vibaya sana mmoja wa kike na huyo wa kiume ukikaa naye unaweza kuchukia bila kupenda
Not muite,MUTIEWatakuwa wamepata funzo kutoka kwa marehemu kaka yao Muite,aliyekuwa boss wa EATV
Usilolijua......vipi yule anayewaoaga wanawake wenzieImezoeleka watoto wa mabilionea kuwa na kashfa mbalimbali kama za kifisadi, madawa ya kulevya, wizi, umalaya nk but kwa watoto wa huyu mzee maarufu imekuwa tofauti sana kusikia kashfa zao ni nadra sana kuwakuta wakiuza sura kwenye TV kiukweli au kuwaona kwenye viwanja vya bata hapa bongo ni mfano wa kuugwa kwa kweli kwa watoto wa matajiri r. i. p.motiel mengi.. ila hawa watoto ni mfano wa kuigwa
So ugonjwa wetu maarufu umeshaucheck?Kama bado hakikisha kacheck mkuu maana yawezekana alikuwa anatembelea Jimbo kitambo wakati na wewe ndo mwenye Jimbo!Motie katifua sana watoto wa ifm aisee. Siku ambayo manzi wangu aliingia ndani ya gari yake ambayo ilikua imepaki kule usawa wa makumbusho ya taifa ndio nikajua karatasi yenye thamani ni pesa, vyeti ni uchafu..
Nlimtema instantly mkuuSo ugonjwa wetu maarufu umeshaucheck?Kama bado hakikisha kacheck mkuu maana yawezekana alikuwa anatembelea Jimbo kitambo wakati na wewe ndo mwenye Jimbo!
All in all sio tatizo nowdays,zingatia masharti tu!
Unadhani kwa Uzi huu utazuia wewe kubananishwa??Niliwahi kutamani kuweka thread kama hii kuhusu Mh Mizengo kayanza peter Pinda!! Nikaogopa kubananishwa!! But now this you unleashed my peer appreciations to whom it's due!!asante sana
Nibananishwe kwa kipi?Unadhani kwa Uzi huu utazuia wewe kubananishwa??
Acheni kumsingizia marehemu mimi nilisoma naye darasa moja Ifm hicho unachokisema nakataa asilimia 100 RIP MutieMotie katifua sana watoto wa ifm aisee. Siku ambayo manzi wangu aliingia ndani ya gari yake ambayo ilikua imepaki kule usawa wa makumbusho ya taifa ndio nikajua karatasi yenye thamani ni pesa, vyeti ni uchafu..
Mkuu bwana, sasa we wakati unasoma nae kwani mimi nlikua nimeanza chuo?Acheni kumsingizia marehemu mimi nilisoma naye darasa moja Ifm hicho unachokisema nakataa asilimia 100 RIP Mutie