Kwahiyo wavae vimini haina neno?Kunamengi mazito ya kukomaa nayo ktk elimu yetu Africa ukiachana na kuchomekea, Elim yetu inamsaada mdogo sana kwa wanafunzi uko mbelen
Nidhamu. Inategemea unaongelea nidhamu ya nn hasa... watu wengi wana overuse neno nidhamu. Utakua surprised kujua namna watu wa hizo shule kubwa jinsi walivo watovu wa nidhamu. Sema wao wanakua na nidhamu ya uwoga tu. Mm nawajua wengi tu waliosomea izo shule maana nilisoma nao chuo; hua hawana nidhamu sawa tu na wale wanaosoma shule za kata. Ndio wengine wana nidhamu ila wengine hawana vilevile tu kama wa shule za kata...Nidhamu mkuu, nidhamu. Shule unazoziongelea hapo nidhamu yao ni ya juu mno. Sidhani hata kama umeelewa nilichoandika kabla hujanijibu.
Nilipozungumzia viatu vya kamba na viwango vya suruali ni kwasababu najua shule za serikali wana viwango vyao kwenye suruali na viatu ni lazima viwe vya kamba na vyeusi, pia ni lazima mtoto achomekee muda wote. Mtoto asipotimiza hili inamaana hana nidhamu.
Hizo shule ulizoziita 'International' sidhani kama wana huo utaratibu wa kuvaa viatu vya kamba na viwango vya suruali halafu watoto hawazifuati. Nafahamu shule ulizoita wewe za 'International' hawana vizuizi vingi kwenye aina ya uvaaji tofauti na shule za serikali.
Huwezi kukosa nidhamu na ukafanikiwa hapa Duniani, sahau hilo.
Watoto na vijana hawawezi kuvaa nje na kile kinchoendelea na jamii,Lakini hata mtaani kunahitaji nidham, hawa hawa ndo wakwe wenu baadae watawaolea watoto wenu
Nidhamu katika muktadha gani? Mafanikio katika muktadha gani? Sare ina mchango gani katika kubadili ‘cognitive’ ya mwanafunzi?Nidhamu mkuu, nidhamu. Shule unazoziongelea hapo nidhamu yao ni ya juu mno. Sidhani hata kama umeelewa nilichoandika kabla hujanijibu.
Nilipozungumzia viatu vya kamba na viwango vya suruali ni kwasababu najua shule za serikali wana viwango vyao kwenye suruali na viatu ni lazima viwe vya kamba na vyeusi, pia ni lazima mtoto achomekee muda wote. Mtoto asipotimiza hili inamaana hana nidhamu.
Hizo shule ulizoziita 'International' sidhani kama wana huo utaratibu wa kuvaa viatu vya kamba na viwango vya suruali halafu watoto hawazifuati. Nafahamu shule ulizoita wewe za 'International' hawana vizuizi vingi kwenye aina ya uvaaji tofauti na shule za serikali.
Huwezi kukosa nidhamu na ukafanikiwa hapa Duniani, sahau hilo.
Mkuu, haya mambo ya kutochomekea yalikuwepo toka zamani, I mean, tangu ninamaliza kidato cha sita mwaka 2007 sema kwa siku hizi watu wamekuwa wengi hivyo hata wasiochomekea wameongezeka.Lakini hata mtaani kunahitaji nidham, hawa hawa ndo wakwe wenu baadae watawaolea watoto wenu
Asilimia kubwa ya wazazi ambao hawana muamko wa elimu pia hawana muda na good manners za watoto wao.Nimekupata lakin kama wanafunz wakiwa katika mazingira ya shule wakiwa wamechomekea ila wakitoka ndo wanachomoa naona sio tatzo sana au sio vibaya
Kwamba msanii ni kioo cha jamii au siyoWatoto na vijana hawawezi kuvaa nje na kile kinchoendelea na jamii,
Utamaduni siku hizi si mali ya jamii moja, wale wenye ushawishi na vioo vya jamii ndiko ambako vijana huiga.
Mwanafunzi anataka aonekane Kama Diamond Platinum, kwa sababu anavutiwa nae, akivaa jeje a.k.a bwanga staili, nao wanavaa.
Tamthilia, muziki, wachezaji mpira na washereheshaji mbalimbali kwa ujumla ndio wanaoangaliwa.
Vijana wanajifunza kwa kuona sio kwa kuambiwa peke ake. Kwa viongozi hao nao Wana maadili?! Tunasikia ‘mipigo’ kila Kona, kwao hii tabia bado wanashindwa kuikomesha.
Hata hivyo utamaduni ni dhana nyumbufu sio funge. Kama ambavyo waliosoma miaka ya mwanzoni walikuwa wakipiga 'mlege' kuonesha ‘unyamwezi-wa-kimambele’, ndivyo ilivyo kwa Sasa pia.
Kwani hilo swala la kuchomekea lina msaidiaje mwanafunzi kitaaluma?Wazazi, mpoo, mleta Mada upoo unaangalia.
DuhKuna siku nilipita dukani nka kuta watu wamekaa kwa njee. Si wakapita wanafunzi wa shule ya kata walikua wana toka shule maongezi yalkua kama ifuatavyo,
Malaika; hizi shule uki waangalia tu unajua hawa awa toboi necta
Shetani ; hili liko wazi sijui kwa nini wana endelea kusoma hili hali wanajua darasa zima wata faulu wa 5
Malaika ; kwani waalimu wa shule za kata ni tofaut na wale wa private ?
Shetani: private watu wame lipia pesa zao waalimu awa wezi kuleta mzaa kama uku kata
Malaika : akacheka
Wanadai haina nenoNa kutochomekea ni sababu ya wanafunz kuvaa kata "k"
Ushauri mzuriMfumo wenyewe wa Elimu ni Utumwa tupu, haina haja.
Kama vipi pigeni marufuku kuchomekea shuleni, nao watachomekea.