Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

Aisee acha kabisa ndugu yetu yeye tukiwa likizo kwa babu, siku moja asubuhi tunajiandaa kwenda shamba nyuma tu ya nyumba yeye akagoma na kutishia kujinyonga (sijui ugomvi ulianzia wapi na babu)
Babu akasema mwacheni ajinyonge nitazika.... Basi tukaenda shamba... Muda si mrefu tukasikia mtu anapiga kelele, kukimbia kufika home, jamaa ananing'inia ila kaweka mikono kwenye shingo kamba isimbane... Kumbe alitundika kamba kwenye kenchi akapanda juu ya kiti akajitia kitanzi, akakipiga kiti teke kikaanguka... Maumivu yalipozidi akijiokoa kwa kuweka mikono kooni na kupiga kelele
Babu alipokuja tukajua atapaniki na kusema tumshushe
Kwa mshangao wa wengi babu alikuja na mkwaju wa mpera... Jamaa alichezea kichapo mpaka akakojoa ndio tukamshusha... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa hivi ni boss mkubwa mahali... Siwezi hata kumkumbushia

Jr[emoji769]
[emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fala sana huyoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee acha kabisa ndugu yetu yeye tukiwa likizo kwa babu, siku moja asubuhi tunajiandaa kwenda shamba nyuma tu ya nyumba yeye akagoma na kutishia kujinyonga (sijui ugomvi ulianzia wapi na babu)
Babu akasema mwacheni ajinyonge nitazika.... Basi tukaenda shamba... Muda si mrefu tukasikia mtu anapiga kelele, kukimbia kufika home, jamaa ananing'inia ila kaweka mikono kwenye shingo kamba isimbane... Kumbe alitundika kamba kwenye kenchi akapanda juu ya kiti akajitia kitanzi, akakipiga kiti teke kikaanguka... Maumivu yalipozidi akijiokoa kwa kuweka mikono kooni na kupiga kelele
Babu alipokuja tukajua atapaniki na kusema tumshushe
Kwa mshangao wa wengi babu alikuja na mkwaju wa mpera... Jamaa alichezea kichapo mpaka akakojoa ndio tukamshusha... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa hivi ni boss mkubwa mahali... Siwezi hata kumkumbushia

Jr[emoji769]
Hawa wazee wetu walikuwa wanaona mbali sana. Hilo lilikuwa somo kwa ajili yenu kuwa mkiamua kujiua na hasara zenu si zake so hii iliwaogopesha kwamba hata ukifa hakuna anaejali but rohoni wanakuwa wamebeba machungu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeambiwa ukaoge,wewe umenawa anakuchek shingo chafu,
Kichapoo cha mbwa koko

Unakaguliwa halafu bahati mbaya unakutwa na alama za kutenganisha ulimoishia kunawa sehemu nyingine zimepauka, hallow kichapo chake utakachopata , halafu unaambiwa ukaoge tena.
 
Ukiwa mdokozi utachapwa
Ukiwa cheka wenye magovi unakula kipigo
Ukicheza kibaba baba mkaenda jifisha na mama zaidi ya lisaa wenzenu wakienda kusema unachapwa
Ukikaa na mdada aliekuzidi umri afu anakwita mchumba, kichapo
Kuku wasipoenea bandani kichapo
Ukichagua msosi kipigo
Ukikataa kwenda shamba kichapo
Ukisusa kichapo
Ukirudi home chupi ya VIP iko kifuani kichapo
Ukitamka neno chumvi usiku, unazibuliwa na mwiko wa kushtukiza afu unaambiwa sema mkubwa wa jiko.
Ukila firigisi kichapo, hiyo anakula baba
Ukitoka kwenye ngoma za mashetani usiku fimbo
Ukienda madrasa umechelewa kichapo, na usipoenda kichapo.
 
1. Unalia sababu umechapwa, utachapwa tena
2. Umechapwa hukulia utachapwa tena
3. Ukijililia tu bila kupigwa, utachapwa
4. Kusimama wakati wazee wameketi, utachapwa
5. Ukiketi wakati wazee wamesimama. utachapwa
6. Kujipitishapitisha mahali ambapo wazee wamekaa, utachapwa .
7. Kuwajibujibu watu wazima, utachapwa
8. Usipomjibu mtu mzima, utachapwa
9. Kujifanya sugu wakati wa unachapwa, utaendelea kuchapwa.
10. Ukitoka kuchapwa, ukaimba au kupiga mruzi, utachapwa tena.
11. Usiposalimia wageni, utachapwa
12. Ukila chakula cha wageni, utachapwa.
13. Kuwalilia wageni wanapo ondoka, utachapwa.
14. Ukikataa kula, utachapwa.
15. Kuchelewa kurudi nyumbani baada ya jua kutua, utachapwa
16. Kula nyumba ya jirani, utachapwa.
17. Kujitia kisirani, utachapwa.
18. Kujitia kujuwa juwa sana, utachapwa.
19. Ukipigana na mtoto mwenzio, akakupiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
20. Ukipigana na mtoto mwenzio, ukampiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
21. Ukiwa unakula chakula polepole, utachapwa.
22. Ukiwa unakula haraka haraka, utachapwa.
23. Ukiwa unakula sana, utachapwa.
24. Kuendelea kulala wakati wazee wamesha amka tayari, utachapwa.
25. Ukiwa unawaangalia wageni wakati wanakula, utachapwa.
26. Ukitembea na mtu mzima, ukajikwaa na ukaangua kicheko, utachapwa.
27. Ukila na wakubwa ukachukua nyama bila kupewa, utachapwa.
28. Ukinawa kabla ya wakubwa, utachapwa.
29. Ukimaliza kula ukanyanyuka kabla ya wakubwa, utachapwa.
30. Umechelewa kurudi dukani, utachapwa.
,,N.K
*Kama umepitia malezi haya na bado ukakosa heshima basi wewe ni KONKODI. Kinga ni bora kuliko tiba.

Jr[emoji769]
Kwenye namba 12 ila mgeni akila chakula chako usilie na utaambiwa usubiri cha usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuchapwa kisha ukaanza kupiga mluzi au kuimba unaachapwaa.
Unachapwa harafu unyamaze kisha ule,mama yangu sijui ukali katika matukio tajwa hapo uliishia wapi?
Leo hii kuna last born wetu yupo darasa la saba,anadeka mapaka anakera,au kwa sababu ni binti peke yake??

Never say never
 
Mkuu huu uzi umenikumbusha maisha ya utoto.. Wengine tumelelewa na Wazee wakoloni sana. Siku moja tuko mezani tunakula. Sasa nikanawa kabla ya mgeni, nilisikia kofi limetua usoni sikujua limetoka wapi. Sekunde kadhaa nyota zikanijaa usoni na kupotea. Baada ya clear vision namuona mshua kasimama mbele yangu jicho nyanya...


[emoji28] kweli heshima kama hukuipata, basi hutoipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema namba 15, imenitesa sana, saa 1 kamili unatakiwa uwe ndani. Ukiwa mpirani jioni ndio mpira unanoga.. [emoji23] mpira unaisha saa 2 usiku ndio unafka home

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huu uzi umenikumbusha maisha ya utoto.. Wengine tumelelewa na Wazee wakoloni sana. Siku moja tuko mezani tunakula. Sasa nikanawa kabla ya mgeni, nilisikia kofi limetua usoni sikujua limetoka wapi. Sekunde kadhaa nyota zikanijaa usoni na kupotea. Baada ya clear vision namuona mshua kasimama mbele yangu jicho nyanya...


[emoji28] kweli heshima kama hukuipata, basi hutoipata

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]

Sent from Nokia 7 Plus
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukifeli mitihani utachapwa:
Jirani alimkuta dogo amekaa barazani akilia. Alipoulizwa sababu ya kulia akasema nilikuwa nimekaa tu sebuleni ghafla baba akaja na kunichapa. Jirani kaona hapa dogo ameonewa na alipokutana na mzazi alimwuliza nini sababu ya kumchapa dogo wakati hajafanya kitu? Baba akamjibu: "Ni hivi, kesho atapata matokeo yake ya mitihani, na kawaida yake anafeli na ninamchapa! Lakini kesho mimi nitakuwa safarini, kwa hiyo nimeitanguliza kichapo!"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom