Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

.
Yani kila kitu ni balaa hakuna cha afafhali apo...lazima adabu iwepo
FB_IMG_1575881503437.jpeg
 
Kwa orodha ya hiyo michapo mbona kila siku ilikuwa lazima mtu achapwe!!! Basi wazazi wa zamani walichangia uharibifu wa misitu
 
Kwa orodha ya hiyo michapo mbona kila siku ilikuwa lazima mtu achapwe!!! Basi wazazi wa zamani walichangia uharibifu wa misitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,,Ngoja tuupitie huu mswada...Japo kuchapa sio lazima fimbo...kuna kitu cha ndala na vifinyo.
 
1. Unalia sababu umechapwa, utachapwa tena
2. Umechapwa hukulia utachapwa tena
3. Ukijililia tu bila kupigwa, utachapwa
4. Kusimama wakati wazee wameketi, utachapwa
5. Ukiketi wakati wazee wamesimama. utachapwa
6. Kujipitishapitisha mahali ambapo wazee wamekaa, utachapwa .
7. Kuwajibujibu watu wazima, utachapwa
8. Usipomjibu mtu mzima, utachapwa
9. Kujifanya sugu wakati wa unachapwa, utaendelea kuchapwa.
10. Ukitoka kuchapwa, ukaimba au kupiga mruzi, utachapwa tena.
11. Usiposalimia wageni, utachapwa
12. Ukila chakula cha wageni, utachapwa.
13. Kuwalilia wageni wanapo ondoka, utachapwa.
14. Ukikataa kula, utachapwa.
15. Kuchelewa kurudi nyumbani baada ya jua kutua, utachapwa
16. Kula nyumba ya jirani, utachapwa.
17. Kujitia kisirani, utachapwa.
18. Kujitia kujuwa juwa sana, utachapwa.
19. Ukipigana na mtoto mwenzio, akakupiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
20. Ukipigana na mtoto mwenzio, ukampiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
21. Ukiwa unakula chakula polepole, utachapwa.
22. Ukiwa unakula haraka haraka, utachapwa.
23. Ukiwa unakula sana, utachapwa.
24. Kuendelea kulala wakati wazee wamesha amka tayari, utachapwa.
25. Ukiwa unawaangalia wageni wakati wanakula, utachapwa.
26. Ukitembea na mtu mzima, ukajikwaa na ukaanguka, utachapwa.
27. Ukitembea na mtu mzima, akajikwaa ukamcheka, utachapwa.
28. Ukijamba mbele ya wakubwa, utachapwa.
29. Mtu mzima akijamba, ukamwangalia, utachapwa.
30. Ukila na wakubwa ukachukua nyama bila kupewa, utachapwa.
31. Ukinawa kabla ya wakubwa, utachapwa.
32. Ukimaliza kula ukanyanyuka kabla ya wakubwa, utachapwa.
33. Umechelewa kurudi dukani, utachapwa.

Mhenga Ongezea...
Dogo, Uzi kuhusu haya mambo mbona upo hapa JF kitambo? Pia naona umefanya C&P.
 
Ukigombana ukapigwa unachapwa!
Pia ukigombana ukapiga unachapwa!

Ukitia mimba ukaikataa unachapwa ukiikubali pia unachapwa!

Ukikataa kosa unachapwa ukiikubali pia unachapwa!..😂

Inaitwa ukikaa nchale ukisimama nchale..😜😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,Zamani vyovyote vile lazima uchapwe.
Ukigombana ukapigwa unachapwa!
Pia ukigombana ukapiga unachapwa!

Ukitia mimba ukaikataa unachapwa ukiikubali pia unachapwa!

Ukikataa kosa unachapwa ukiikubali pia unachapwa!..[emoji23]

Inaitwa ukikaa nchale ukisimama nchale..[emoji12][emoji23]
 
Wazazi wa zamani sijui kwa nini walikuwa na hasira za haraka sana au kwa sababu hizi sijui doggy style nk. Walikuwa hawazijui ilikuwa ni mwendo wa kifo cha mamende
 
[emoji855]
Wazazi wa zamani sijui kwa nini walikuwa na hasira za haraka sana au kwa sababu hizi sijui doggy style nk. Walikuwa hawazijui ilikuwa ni mwendo wa kifo cha mamende
 
Back
Top Bottom