Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaDaah sipati picha sodoma na ghomorrah janga lake Yan Moto unatoka juu kuja chini...
Tuchimbe mahandaki wakuu[emoji120]
Tunasubiria tetemeko la nchi kwanza!
Lol shida ya kuzaa zaa ovyo iyo yaan mama na watoto wake hawaeleweki mama mkristo aliolewa ndoa ya kanisani haikutoshaa akaaenda kuzaa na muislamu yaan kuranda randa huku kulee ndio matokeo yake hayoooOriginal postView attachment 2531963
Ndoa ni tokeo ya mahusiano ya watu wawili mwanaume na mwanamke waliopendana kimapenzi na kuamua kuishi kama mume na mke ili kuanzisha familia
Kuoa au kutoa ni uamuzi wa mtu.Ndoa ni tokeo ya mahusiano ya watu wawili mwanaume na mwanamke waliopendana kimapenzi na kuamua kuishi kama mume na mke ili kuanzisha familia
Kwenye kundi la wakataa ndoa ndani yake kuna mashoga japo pia wapo mashoga wenye ndoa kamili
Tena kauli mbiu yao ni " support don't punish".Wazazi tuombeana sana. Na tuwaombee sana watoto wetu, vijana wetu.. Kuna walakini mkubwa sana kwenye ile kampeni ya wakataa ndoa. Tuwe karibu mno na vijana wetu wa jinsia zote wakike na wakiume .. Wote wanaharibika. Wote wanaharibikiwa jamii inaingia kwenye mtanziko mkubwa.. Kizazi kijacho kiko mashakani
Wasanii wetu ni role models wa vijana wetu. Vijana wetu, watoto wetu hutamani, huwa na ndoto za kuwa kama fulani, kuna hatari kubwa sana kupotosha na kupoteza wengi kama msanii ama mtu maarufuvakiongea kitu
Hapo mwanzo tulizoea vijana barobaro wakijitangaza mitandaoni kuwa wao ni mashoga..haikuwa mbaya sana kwakuwa hawakujulikana na wengi.. Leo hii anjitokeza kijana wa kiume wa msanii maarufu anajitangaza hadharani kuwa yeye ni shoga ana anajivunia (ushoga[emoji24]). Huyu ana followers wangapi Yarab toba!
Kipenga cha kujitangaza live kimepulizwa rasmi Tanzania, viongozi wanapiga kimya kama hawaoni.. Tunapoteza kizazi kijacho.
Ushoga umetamalaki nchini lakini mamlaka hazina nguvu hata chembe ya kukemea.. Madhara ya kukubali mikopo na misaada yenye masharti kificho
Lifestyle wanayowalea na kuwakuza watoto wao hawa tunaowaita wasanii maarufu Tanzania ni janga kubwa.. Hafundishwi kuwa wanaume kamili hawafundishwi ukakamavu.. Wanalelewa kuwa wanaume wa kike ama wanawake wa kiume... Wengi wakilelewa na mzazi mmoja.
Hakuna wa kukemea.. Zaidi ya sisi wapiga kelele mitandaoni. Tuhamasishane sisi wazazi wa huku kuwalinda vijana wetu, tuongee nao tuwe nao karibu tuwachunguze kwa karibu mienendo yao, marafiki zao nknk
Tunataka nasi tuache mbegu itakayomea na kuendeleza kizazi.. Tupunguze harakati za kimaisha tutenge muda wa kutosha kuwa na vijana wetu... Hali ni mbaya sana.
Kampeni ya kataa ndoa ni kampeni ya kishenzi, isipewe nafasi haina malengo mazuri kwa maisha ya kesho na wengi wameivamia kwa ujuaji tu wa kitoto. Hawajui matokeo yake!
Madhara ya hii kampeni ikiachwa imee yataonekana soon.. Huko mavyuoni hali ya ushoga na usagaji ni mbaya sana huko kwenye mitandao ya kijamii ndio usiseme.
Kijana anamaliza chuo ni msagaji, kijana anamaliza chuo ni shoga! Kuna familia tena hapo? Kuna ndoa tena hapo? Kuna future tena hapo?
Kama mtoto wa Monalisa kajitangaza akamewe wazi na awe ni wa mwisho. Hili likiachwa janga kubwa linakuja. Zamani tuhuma za aibu za ushoga zilikuwa maeneo ya mwambao .. Siku hizi mpaka chuga ni kama fasheni
Inauma sana!
Hakuna Msanii wa Bongo ambaye ni Role model wa MwananguWazazi tuombeana sana. Na tuwaombee sana watoto wetu, vijana wetu.. Kuna walakini mkubwa sana kwenye ile kampeni ya wakataa ndoa. Tuwe karibu mno na vijana wetu wa jinsia zote wakike na wakiume .. Wote wanaharibika. Wote wanaharibikiwa jamii inaingia kwenye mtanziko mkubwa.. Kizazi kijacho kiko mashakani
Wasanii wetu ni role models wa vijana wetu. Vijana wetu, watoto wetu hutamani, huwa na ndoto za kuwa kama fulani, kuna hatari kubwa sana kupotosha na kupoteza wengi kama msanii ama mtu maarufuvakiongea kitu
Hapo mwanzo tulizoea vijana barobaro wakijitangaza mitandaoni kuwa wao ni mashoga..haikuwa mbaya sana kwakuwa hawakujulikana na wengi.. Leo hii anjitokeza kijana wa kiume wa msanii maarufu anajitangaza hadharani kuwa yeye ni shoga ana anajivunia (ushoga[emoji24]). Huyu ana followers wangapi Yarab toba!
Kipenga cha kujitangaza live kimepulizwa rasmi Tanzania, viongozi wanapiga kimya kama hawaoni.. Tunapoteza kizazi kijacho.
Ushoga umetamalaki nchini lakini mamlaka hazina nguvu hata chembe ya kukemea.. Madhara ya kukubali mikopo na misaada yenye masharti kificho
Lifestyle wanayowalea na kuwakuza watoto wao hawa tunaowaita wasanii maarufu Tanzania ni janga kubwa.. Hafundishwi kuwa wanaume kamili hawafundishwi ukakamavu.. Wanalelewa kuwa wanaume wa kike ama wanawake wa kiume... Wengi wakilelewa na mzazi mmoja.
Hakuna wa kukemea.. Zaidi ya sisi wapiga kelele mitandaoni. Tuhamasishane sisi wazazi wa huku kuwalinda vijana wetu, tuongee nao tuwe nao karibu tuwachunguze kwa karibu mienendo yao, marafiki zao nknk
Tunataka nasi tuache mbegu itakayomea na kuendeleza kizazi.. Tupunguze harakati za kimaisha tutenge muda wa kutosha kuwa na vijana wetu... Hali ni mbaya sana.
Kampeni ya kataa ndoa ni kampeni ya kishenzi, isipewe nafasi haina malengo mazuri kwa maisha ya kesho na wengi wameivamia kwa ujuaji tu wa kitoto. Hawajui matokeo yake!
Madhara ya hii kampeni ikiachwa imee yataonekana soon.. Huko mavyuoni hali ya ushoga na usagaji ni mbaya sana huko kwenye mitandao ya kijamii ndio usiseme.
Kijana anamaliza chuo ni msagaji, kijana anamaliza chuo ni shoga! Kuna familia tena hapo? Kuna ndoa tena hapo? Kuna future tena hapo?
Kama mtoto wa Monalisa kajitangaza akamewe wazi na awe ni wa mwisho. Hili likiachwa janga kubwa linakuja. Zamani tuhuma za aibu za ushoga zilikuwa maeneo ya mwambao .. Siku hizi mpaka chuga ni kama fasheni
Inauma sana!
Hakuna ushoga wa kurithi acha kudanganya watu.Lol shida ya kuzaa zaa ovyo iyo yaan mama na watoto wake hawaeleweki mama mkristo aliolewa ndoa ya kanisani haikutoshaa akaaenda kuzaa na muislamu yaan kuranda randa huku kulee ndio matokeo yake hayooo
Na siku izi kuna shida moja unakuta mdada ana kwambia yy anataka aolewe na handsome boy hajachunguza family history kumbe ktk koo huko una kuta alikuwepo ki shoga eo kizazi kina risishwa pole pole
Sio sahihi kusema kila asiyeoa ni shoga. Nadhani pengine sikueleweka nilipowapinga wale wenye kampeni yao ya kataa ndoaKuoa au kutoa ni uamuzi wa mtu.
Na mtu anaweza akawa hajaoa lakini anakuwa na mademu anawachakata na tunao wengi wa aina hiyo kwenye jamii zetu.
Kwa hiyo kuhusianisha kutooa na ushoga naona haiko sawa. Kuna wanaume wengi hawajaoa je, tuseme ni mashoga
Hapa sawa 💯🤝Sio sahihi kusema kila asiyeoa ni shoga. Nadhani pengine sikueleweka nilipowapinga wale wenye kampeni yao ya kataa ndoa
Walio na familia wanaelewa kwa undani hili jambo, ndio maana nimesisitiza sana wazazi wotwme wawili kuwa karibu na watoto waoUnajua watu wa humu mnanichekesha sana. Yani mnahisi labda wazazi wakikemea sijui malezi yawe bora sijui tuzuie wazungu ndo ushoga utaisha. La hasha kuna vitu wewe fumba macho achana na kuwaza mtu mzima mwingine anatumia vipi viungo vyake..