Mkuu Mshana ,hiyo ni biashara ,wako wanapromote biashara yao ya kuuza kisamvu , we unafikiri wanajitangaza tu hivyo bure bure ,for what ? ,
Kuna maclient wakubwa maarufu ,powerful na wenye pesa ambao ndio wanaonunua hao vijana na kulala nao kinyume na maumbile kwa dau nene , haimake sense kwamba mtu akitangaza shoga na akijua reputation yake itachafuka ,so ni demand na supply .
Ni kama kupambana na kuzuia biashara ya ngada ,war on drugs doomed to failure .
Huko nchi za wenzetu kuna homsexual rituals , kulala na mtu kinyume na maumbile inatumika pia katika ibada za kishetani , na ni watu maarufu ,matajiri na influencial wanafanya hizo sexual rituals , wasanii kama Michael Jackson ,R Kelly na wengine wengi wafiraji ,mpaka makasisi wa makanisa nk wanafanya hizo mambo kitambo mpaka leo