Kama una familia una kila kitu bila kujali ufukara wakoDah very sad, jana kuna single mama alikua anamwadhibu mwanae wakiume wa darasa la pili ila tayari kameshaanza hiyo michezo ya kuingiliwa, nilijiskia vibaya sana mpaka sasa najiuliza hivi tunaelekea wapi sipati jibu.
Hali ni mbaya sana, hii kasi sio ya kawaida
wewe haupo sawa, ni haki yetu kuwaza na watu wenye mawazo kama mnahitajika kuchomwa motoUnajua watu wa humu mnanichekesha sana. Yani mnahisi labda wazazi wakikemea sijui malezi yawe bora sijui tuzuie wazungu ndo ushoga utaisha. La hasha kuna vitu wewe fumba macho achana na kuwaza mtu mzima mwingine anatumia vipi viungo vyake..
Wakati anavuma mwaka 1999 hadi 2000 kwenye bahati nasibu ya Jackpot Bingo ITV wewe labda ndo ulikuwa kijijini kwenu unadanganywa na mama kwamba mtoto ananunuliwa hospitalini.Monalisa ndio nani?
Haya ndio matunda ya kampeni ya kataa ndoaWamama wanachangia sana watoto wa kiume kuwa mashoga ,just imagine zari anafurahia kabisa wanae wa kiume kuvaa hereni zake.
Mtoto wa kiume inatakiwa alelewe kimafia ,ukimlea kimayai mayai ni majanga sana.
Na followers wameongezeka balaa hili
Kweli kabisa familia ni muhimu sana, hii kampeni ya kataa ndoa ni threat kwa familiaKama una familia una kila kitu bila kujali ufukara wakoView attachment 2532146
mkuu mnanichekesha sana mtu alelewe kimayai au kibabe haibadilishi kitu,. turudi kwenye historia ya dunia kidogo. miaka kama 800BC kulikua na watu wanaitwa Spartans yani ilikua ni jamii ya vita na watoto wa kiume walilelewa kijeshi lakini wao jamii yao ilijaa ushoga kupitiliza. sasa kama kulelewa kigumu na kiuanaume kunazuia ushoga mbona facts zinapinganaMkaushieni dogo.
Sema mtoto kalelewa kiaunt aunt sana.
Wananikera sana wanaolea watoto wao wa kiume kisenge hivi basi tu nakerekwa mno. Wanadhani ndiyo kumpenda mtoto kumbe unamharibu akikutana na matoto majeuri makenge akikemewa tu anainama wanampelekea ulimi wa kenge makalioni.
Chakustaajabisha zaidi ni kwamba,Mkuu Mshana ,hiyo ni biashara ,wako wanapromote biashara yao ya kuuza kisamvu , we unafikiri wanajitangaza tu hivyo bure bure ,for what ? ,
Kuna maclient wakubwa maarufu ,powerful na wenye pesa ambao ndio wanaonunua hao vijana na kulala nao kinyume na maumbile kwa dau nene , haimake sense kwamba mtu akitangaza shoga na akijua reputation yake itachafuka ,so ni demand na supply .
Ni kama kupambana na kuzuia biashara ya ngada ,war on drugs doomed to failure .
Huko nchi za wenzetu kuna homsexual rituals , kulala na mtu kinyume na maumbile inatumika pia katika ibada za kishetani , na ni watu maarufu ,matajiri na influencial wanafanya hizo sexual rituals , wasanii kama Michael Jackson ,R Kelly na wengine wengi wafiraji ,mpaka makasisi wa makanisa nk wanafanya hizo mambo kitambo mpaka leo
Baada ya kunyanduana hao watoto wanalelewa na nani?He is gay and proud and Monalisa is his mother. That's awful message , I heard most Tanzanian influential figures associate themselves with gay and lesbian consumptions. Fatality of our own.
But I strongly oppose this to be linked with kataa ndoa kataa kuoa, hii kataa ndoa iendelee ila tuwajibike kama akina Baba, tafadhari kataa ndoa haihusiani na ushoga na usagaji sisi wanaume halisi wakataa ndoa hatuhusiki na ufedhuli wa ushoga na usagaji.
Sisi tastes zetu ni mnyanduano wa mbususu na dushendende
Singo maza wanapitia changamoto sana!Matokeo ya malezi ya single parent[emoji848][emoji2827]
Ni shida! Halafu maza naye anaona fahari Toto lake kujitangaza ushoga? Bure kabisa!Kuna habari ya huyu mama mtoto na mwanae nitaiweka kukipambazuka
Baba na mama ila kila mmoja akiwa kivyakeBaada ya kunyanduana hao watoto wanalelewa na nani?
Utanitag mapema tu nipite nayoKuna habari ya huyu mama mtoto na mwanae nitaiweka kukipambazuka
TISS hawafanyi kazi yao ipasavyo, hawa watu walitakiwa wapotee tuTena kauli mbiu yao ni " support don't punish".
Na Wana centre yao bagamoyo.