Ila Mungu nisamehe kama yanayozungumzwa mitaani ni ya kweli kuhusu Mona na waume za watu,na kama si kosa la kiundishi kwa kijana wake inabidi tutafakari sana mienendo yetu na machumo tunayolisha vizazi vyetuFamilia ikishapungukiwa na mzazi mmoja ni sawa na mwili kukosa mojawapo ya viungo mwilini... Ni kama ulemavu hivi .. Sasa hapo mzazi aliyebaki asiposimama kidete watoto kuyumba ni rahisi sana
... one of the worst tv stations kusikilizwa na familia. Worse enough ndio madaa wa kazi wanapobaki majukmbani mchana wazazi hawapo wanaipenda balaa!Mi ndo maana huwa sishabikii mtu.
Wasafi yote husifia mapenzi ya jinsia 1, na hawaoni taabu kusifia
Kwa karne hii mitandao sio ya kubeza, hizi fake Id ni watu mtaani tena wenye nguvu. Chukulia mfano wa habari ya huyo mtoto wa monalisa ilivyoenea haraka mitandaoni, sidhani kama hiyo habari ingekuwa kwenye gazeti ingeshasambaa kwa kiasi kikubwa. Hii ndio nguvu ya mitandao, hao kataa ndoa taratibu wanastawi kama ilivyokua kwa ushoga, ulianza taratibu ila umeanza kushika kasi mitaani ni kitu kibaya mno. Kwa tafiti yangu ndogo mtaani napoishi, hii kauli ya sioi ipo nimeshaisikia kwa baadhi ya vijana huko vijiweni na mabanda ya mpira kwahiyo inakua taratibu, wengi tunadhani inaishia huku huku lakini uhalisia upo mitaani tunapoishi.Bro bwana. Yaani kampeni ya vijana wanaojificha na fake ID waliolelewa na single mothers au waliotoka kwenye familia zenye migogoro na manyanyaso kwa mzazi Mmoja ndio itishie familia taasisi iliyobora na kuanzishwa na Mungu mwenyewe? Huku mitaani hutujui hiyo kampeni na Kila siku watu wanaoa na kuolewa toka enzi za Nuhu. Yaani kijana mmoja anayepumuliwa kisogoni aliyekuwa frustrated na malezi na ugumu wa maisha anikataze nisimuoe mama Manka wangu? Aiseeeee
Sijasoma comment yako yote maana nimeiona ni upuuzi ila huku kwetu tunaoa kama kawaida na hata Jumamosi tumekula ubwabwa kanisani.Kwa karne hii mitandao sio ya kubeza, hizi fake Id ni watu mtaani tena wenye nguvu. Chukulia mfano wa habari ya huyo mtoto wa monalisa ilivyoenea haraka mitandaoni, sidhani kama hiyo habari ingekuwa kwenye gazeti ingeshasambaa kwa kiasi kikubwa. Hii ndio nguvu ya mitandao, hao kataa ndoa taratibu wanastawi kama ilivyokua kwa ushoga, ulianza taratibu ila umeanza kushika kasi mitaani ni kitu kibaya mno. Kwa tafiti yangu ndogo mtaani napoishi, hii kauli ya sioi ipo nimeshaisikia kwa baadhi ya vijana huko vijiweni na mabanda ya mpira kwahiyo inakua taratibu, wengi tunadhani inaishia huku huku lakini uhalisia upo mitaani tunapoishi.
Hizi ngonjera zinachusha, umeshindwa kukemea watu kama cocastic hapa JF wanaosifia kuliwa na madume wenzao au Culture Me anayekoboa wenzake, unaanza na watu ambao hawapo JF. Wakati mwingine tufiche unafiki wetuWazazi tuombeana sana. Na tuwaombee sana watoto wetu, vijana wetu.. Kuna walakini mkubwa sana kwenye ile kampeni ya wakataa ndoa. Tuwe karibu mno na vijana wetu wa jinsia zote wakike na wakiume .. Wote wanaharibika. Wote wanaharibikiwa jamii inaingia kwenye mtanziko mkubwa.. Kizazi kijacho kiko mashakani
Wasanii wetu ni role models wa vijana wetu. Vijana wetu, watoto wetu hutamani, huwa na ndoto za kuwa kama fulani, kuna hatari kubwa sana kupotosha na kupoteza wengi kama msanii ama mtu maarufuvakiongea kitu
Hapo mwanzo tulizoea vijana barobaro wakijitangaza mitandaoni kuwa wao ni mashoga..haikuwa mbaya sana kwakuwa hawakujulikana na wengi.. Leo hii anjitokeza kijana wa kiume wa msanii maarufu anajitangaza hadharani kuwa yeye ni shoga ana anajivunia (ushoga[emoji24]). Huyu ana followers wangapi Yarab toba!
Kipenga cha kujitangaza live kimepulizwa rasmi Tanzania, viongozi wanapiga kimya kama hawaoni.. Tunapoteza kizazi kijacho.
Ushoga umetamalaki nchini lakini mamlaka hazina nguvu hata chembe ya kukemea.. Madhara ya kukubali mikopo na misaada yenye masharti kificho
Lifestyle wanayowalea na kuwakuza watoto wao hawa tunaowaita wasanii maarufu Tanzania ni janga kubwa.. Hafundishwi kuwa wanaume kamili hawafundishwi ukakamavu.. Wanalelewa kuwa wanaume wa kike ama wanawake wa kiume... Wengi wakilelewa na mzazi mmoja.
Hakuna wa kukemea.. Zaidi ya sisi wapiga kelele mitandaoni. Tuhamasishane sisi wazazi wa huku kuwalinda vijana wetu, tuongee nao tuwe nao karibu tuwachunguze kwa karibu mienendo yao, marafiki zao nknk
Tunataka nasi tuache mbegu itakayomea na kuendeleza kizazi.. Tupunguze harakati za kimaisha tutenge muda wa kutosha kuwa na vijana wetu... Hali ni mbaya sana.
Kampeni ya kataa ndoa ni kampeni ya kishenzi, isipewe nafasi haina malengo mazuri kwa maisha ya kesho na wengi wameivamia kwa ujuaji tu wa kitoto. Hawajui matokeo yake!
Madhara ya hii kampeni ikiachwa imee yataonekana soon.. Huko mavyuoni hali ya ushoga na usagaji ni mbaya sana huko kwenye mitandao ya kijamii ndio usiseme.
Kijana anamaliza chuo ni msagaji, kijana anamaliza chuo ni shoga! Kuna familia tena hapo? Kuna ndoa tena hapo? Kuna future tena hapo?
Kama mtoto wa Monalisa kajitangaza akamewe wazi na awe ni wa mwisho. Hili likiachwa janga kubwa linakuja. Zamani tuhuma za aibu za ushoga zilikuwa maeneo ya mwambao .. Siku hizi mpaka chuga ni kama fasheni
Inauma sana!
Hiyo habari ya kuoa na kula ubwabwa haiusiani, kampeni ya kataa ndoa haizuii watu kuoa mkuu.Sijasoma comment yako yote maana nimeiona ni upuuzi ila huku kwetu tunaoa kama kawaida na hata Jumamosi tumekula ubwabwa kanisani.
Ulaya na Marekani kuna watu wenye majina ya Kikristo. Tofautisha Ukristo na Majina ya Kikristo. Biblia imesema wazi WAFIRAJI HAWATAURITHI UFALME WA MBINGUNI. Haijasema ni SUNNAH. Yaani imeshawahukumu bila hata kuwasikiliza na kuwapa nafasi ya kujitetea.Nchi za ulaya na marekani, ambako ndiko kuna Wakristo wengi, ndiko ushoga uko juu, na ukishabikiwa wazi wazi na serikali.
Elton John, na mumewe hualikwa kwenye sherehe za kitaifa, siyo kwa sababu ya umaarufu John, kwenye mziki la hasha bali ni ushoga wake.
Huko kuna vilabu vingi vya mashoga, vinavyotambukika na serikali zao, na serikali hukusanya ushuru wa mavi.
Nchi za kiislamu misimamo yao iko wazi, jinsi wanavyopambana na ushoga, ila Ukiingiza udini Wakristo hupenda kujiona wasafi sana, Wakati bibilia halina neno linalolaani ushoga.
Hapo beberu katuweza.Tutaliepukaje hili dubwana?View attachment 2531950
Ah we kizazi ichi bado sana kuwafikia hao jamaa wa zaman,walikua wana dhambi mamaee nyingi,wahun wakataka kumla malaikaDaah sipati picha sodoma na ghomorrah janga lake Yan Moto unatoka juu kuja chini...
Tuchimbe mahandaki wakuu[emoji120]
Tunasubiria tetemeko la nchi kwanza!
Kuna mtangazaji mmoja wa radio moja kafungua pub yake mitaa ya kinoNdikumana!?
Wasanii wenu na mashg ni Pete na kidoleSina uhakika na unachoongea
Wote kumtukuza shetaniNi huo ujinga wanaoimba ndio unapokewa na jamii yenye vijana wetu
Wacha tuwakule bwana mbona sii wanapenda de libolozWamama wanachangia sana watoto wa kiume kuwa mashoga ,just imagine zari anafurahia kabisa wanae wa kiume kuvaa hereni zake.
Mtoto wa kiume inatakiwa alelewe kimafia ,ukimlea kimayai mayai ni majanga sana.