Watoto wadogo ndani ya hijab

Watoto wadogo ndani ya hijab

Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
kuna siku nilikuta mama mmoja kavaa kininja,,,yamebaki macho tu kama m2 anaechungulia noma huku mtoto aliyebebwa amevalishwa kama huyu mtoto wa kwenye picha,,yaani maskio yamebanwa sijui ata mama yake akimwita asikia!!???
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Hijabu mashuleni aliruhusu mkapa baada ya colabo ya kitwana kondoo na profesa kapuya akiwa wizara ya elimu,hijab wanavaa waislam,joto unasikia wewe,acha chuki mbuzi wewe
 
kuna siku nilikuta mama mmoja kavaa kininja,,,yamebaki macho tu kama m2 anaechungulia noma huku mtoto aliyebebwa amevalishwa kama huyu mtoto wa kwenye picha,,yaani maskio yamebanwa sijui ata mama yake akimwita asikia!!???
Wamevaa wengine,we moyo unakuenda mbio
 
Nimelalamika watoto wadogo kuwa imposed sio wanawake watu wazima. Sawa sawa kukataa pedophilia na sio consensual sex kati ya watu wazima. Msomage hadi mwisho; hata kichwa cha habari kinasema watoto ndan ya hijab alafu nsyuka km nyie mnakuja kwa kukurupuka. Kuna masista wacatholic watoto wadogo?
Unataka waanze kuvaa ukubwani!?..unajua 'samaki mkunje angalia mbichi' Ina maana gani?!..halafu wavaaji wengine, matatizo unapata wewe
 
Utasikia wanakuambia, chakula kilichofunikwa na kilochoachwa wazi utachagua kipi?

Utasikia Mashallah, mwanamke Stara

Stupidity at its best. Kwamba kuvaa stara eti ni kwa ajili ya kumlaghai mwanaume kwamba wajisitiri na wala huna uhovyo.

Enyi Wana wa Ishamael, nani kawaloga? Tabia ndiyo kielelezo kikuu cha ustaarabu. Uvae nikabu, umefunika pua na kila mahali, ila tundu la choo limepanuka ka birika la Hoteli.

Pathetic!.
Duuuu🙈🙈
 
Wewe mpumbavu tu
Mwenye mtoto wake amekuruhusu kumuanika mtoto wake?

Bongo tuna uhuru sana yaani mtu anakupost bila idhini yako.
! Kwani Kuna aliyemlazimisha Binti yako au mke wako kuvaa hijabu. Au unapiga kelele shoga tu hata mke huna ila unalalamika wakati umeolewa na wanaume wenzako?! Wewe pilipili ziko shamba zakuwashia nini?! Angalia maisha yako mambo ya dini waachie wenye dini zao. Umeelewa wewe shoga??!!
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili[emoji15][emoji15][emoji15] kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Wewe ni shoga tu
 
Nitatoa maoni yoyote kuhusu dini yoyote sanasana km kuna upuuzi so usinitishie chochote. Cha ajabu ni midume ndo inatetea hijab zaidi ya wanawake waliokuwa programmed kuvaa😂😂 km Taliban au serikali ya Iran midume kulazimisha wanawake wavae hijab. Stupid kabisa
Wewe kichaa uliyekuwa brainwashed na waliberali wa kimagharibi utatufundisha nini sisi Waislam wewe? Hebu toa upumbavu wako hapa.

Na maoni yako hayana uzito wowote kwetu. So kafie mbele.

Mwenzio anakujibu kistaarabu, wewe unaleta ufedhuli.

Mtu kama wewe utatuambia nini tukakuelewa na umejaa ukichaa kama huu

 
Acha bangi, usipangie watu maisha we boya.
 
Ukiachana na kashfa hebu usiwe unatoa quotes kuhusiana na dini yeyote ile ikiwa hauijui wala haujaisoma kiundani .

Kingine unapokuwa una cririsize kdini tofauti uwe unaweka na ushahidi wa vifungu vya vitabu vyao wanavyoamini kwamba ni devine revelations au kauli za wale ambao hao waumini wanaamini ni mitume au manabii maana hao manabii na mitume huwa wanapokea devine knowledge .

Nikiquote kauli yako hii

"......kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kwenye Quran......"

☝☝☝☝ kwenye quran sura an-nur aya ya 31 imeelezea vizuri jinsi gani wanatakiwa kujistiri waumini wa kike na mtume muhammad (swalalah alayhi salaam) ameelezea pia kwenye hadith na mifano ya namna ya kujistiri tunaiona kwa wake zake watoto wake wa kike pamoja na wake na watoto wa kike wa maswahaba zake (radhialahu anhu).

An-Nur 24:31

وَقُل لِّلْمُؤْمِنَٰتِ يَغْضُضْنَ مِنْ أَبْصَٰرِهِنَّ وَيَحْفَظْنَ فُرُوجَهُنَّ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا مَا ظَهَرَ مِنْهَاۖ وَلْيَضْرِبْنَ بِخُمُرِهِنَّ عَلَىٰ جُيُوبِهِنَّۖ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا لِبُعُولَتِهِنَّ أَوْ ءَابَآئِهِنَّ أَوْ ءَابَآءِ بُعُولَتِهِنَّ أَوْ أَبْنَآئِهِنَّ أَوْ أَبْنَآءِ بُعُولَتِهِنَّ أَوْ إِخْوَٰنِهِنَّ أَوْ بَنِىٓ إِخْوَٰنِهِنَّ أَوْ بَنِىٓ أَخَوَٰتِهِنَّ أَوْ نِسَآئِهِنَّ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَٰنُهُنَّ أَوِ ٱلتَّٰبِعِينَ غَيْرِ أُو۟لِى ٱلْإِرْبَةِ مِنَ ٱلرِّجَالِ أَوِ ٱلطِّفْلِ ٱلَّذِينَ لَمْ يَظْهَرُوا۟ عَلَىٰ عَوْرَٰتِ ٱلنِّسَآءِۖ وَلَا يَضْرِبْنَ بِأَرْجُلِهِنَّ لِيُعْلَمَ مَا يُخْفِينَ مِن زِينَتِهِنَّۚ وَتُوبُوٓا۟ إِلَى ٱللَّهِ جَمِيعًا أَيُّهَ ٱلْمُؤْمِنُونَ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipo kuwa unao dhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, wala wasionyeshe uzuri wao ila kwa waume zao, au baba zao, au baba wa waume zao, au watoto wao, au watoto wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kaka zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, au wafwasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo yaliyo khusu uke. Wala wasipige chini miguu yao ili yajuulikane mapambo waliyo yaficha. Na tubuni nyote kwa Mwenyezi Mungu, enyi Waumini, ili mpate kufanikiwa.

#Nadhani aya iko wazi kabisa na KUHUSU WATOTO WADOGO SI LAZIMA KUWAVALISHA MAHIJAB (JILBAB) .

Ila pia sijajua kwasababu gani imekukera wao kuvalishwa hivyo though? Kama hawajalalamika sioni kama kuna shida hapo.

Kuna tabia hapa Jf ya watu kuropoka ropoka tu chochote kinachowajia kichwani. Hawa watu wananiudhi sana. Yaani anaropoka na anausemea Uislam anavyotaka yeye kama vile hii Dini ni matamanio ya nafsi yake na hapo yeye sio muislam wala hajui chochote.

Allah akulipe kheri ndugu yangu.
 
Acha shobo za dini,chuki hujengwa taratibu,vurugu zenyewe huwezi,unapandwa na roho mtakatifu anakutuma kuchokoza Imani zingine
hayo sio mavazi ya dini tukufu ya kiisla,tatizo hamsomi unafikiri uislam ni kutengeneza sgda tu!!! hayo ni mavazi ya jadi ya jamii ya watu wa mashariki,kama ilivo kwa vaazi la PUSHKIN kwa wa2 wa AFGHANSTAN,,,,,MWENYENZI MUNGU anasema kwenye kitabu kitakatifu"na tukawapa mavazi meupe marefu ya kuasitiri wakati wa joto kali, vilevile wakati baridi, nawanawake watfunika vichwa vyao kwa vitambaa navazi marefu ya kusitiri miili yao" soma acha kukariri,,,,ona makalasinga wanavovaa ??? na ona vilemba vyao,je? hao makalasinga ni waislam???? si wana dini yao ya ajabu na wanaabudu masanamu!!!!!!!????,,ona wahindi wanavovaa wanawake wao kujifunika na wanaume wao wanavovaa makanzu je??? wahindi wale ni waislam????...hao wahindi si wana dini yao ya kihindu wakimwabudu mungu wao aitwaye KRISHNA!!!! kama hauwezi kusome kiarabu kanunue Q'RAN iiliyoandikwa kwa kiswahili na marehemu sheikh aliyekuwa sheikh mkuu wa mombasa!!!
 
Kuna tabia hapa Jf ya watu kuropoka ropoka tu chochote kinachowajia kichwani. Hawa watu wananiudhi sana. Yaani anaropoka na anausemea Uislam anavyotaka yeye kama vile hii Dini ni matamanio ya nafsi yake na hapo yeye sio muislam wala hajui chochote.

Allah akulipe kheri ndugu yangu.
Amiin akulipe mara 10 ndugu
 
Nitatoa maoni yoyote kuhusu dini yoyote sanasana km kuna upuuzi so usinitishie chochote. Cha ajabu ni midume ndo inatetea hijab zaidi ya wanawake waliokuwa programmed kuvaa😂😂 km Taliban au serikali ya Iran midume kulazimisha wanawake wavae hijab. Stupid kabisa
1. Sijakutisha nimekuelekeza .
2. Kama unaquote baasi usizushe maneno uweke ushahidi wa yale unayoyaongea.
3. HII DINI SI YA BINADAMU WALA MALAIKA WALA MTUME WALA NABII YEYOTE HII DINI NI DINI YA ALLAH (the almighty) as long as umechagua kuwa muislamu basi umechagua kufuata amri na sheria za aliyekuumba.

Hivyo maoni yako hayatosaidia kitu mkuu waislamu huwa tunafuata dalili kutoka kwenye quran na sunna za mtume MAONI YAKO YATABAKI KUWA MAONI YAKO 🙂
 
Kama unahisi kuvaa hivyo ni ushamba na kwenda kanisani mapaja wazi ndio usasa basi una tatizo la afya ya akili.
 
hayo sio mavazi ya dini tukufu ya kiisla,tatizo hamsomi unafikiri uislam ni kutengeneza sgda tu!!! hayo ni mavazi ya jadi ya jamii ya watu wa mashariki,kama ilivo kwa vaazi la PUSHKIN kwa wa2 wa AFGHANSTAN,,,,,MWENYENZI MUNGU anasema kwenye kitabu kitakatifu"na tukawapa mavazi meupe marefu ya kuasitiri wakati wa joto kali, vilevile wakati baridi, nawanawake watfunika vichwa vyao kwa vitambaa navazi marefu ya kusitiri miili yao" soma acha kukariri,,,,ona makalasinga wanavovaa ??? na ona vilemba vyao,je? hao makalasinga ni waislam???? si wana dini yao ya ajabu na wanaabudu masanamu!!!!!!!????,,ona wahindi wanavovaa wanawake wao kujifunika na wanaume wao wanavovaa makanzu je??? wahindi wale ni waislam????...hao wahindi si wana dini yao ya kihindu wakimwabudu mungu wao aitwaye KRISHNA!!!! kama hauwezi kusome kiarabu kanunue Q'RAN iiliyoandikwa kwa kiswahili na marehemu sheikh aliyekuwa sheikh mkuu wa mombasa!!!
Qur'an 33:59 tuwekee hapa tuone inasemaje
 
Back
Top Bottom