Watoto wanaochukua mfanano wa mama zao au wajomba zao; sisi baba zao huwa tunakuwa katika wakati mgumu sana

Watoto wanaochukua mfanano wa mama zao au wajomba zao; sisi baba zao huwa tunakuwa katika wakati mgumu sana

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Unakuta mtoto hana mfanano wowote kwa upande wa baba au ndugu za baba yake; wengi sisi wababa huwa tunahisi, tumepigwa na kitu kizito kichwani.

Ingawa waswahili wanasema kitanda hakizai haramu; lakini kutokuwa na mfanano wowote huwa inatutesa sana.

Wakuu, hili huwa mnalichukuliaje?​
 
Mama mmoja aliniambia hvi; mwanamke akiwa mjamzito akatumia muda mwingi (kipnd cha ujauzito) kumfikiria mtu flani, basi kuna uwezekano mkubwa mtoto kufanana na mtu huyo (elimu ya mtaani[emoji3])..
Inaweza isiwe na ukweli
 
Mtoto lazima afanane na baba yake..nje ya hapo unalea mtoto wa mwanaume mwenzako..no matter utafarijiwa sijui DNA, sijui gene, sijui sura ya Babu...uyo sio mtoto wako!!!

Mtoto kama hafanani na ww basi amefanana na baba yake..kama humjui muulize vizuri mke wako
 
Back
Top Bottom