Watu 11 wamepoteza maisha ndani ya Kiwanda cha Mtibwa Sugar, Morogoro

Wameitangaza hii UTV kwenye Morning Trumpet.

Kiwanda kilikuwa kimeandaa na kutengeneza umeme wao pitia mitambo yao ya kufua umeme huo inawezekana kutumia maboiler ya huko kiwandani.

Usiku wa leo ndio walikuwa wanawasha rasmi huo umeme wao, inaonekana umeme umekuja ukiwa mkali na kusababisha control room ilipuke na kuungua kulikopelelea vifo vya hao watu 11. Kwenye control room hiyo kulikuwa na watu 13. 11 wamekufa hapo hapo na 2 ambao mmoja ni mtanzania na mwingine ni raia wa kigeni walikeruhiwa na sasa wapo Hospitali.
 
Chanzo sio Azam TV ni UTV kipindi cha Morning Trumpet kwani hakuna channel iitwayo Azam TV 😀😃😄😁
 
Kwaiyo wameiva kwa mvuke poleni wataalam ajali kazini, kwanini wasiwe na yale manguo spescheli
 
Aisee,niliwahi kufanya kazi hapo mwaka 2009 napajua vizuri nilitumia sana lile basi lao la kiwanda kwenda Madizini na kurudi kiwandani.Pole kwa ndugu zao.
 
Duh R.I.P engineers wamekufa kwenye harakat.
 
Kwa vyombo vyetu hiyo sio habari kubwa. Hata hutaisikia kivile Africa ni Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…