Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Wameitangaza hii UTV kwenye Morning Trumpet.
Kiwanda kilikuwa kimeandaa na kutengeneza umeme wao pitia mitambo yao ya kufua umeme huo inawezekana kutumia maboiler ya huko kiwandani.
Usiku wa leo ndio walikuwa wanawasha rasmi huo umeme wao, inaonekana umeme umekuja ukiwa mkali na kusababisha control room ilipuke na kuungua kulikopelelea vifo vya hao watu 11. Kwenye control room hiyo kulikuwa na watu 13. 11 wamekufa hapo hapo na 2 ambao mmoja ni mtanzania na mwingine ni raia wa kigeni walikeruhiwa na sasa wapo Hospitali.
Kiwanda kilikuwa kimeandaa na kutengeneza umeme wao pitia mitambo yao ya kufua umeme huo inawezekana kutumia maboiler ya huko kiwandani.
Usiku wa leo ndio walikuwa wanawasha rasmi huo umeme wao, inaonekana umeme umekuja ukiwa mkali na kusababisha control room ilipuke na kuungua kulikopelelea vifo vya hao watu 11. Kwenye control room hiyo kulikuwa na watu 13. 11 wamekufa hapo hapo na 2 ambao mmoja ni mtanzania na mwingine ni raia wa kigeni walikeruhiwa na sasa wapo Hospitali.