Watu 48 waokolewa mafuriko Morogoro

Mafuriko yanatokea pale maji yanapozidi uwezo wa eneo husika kuyashikilia. Hata miundombinu iwe bora vipi, yakizidi kipimo hakuna namna ya kuyazuia.
Fair enough, tujadili kwa facts mafuriko haya ya Morogoro, kwanza tupate kiwango cha mvua iliyonyesha,pili tuangalie hili jiji Lina drainage systems inayofanya kazi? Wakazi hawajajenga kwenye njia asili za maji kupita? Ule mfereji mkuu unaopita Morogoro umesafishwa? Wakazi wana uelewa wa kutotupa uchafu kwenye mifereji na chemba?Je jiji lilishajiandaa kukabiliana na mvua? Tuyajadili haya ili tuone mafuriko haya tungeweza ku limit athari zake au la
 
Motivational speakers bana.
Sishangai kupata mchango wa hoja wa namna hii, kabla ya kuwafanya wahusika wawajibike wewe unaleta politics, jiji la Morogoro linakuwa ila muundo mbinu wake uko vile vile na wewe unaona it's okay, drainage systems ingekuwa inafanya kazi, mafuriko haya yangekuwa na athari ndogo, hapa Dar mafuriko ya mto Jangwani yanasababishwa na watu walio selfish waliojenga yake mahekalu pale mikokoni, maana wamezuia njia ya asili ya maji, tuna zamisha vichwa vyetu mchangani na kujifanya hatuoni na matokeo yake tunapigana na walala hoi walio na vibanda kigogo na kinondoni Moscow, mapapa kule mikokoni tunawaogopa
 
Mungu awanusuru ndugu zetu wa Moro,poleni sana
 
Sorry kaka hivi Morogoro nalo limekuwa jiji kwa sasa? Toka lini?
 
Tatizo una maneno mengi, nimekuuliza Push back inafanywaje? Unaanza kujibu utumbo utumbo.

Una inferiority complex Sana.
 
Wacheni inyeshe, wacheni inyeshe
 
Tuwaombee serikali ya CCM iwaokoe haraka, kamati kuu ya halmashauri kuu iruke na chopa. Tutaimba mbele kwa mbele . Mvua itupe akili ya kuwapa CCM kiburi endelevu
 
Poleni mno ila wananchi nanyi fanyeni push back kuwafanya wahusika kuwajibika, lini drainage systems zilifanyiwa ukarabati?,na elimu itolewe kwa wakazi kuwa drainage systems sio dampo za kutupia uchafu, sasa zimeziba na maji hayana escaping route
Nini tofauti kati ya ‘Escape route’ na ‘Escaping route’?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…