HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Lile Bwawa litajaa mapema kuliko matarajio na kusababisha kazi kusimama hadi yapunguzwePoleni sana hayo maji yatajaza bwawa la umeme .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile Bwawa litajaa mapema kuliko matarajio na kusababisha kazi kusimama hadi yapunguzwePoleni sana hayo maji yatajaza bwawa la umeme .
Ila wameongea jana na imetokea kweli.Kuna wapuuzi humu walikuwa wanabeza utabiri wa TMA.
Poleni sana Morogoro, huo Mji inahitaji umakini sana wakati wa manunuzi ya ardhi.Aisee kuna mafuriko ya hatari yanaendelea muda huu Morogoro mjini tangu saa 10 usiku hadi sa hivi bado yanaendelea.
Mimi nipo Kihonda huku watu kibao hawajalala wanapambana kutoa maji yalioingia ndani na kuokoa vitu vyao.
Mvua likikata tutegemee habari za vifo na watu kubomokewa nyumba tu, mvua inapiga kwa sifa kama haitopiga tena. Aisee ni balaa!
Oya wewe 🤣🤣🤣Si mulitaka mvua? Wacha inyeshe tuone panapovuja.
Ujue wengine nyumba zinavujaKama yanamwagikia bonde la Rufiji, hii ni habari njema sana, tena inyeshe kama enzi za safina
Subiri kuambiwa mifugo yako imeondoka na majiKuna mtu yuko maeneo ya Kingolwira amenipigia nina mifugo yangu kule anasema kuna mvua kubwa sana inanyesha. Wanaangaika kuweka miundombinu sawa
Waliopanda watapanda upya maana maji yanatiririkaNdo umasikini unavyokuja hivyo kama utani.
Kuna Mzee wangu mmoja mstaafu kaweka kama nusu ya pension yake kwenye kilimo cha mpunga huko Moro.
Sasa hii hali sijui kama athari zitaishia mjini tu.
Poleni sanaAisee kuna mafuriko ya hatari yanaendelea muda huu Morogoro mjini tangu saa 10 usiku hadi sa hivi bado yanaendelea.
Mimi nipo Kihonda huku watu kibao hawajalala wanapambana kutoa maji yalioingia ndani na kuokoa vitu vyao.
Mvua likikata tutegemee habari za vifo na watu kubomokewa nyumba tu, mvua inapiga kwa sifa kama haitopiga tena. Aisee ni balaa!
Aisee kuna mafuriko ya hatari yanaendelea muda huu Morogoro mjini tangu saa 10 usiku hadi sa hivi bado yanaendelea.
Mimi nipo Kihonda huku watu kibao hawajalala wanapambana kutoa maji yalioingia ndani na kuokoa vitu vyao.
Mvua likikata tutegemee habari za vifo na watu kubomokewa nyumba tu, mvua inapiga kwa sifa kama haitopiga tena. Aisee ni balaa!
Haya mafuliko ilaumiwe serikali sababu wanachimba barabala zisizo na misingi mvua zikinyesha maji yanakosa muelekeo yanaingia kwenye makazi ya watuUle nao unakuwaga kama wa kiganga ,mamlaka zenyewe hazijipangi- kamati ya maafa na majanga kama vile ipo kwenye makaratasi tu
Likijaa mapema itabidi watapishe ili kazi iendeleeeTena ipige mvua kubwa mara 4 ya hapo, bwawa lijae
Ova
Calfornia mafuriko yamesababisha watu kuhamishwaMiaka zaidi ya 50 ya Uhuru. Miundo mbinu bado hafifu
Ndege zisingetua TanzaniaKati ya tabiri 10 za TMA, 1 ndio inakua ya kweli
Taarifa imetoka toka mchanaTMA wenyewe wamebashiri mvua saa 2 usiku 7hrs later mvua zimeanza kupiga[emoji1787]