Watu 48 waokolewa mafuriko Morogoro

Watu 48 waokolewa mafuriko Morogoro

Aisee kuna mafuriko ya hatari yanaendelea muda huu Morogoro mjini tangu saa 10 usiku hadi sa hivi bado yanaendelea.

Mimi nipo Kihonda huku watu kibao hawajalala wanapambana kutoa maji yalioingia ndani na kuokoa vitu vyao.

Mvua likikata tutegemee habari za vifo na watu kubomokewa nyumba tu, mvua inapiga kwa sifa kama haitopiga tena. Aisee ni balaa!
Poleni sana Morogoro, huo Mji inahitaji umakini sana wakati wa manunuzi ya ardhi.
Bora ukajenge mlimami
 
Kuna mtu yuko maeneo ya Kingolwira amenipigia nina mifugo yangu kule anasema kuna mvua kubwa sana inanyesha. Wanaangaika kuweka miundombinu sawa
Subiri kuambiwa mifugo yako imeondoka na maji
 
Aisee kuna mafuriko ya hatari yanaendelea muda huu Morogoro mjini tangu saa 10 usiku hadi sa hivi bado yanaendelea.

Mimi nipo Kihonda huku watu kibao hawajalala wanapambana kutoa maji yalioingia ndani na kuokoa vitu vyao.

Mvua likikata tutegemee habari za vifo na watu kubomokewa nyumba tu, mvua inapiga kwa sifa kama haitopiga tena. Aisee ni balaa!
Poleni sana
 
Aisee kuna mafuriko ya hatari yanaendelea muda huu Morogoro mjini tangu saa 10 usiku hadi sa hivi bado yanaendelea.

Mimi nipo Kihonda huku watu kibao hawajalala wanapambana kutoa maji yalioingia ndani na kuokoa vitu vyao.

Mvua likikata tutegemee habari za vifo na watu kubomokewa nyumba tu, mvua inapiga kwa sifa kama haitopiga tena. Aisee ni balaa!
 

Attachments

  • IMG_5664.MOV
    6.9 MB
  • IMG_5663.MOV
    4.2 MB
  • 7ED1F953-474B-470B-A713-240E708EDB21.jpeg
    7ED1F953-474B-470B-A713-240E708EDB21.jpeg
    27.1 KB · Views: 3
Ule nao unakuwaga kama wa kiganga ,mamlaka zenyewe hazijipangi- kamati ya maafa na majanga kama vile ipo kwenye makaratasi tu
Haya mafuliko ilaumiwe serikali sababu wanachimba barabala zisizo na misingi mvua zikinyesha maji yanakosa muelekeo yanaingia kwenye makazi ya watu
 
Serikali wapeleke ndege zibebe maji hapo kwenye mafuriko yapelekwe bwawa la nyerere huko yakajazwe haraka, tumechoka migao ya umeme ya hovyo.
 
Back
Top Bottom