HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mgao wa umeme saa zingine husababishwa na miundombinu ya kusambaza kudondokaMgao wa umeme bye bye hayo maji yaende kwenye mabwawa ya umeme popote yalipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgao wa umeme saa zingine husababishwa na miundombinu ya kusambaza kudondokaMgao wa umeme bye bye hayo maji yaende kwenye mabwawa ya umeme popote yalipo
Unafuatilia tabiri za hali ya hewa za TMA?Ndege zisingetua Tanzania
Poleni Sana morogoroAisee kuna mafuriko ya hatari yanaendelea muda huu Morogoro mjini tangu saa 10 usiku hadi sa hivi bado yanaendelea.
Mimi nipo Kihonda huku watu kibao hawajalala wanapambana kutoa maji yalioingia ndani na kuokoa vitu vyao.
Mvua likikata tutegemee habari za vifo na watu kubomokewa nyumba tu, mvua inapiga kwa sifa kama haitopiga tena. Aisee ni balaa!
Kesho wahi kanisaniMvua zote hizi eti dawasa wana week hawajatupatia majii...nosense
Wakitweet naipataUnafuatilia tabiri za hali ya hewa za TMA?
Hii ni maalum kwa kujaza bwawa.Aisee kuna mafuriko ya hatari yanaendelea muda huu Morogoro mjini tangu saa 10 usiku hadi sa hivi bado yanaendelea.
Mimi nipo Kihonda huku watu kibao hawajalala wanapambana kutoa maji yalioingia ndani na kuokoa vitu vyao.
Mvua likikata tutegemee habari za vifo na watu kubomokewa nyumba tu, mvua inapiga kwa sifa kama haitopiga tena. Aisee ni balaa!
Sawa mkuu niombee kauvivu kasiwepoKesho wahi kanisani
Sisi wakulima tunajua TMA wapo spot on,wewe unayejua habari za mvua kupitia jf ndiye uonae TMA waongoKati ya tabiri 10 za TMA, 1 ndio inakua ya kweli
Walitabiri saa 2 usiku mji gani!?..una taarifa za mvua miji yote!?TMA wenyewe wamebashiri mvua saa 2 usiku 7hrs later mvua zimeanza kupiga🤣
Kuna mtu anayazuwia!?Hayo yote yaachwe yaende bwawa la Rufiji ili lijae haraka
TMA wamenunuliwa vifaa tangu 2013 huko,wapo vizuri sanaUle nao unakuwaga kama wa kiganga ,mamlaka zenyewe hazijipangi- kamati ya maafa na majanga kama vile ipo kwenye makaratasi tu
Ndio ujiandae kumpokea mgeni. Ahadi ni deni
TMA walisema nini kuhusu mvua za vuli msimu huu?Sisi wakulima tunajua TMA wapo spot on,wewe unayejua habari za mvua kupitia jf ndiye uonae TMA waongo
Unajua TMA walitabiri mvua za msimu huu zitakuaje?Wakitweet naipata
Nenda website yao utakuta walisema niniTMA walisema nini kuhusu mvua za vuli msimu huu?