Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo tafuta pampu ya Honda na petrol Lita tatu umwage hayo majiMvua imenyeesha ya kutosha na kuleta mafuriko Kihonda na hii inachangiwa na ujenzi holela wa reli ya mwendokasiView attachment 2479033View attachment 2479034
Duh..!
Duh... Poleni!Mvua imenyeesha ya kutosha na kuleta mafuriko Kihonda na hii inachangiwa na ujenzi holela wa reli ya mwendokasiView attachment 2479033View attachment 2479034
Katika miji ambayo haiendelei ni Morogoro, yaani pale mjini ni sawa na mtu aliyeko bush....Kuna ndugu yangu anaishi ughaibuni akinisalimu huwa ananiambia mnaendeleaje hapo kijiji cha Dar. Hataki kusikia panaitwa jiji ananitukana matusi makali nikisema jiji la Dar. Sasa nashangaa mtu anasema jiji la Moro, kweli?
Hamna mafuriko hapo. Miundombinu mibovu tuMvua imenyeesha ya kutosha na kuleta mafuriko Kihonda na hii inachangiwa na ujenzi holela wa reli ya mwendokasiView attachment 2479033View attachment 2479034
Hiyo ndio inaitwa " kuwekeza".Na mjini kati yatakuwa yamefurika, Abood hakuna anachofanya Moro zaidi ya kutoa mabus ya kubeba wafiwa kwenda kuzika ndugu zao BURE
Mitaro kwenye maeneo km hayo inabidi iende futi 10 kwenda chini mpaka 12 na upana mita 30 mpaka 50, sasa unachimba mtaro futi 2 mita 10 unategemea nini? Maji lazima yajae miundominu mibovuHamna mafuriko hapo. Miundombinu mibovu tu
Pole sana mkuu.Mjomba unataka niingie kwenye mafuriko niondoke kisa kupiga picha[emoji3][emoji3]subiri taarifa za habari utaona