The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Unaishi mabondeni then unategemea kuja kuokolewa? Anyway pole Yao hata Marekani nimeona MafurikoNimeongea na ndugu anema ni balaa kwa walio bondeni! Ameshindwa kwenda kazini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaishi mabondeni then unategemea kuja kuokolewa? Anyway pole Yao hata Marekani nimeona MafurikoNimeongea na ndugu anema ni balaa kwa walio bondeni! Ameshindwa kwenda kazini!
Naifahamu hyo mitaa,Kuna changamoto kubwa Sana na Waturuki hawakuwaza hayo maji yanayotoka Azimio njia yake ni ipi.Umejuaje mkuu? Tupo hapa tumezingirwa usiku mzima.
Mvua imenyeesha ya kutosha na kuleta mafuriko Kihonda na hii inachangiwa na ujenzi holela wa reli ya mwendokasiView attachment 2479033View attachment 2479034
Unaweza ukaonekana kama wewe ni msanii.maana mpaka vedio zimewekwa hapoUzi huu bila picha ni usanii, tupieni picha tuone hali halisi kama ni kweli
Tanzania hii Kuna miundombinu gani? No mipango Miji,watu wamejenga mabondeni tena sehemu zingine serikali imepima,Kuutupa taka hovyo,kulima kwenye mikondo ya maji,hakuna mifereji na upuuzi kama huo..Mafuriko yanatokea pale maji yanapozidi uwezo wa eneo husika kuyashikilia. Hata miundombinu iwe bora vipi, yakizidi kipimo hakuna namna ya kuyazuia.
Mto msimbazi maji yake hutokea Kisarawe na maeneo jirani sio Morogoro. Maji ya Morogoro huingia mto Ruvu na kuelekea Bagamoyo na sio DARMara nyingi mto msimbazi hujazwa na maji toka mvua za morogoro, hivyo, daresalamu inaweza isinyeshe mvua kubwa lakini mto ukajaa, tena kwa bahati mbaya haya hutokea usiku wakati watu wamelala, tuwe makini sana sisi wakongwe wa jiji tunafahamu hili sana.
==== ====
Mvua kubwa iliyonyesha usiku kuanzia majira ya saa nane hadi alfajiri, imesababisha mafuriko na kuleta hofu kwa madereva kuendesha magari katika maji hayo yanayokatisha juu ya barabara ya Morogoro - Dodoma.
Chanzo: ITV
Usijichoshe ni hakuna,hapa Tanzania Kila kitu kinafanywa Kwa kubahatishaFair enough, tujadili kwa facts mafuriko haya ya Morogoro, kwanza tupate kiwango cha mvua iliyonyesha,pili tuangalie hili jiji Lina drainage systems inayofanya kazi? Wakazi hawajajenga kwenye njia asili za maji kupita? Ule mfereji mkuu unaopita Morogoro umesafishwa? Wakazi wana uelewa wa kutotupa uchafu kwenye mifereji na chemba?Je jiji lilishajiandaa kukabiliana na mvua? Tuyajadili haya ili tuone mafuriko haya tungeweza ku limit athari zake au la
Maana ya mabadiliko ya Tabia Nchi sio ukame tuu bali mvua nyingi kupita kawaida na ambazo hazitabiriki na Zenye madhara ya Mafuriko kama hivi..Huu mwaka; mvua zitakuwa nyingi..
Haya yanaenda ngerengere kisha ruvuKama yanamwagikia bonde la Rufiji, hii ni habari njema sana, tena inyeshe kama enzi za safina
Mimi najua walivyosema, wewe uanyesema ni mkulima unajua?Nenda website yao utakuta walisema nini
Short notiice wa mabondeni wasingeweza kujiandaa kutega viroba milangoniTaarifa imetoka toka mchana
Not sure!, uzoefu mvua za morogoro husababisha maji ya kimyakimya dar!Mto msimbazi maji yake hutokea Kisarawe na maeneo jirani sio Morogoro. Maji ya Morogoro huingia mto Ruvu na kuelekea Bagamoyo na sio DAR
Wacha inyeshe tutajua panapovija,watatoka tuu wenyewe hukoKuna maeneo ya Mkundi Watu wamejenga kabisa kwenye Mkondo wa maji na wamejiami kwa kujenga kuta. Maji ata ikipita miaka 100 ipo siku lazima yapite Njia yake Original ndo kilichotokea Morogoro leo. Akuna cha serikali wala nini. Watanzania wengi awajiongezi kwenye mambo mengi. Aingii akilini na mapori yote yaliopo TZ mtu akajenge mabondeni au pale Jangwani
Hapo Kingwolira ndio karibu na Cate Hotels?
Leo Morogoro Mvua Tele Mji Mzima Kingolwira Maji Chekwaa
🤣🤣🤣Tuwaungie hayo ya mvua
Vipi maeneo ya Mkundi?Kuna hili eneo pia la barabara ya Dodoma maeneo ya kanisani kabla hujafika mazimbu road maji yamepita juu ya barabara. Inabidi serikali ibomoe barabara hiyo iinuliwe juu au kuweka makaravati mengi kupitisha maji. Wahandisi wanelewa zaidi.
Wewe chipukizi wa Chama cha Mambuzi acha uongo. Hapa Kihonda tuta la mwendo kasi ndio chanzo cha hayo mafuriko kwani maji yanashindwa kupita kwenye njia yake ya asili hivyo yanarudi mitaani.Kuna maeneo ya Mkundi Watu wamejenga kabisa kwenye Mkondo wa maji na wamejiami kwa kujenga kuta. Maji ata ikipita miaka 100 ipo siku lazima yapite Njia yake Original ndo kilichotokea Morogoro leo. Akuna cha serikali wala nini. Watanzania wengi awajiongezi kwenye mambo mengi. Aingii akilini na mapori yote yaliopo TZ mtu akajenge mabondeni au pale Jangwani
Walilazimishwa kaa bondeni?Short notiice wa mabondeni wasingeweza kujiandaa kutega viroba milangoni