Watu 7 mbaroni tuhuma za kumteka mwanamke Dar wakitaka kupatiwa dola milioni 3.5 kutoka familia ya mhanga

Mkuu kwa nilivyowaona watekaji, wanaonekana wakishua,

Wangekuwa wa kimaskini taarifa ingesema waliopotelewa na ndugu wafike Muhimbili kutambua maiti za makambazi yaliomteka binti,
Na kujibizana kwa risasi na Polisi,

Matajiri na watoto wao hawafungwi,

Rejea, waliotoboa bomba la mafuta Kigamboni, Kesi yao uliisikia Mahakana gani?

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Hayo majina mengi yakisomali hata huyo mtekwaji jina lake kama lakisomali,hao wasomali huwa siwaamin sana na madili yao mpk wanatajirika,,,wana Umafia sana hao
 
Basi mkuu nmeshaelewa,
 
Raia wa Canada anateka mtu katika Developing country na kudai pesa.

Ama kweli yajayo yanafurahisha.
Huyo ni raia wa Canada si kwa kuzaliwa bali kwa kujiandikisha kama mkimbizi. Kwa kuzaliwa yeye ni Msomali. Kwa muda mrefu raia wengi wa Somalia wameikimbia nchi yao na kuwa wakimbizi katika nchi nyingi hapa Duniani.
 
Pia kuna jamaa anamiliki maroli alimuaa dereva wake kwa kumpiga risasi, hakujawahi kuwa na kesi ingawa jamaa alikamatwa na polisi, saivi jamaa anaishi canada
 
Na wale wanaolawiti watoto makanisani wana majina kama ya hao watekaji?.Koouuma wewe
Kwani ulawiti upo makanisani tu? Ulawiti ni swala la mtu na mtu kalelewaje kakuzwaje na nini kapitia maishani. Nimepokea neno lako ila nikuambie tu koouuma la mama yako linavuja usaha😁
 
Kwani ulawiti upo makanisani tu? Ulawiti ni swala la mtu na mtu kalelewaje kakuzwaje na nini kapitia maishani. Nimepokea neno lako ila nikuambie tu koouuma la mama yako linavuja usaha😁
Mikooouuundouw kama nyie hii ndo dawa yenu.Yani mukiona majina ya kiislam lazima mponde bila kujua kwamba tabia ya mtu haihusiani na dini yake.Unafeeirwa wewe
 
Mikooouuundouw kama nyie hii ndo dawa yenu.Yani mukiona majina ya kiislam lazima mponde bila kujua kwamba tabia ya mtu haihusiani na dini yake.Unafeeirwa wewe
Na mama yako pia
 
Who was a movie director?
 
Hawa itakua walishapiga deal kadhaa wakafanikiwa, wakanogewa wakaona wapige mija zito la kuwatoa watoboe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…