balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Pambana mkuu paka utoboe ,naskia Kuna fresher kauziwa Kimbwete!BADO KIDOGO MKUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambana mkuu paka utoboe ,naskia Kuna fresher kauziwa Kimbwete!BADO KIDOGO MKUU
Mbeya wa jfHapa umenitaja kwa Mantiki ipi labda?
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa saba kwa tuhuma za kupanga njama, kumtishia kwa silaha, na baadaye kumteka mwanamke aliyefahamika kwa jina la Hani Hussein (29) Mkazi wa Masaki, Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashilia watuhumiwa saba kwa madai ya kupanga njama, kumtishia kwa silaha na kumteka mwanamke aaliyefahamika kwa jina la Hani Hussein (29), mkazi wa Masaki.
Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari, Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro leo Oktoba 30, 2023 amesema tukio la kumteka binti huyo lilitokea Oktoba 16, 2023.
“Tukio hili limetokea Oktoba 16, 2023 saa nne asubuhi wakati Hani Hussein akiwa anaendesha gari lake aina ya Toyota Rav4, ghafla akiwa eneo la Msasani Village alisimamishwa na sehemu ya kundi la watuhumiwa hao na kuingia ndani ya gari, kumtishia kwa silaha, kumteka na kuelekea maeneo ya Mbezi Beach mtaa wa ujirani ambako walimshikilia kwa nguvu kwa siku nne huku wakidai fedha kwa vitisho kwa baba wa mtekwaji kuwa asipotoa kiasi cha Dola za Marekani 3.5 milioni mtoto wake angepoteza maisha.
"Baada ya kupata taarifa ya tukio hilo, Jeshi la Polisi lilianza ufuatiliaji wa na Oktoba 19 tulifanikiwa kumuokoa na kuwakamata watekaji wote wakiwa na gari walilomteka, pamoja na silaha ilyotumika Pistol Glock 19 iliyotengenezwa Austria ikiwa na risasi 4," amesema Kamanda Muliro.
Amewataja watuhumiwa waliokamatwa kuwa ni Hassan AbusherNur (39) raia wa Canada mwenye asili ya Somalia na mkazi wa Msasani, Nathan Lungumisa (27), Fredick Chahonza (49), Assad Abdurasur (43), Fahad Mussa (32), Ilfan Saleh (41) na Nicolas Nilay (39).
Aidha ameeleza kuwa tayari upelelezi na watuhumiwa wote watafikishwa Mahakama ya Kisutu kwa hatua zaidi za kisheria.
MWANANCHI
Ninayewindwa kama Swala nimalizwe.Mtaalamu wa investigative reports
Akukazae.Mbeya wa jf
Ubaya sasa hapo tayari walikuwa na fikra zile wakizipata hizo pesa huyu ataenda huku, huyu atanunua hiki, huyu mtaa watamkoma mwisho wa siku kuozea jela maana baba wa binti anaonekana sio wa kitoto.Daah. Jamaa wana kesi nzito.
Armed robbery 20 years without parole.
Car jacking 15-20 years without parole.
Kidnapping I dont know how many years.
Hapo pia wataongezewa na Attempted rape
Pia wataongezewa attempted murder
Wataongezewa bodily harm.
Duh. Hapa hawachomoki hawa maharamia.
Yani. Hivi kale kakitabu ka Penal code alikatunga nani! Kana adhabu kali kali kweli.
Wangemshirikisha professorNatamani kujua walikuwa wanawasiliana vipi na BABA mzazi.. kuna kosa kubwa huwa watu wanalifanya (WAHALIFU) katk matumizi ya TEHAMA.
Ni kosa kubwa sana..... kufanya shughuli za utekaji huku ukitumia vifaa vya mawasiliano vya kiraia.
Hawakuwezi hao wanajisumbuaNinayewindwa kama Swala nimalizwe.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa saba kwa tuhuma za kupanga njama, kumtishia kwa silaha, na baadaye kumteka mwanamke aliyefahamika kwa jina la Hani Hussein (29) Mkazi wa Masaki, Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashilia watuhumiwa saba kwa madai ya kupanga njama, kumtishia kwa silaha na kumteka mwanamke aaliyefahamika kwa jina la Hani Hussein (29), mkazi wa Masaki.
Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari, Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro leo Oktoba 30, 2023 amesema tukio la kumteka binti huyo lilitokea Oktoba 16, 2023.
“Tukio hili limetokea Oktoba 16, 2023 saa nne asubuhi wakati Hani Hussein akiwa anaendesha gari lake aina ya Toyota Rav4, ghafla akiwa eneo la Msasani Village alisimamishwa na sehemu ya kundi la watuhumiwa hao na kuingia ndani ya gari, kumtishia kwa silaha, kumteka na kuelekea maeneo ya Mbezi Beach mtaa wa ujirani ambako walimshikilia kwa nguvu kwa siku nne huku wakidai fedha kwa vitisho kwa baba wa mtekwaji kuwa asipotoa kiasi cha Dola za Marekani 3.5 milioni mtoto wake angepoteza maisha.
"Baada ya kupata taarifa ya tukio hilo, Jeshi la Polisi lilianza ufuatiliaji wa na Oktoba 19 tulifanikiwa kumuokoa na kuwakamata watekaji wote wakiwa na gari walilomteka, pamoja na silaha ilyotumika Pistol Glock 19 iliyotengenezwa Austria ikiwa na risasi 4," amesema Kamanda Muliro.
Amewataja watuhumiwa waliokamatwa kuwa ni Hassan AbusherNur (39) raia wa Canada mwenye asili ya Somalia na mkazi wa Msasani, Nathan Lungumisa (27), Fredick Chahonza (49), Assad Abdurasur (43), Fahad Mussa (32), Ilfan Saleh (41) na Nicolas Nilay (39).
Aidha ameeleza kuwa tayari upelelezi na watuhumiwa wote watafikishwa Mahakama ya Kisutu kwa hatua zaidi za kisheria.
MWANANCHI
Hii gari na huyu dada nishamuonaga sna mitaa fulani ya masaki,ngoja nikija mjini ntapitia kwenye kijiwe changu mitaa ya huko ntapata a,b,c zoteHassan AbusherNur (39) raia wa Canada mwenye asili ya Somalia! Master minder mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah. Jamaa wana kesi nzito.
Armed robbery 20 years without parole.
Car jacking 15-20 years without parole.
Kidnapping I dont know how many years.
Hapo pia wataongezewa na Attempted rape
Pia wataongezewa attempted murder
Wataongezewa bodily harm.
Duh. Hapa hawachomoki hawa maharamia.
Yani. Hivi kale kakitabu ka Penal code alikatunga nani! Kana adhabu kali kali kweli.
Samahani. Kumuweka chini maana yake nini?Hii familia itakuwa ina hela ndefu, best way ni kumteka mtoto then kumuweka chini
Hata Ulaya wazungu wanateka watu na kisha wanadai pesa.Kweli ana asili ya kisomali.
Lakini msomali mwenye akili akishapata uraia wa Canada atakua kashafungukiwa sana kimaisha.
Sasa huyu sijui kimemkuta nini au tusubiri upande wa pili washilingi, aseme lengo la kufanya hivyo ni nini.
Huyo kaomba uraia tu hana jipya. Alafu zingatia jina utaelewa shida ipo wapiRaia wa Canada anateka mtu katika Developing country na kudai pesa.
Ama kweli yajayo yanafurahisha.
Natamani kujua walikuwa wanawasiliana vipi na BABA mzazi.. kuna kosa kubwa huwa watu wanalifanya (WAHALIFU) katk matumizi ya TEHAMA.
Ni kosa kubwa sana..... kufanya shughuli za utekaji huku ukitumia vifaa vya mawasiliano vya kiraia.