Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

Wapuuzi wakubwa! Mungu ni Mungu wa amani wao wanampigania mungu yupi? Let them go to hell no one cares!
Biblia inasema ni Mungu wa vita in fact watu waliokataa kumuabudu Mungu basi Elia alitumwa kuwachinja same to Joshua naye alichinja canaan nzima kisa wanaabudu miungu.
 


Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu.

Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano
wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nani?
 
Kobaaazi again....
 
Yahood ni washenzi sana
 
Itikadi huwa zinawasumbua mataifa ya kiajemi huwa zinawasumbua sana.
 
Mbona hata huku huwa hamchelewi kuzichapa msikitini

Mbona hata Mbowe na akina Sugu wamekamatwa na wale waliokuwa wakimsindikiza wakala mtama wa nguvu au hujasikia hata Mdude yuko taabani korokoroni
 
Mimi huwa wananishangaza kwa roho za visasi walizonazo,
Ni mfano Eti ikitokea mtu kuchana kitabu chao Eti wanakuwa radhi kumuua mtu huyo sababu amechana kitabu kitakatifu ?? ! 🤔🤔🤔

Yaani kitabu ambacho unaweza kutoa copies nyingi kadiri uwezavyo Kwanini utake kuua mtu?
Hata kama amekufuru au kukashifu, Kwanini msimuachie Mungu mwenyewe ajiteteee?
Kwanini msimuachie Mungu amuhukumu mwenyewe bila nyie wanadamu wenye mapungufu kumtetetea huyo Mungu ??
Je Kati ya mwanadamu na huyo Mungu wenye nguvu zaidi ni nani ??
Mungu anapaswa awe na uwezo wa kujitetea mwenyewe na sio kusubiri wanadamu wenye mapungufu wamtetee yeye.

Ni kama wale Mungu wa kutengeneza na kuwa controlled na binadamu ,
Ukiwa airport unakagua mzigo jamaa anakwambia “ polepole usijeukamharibu
Mungu wangu akavunjika”
Imagine 🤔🤔🤔
Mungu ambae anaweza kuharibiwa na mwanadamu ??!
Mungu ambae yuko controlled na binadamu ??
Jamani nawasihi tupendane kwa utanzania wetu.
Tusiendekeze Habari za dini.
Dini zenyewe hutegemea na vile Mwenyezi Mungu atakavyoamua uje Duniani kwa mzazi wa dini ipi, utakayokuta mzazi au mlezi wako anayo ndio na wewe utakuwa wa dini hiyo sababu unajifunza, unakuwa nayo.
Hakuna fundi wa kuchagua, zaidi ya fundi na Mhandisi ni Mwenyezi Mungu pekee.

Tupendane kama watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…