Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo kila mtu akiwa mchekashaji nani atakae chekeshwa?..........Elimu yetu haisaidii kutupa vijana ambao ni "critical thinkers" wengi copy and paste no creativity mchawi wa ajira hapa ni mfumo mbovu wa elimuhuu ni ukweli mchungu. zama zimebadilika
vijana mnaomaliza chuo mjifunze kutengeneza content zitakazotrend hasa za kuburudisha na kuchekesha watu..
huko ndipo kuna fursa za dili nyingi zama hizi
Kwahiyo kila mtu akiwa mchekashaji nani atakae chekeshwa?..........Elimu yetu haisaidie kutupa vijana ambao ni "critical thinkers" wengi copy and paste no creativity nchawi wa ajira hapa ni mfumo mbovu wa elimu
Jamaa ana point si unaona kina Mr bean na basket mouthUzi tayari, kwahiyo unataka kila graduate awe mchekeshaji siyo!
Sure naona crazy kenan akifanya vizuri kutokana na lughaHapo sasa kwenye maudhui ndipo elimu inapokuja kutuangusha content nyingi ni local zinashindwa kuvuka mipaka hasa kutokana na lugha
Joti angekuwa na elimu hasa ya lugha na sanaa angeiteka afrika kama comedian wa Nigeria
Elimu Elimu Elimu ni muhimu sna
Ni kweli shida bongo lugha inatuangusha, hizi content za kiswahili wanaopata hela ni wachache sana,wengi wana njaa kali sana!Jamaa ana point si unaona kina Mr bean na basket mouth
Hata wenye hiyo elimu kiingereza ni cha papatu papatu!Hapo sasa kwenye maudhui ndipo elimu inapokuja kutuangusha content nyingi ni local zinashindwa kuvuka mipaka hasa kutokana na lugha
Joti angekuwa na elimu hasa ya lugha na sanaa angeiteka afrika kama comedian wa Nigeria
Elimu Elimu Elimu ni muhimu sna
Mkuu hapo nakubaliana na wewe ndio maana bado tunaitaja elimu maana wengi hawapati elimu Bora Bali Bora elimu tunapambana na ku solve paper tunapata one tunaenda mbele kama tungepata elimu Bora Wala hiyo lugha isingekuwa shidaHata wenye hiyo elimu kiingereza ni cha papatu papatu!
Hiyo creativity utaipata wapi kwa watanzania, vipindi vyao vya talkshow very poor. Comedy poor Film poor, music dupulicate ya mapiono na Nigerian Music... yaani kwa ukweli tuko very weak katika art industry, mimi naangalia camedy hata havichekeshi viko too obvious......maudhui sio lazima kuchekesha tu.
kuna watu wanafundisha tu vitu na wanapata fursa za kupiga hela. mfano Fiona Nkya, Criss Mauki etc
kuna watu wana maudhui ya reality shows tu na wao wanapata hela mfano wale wapenzi Meet us
Lugha mtihani sana we sikiliza mtz apewe assignment ya kuongea kingereza akimaliza salama wote mnapumua puuh!!!Ni kweli shida bongo lugha inatuangusha, hizi content za kiswahili wanaopata hela ni wachache sana,wengi wana njaa kali sana!
Mtu unapata idea ila ukiwaza habari ya lugha unajikuta unakuwa mpole!
We unafikiri Mama yake Mwijaku Baba, Mke, na watoto wake wanafurahia kazi yake anao fanya, kweli ni majanga tu ila ni umasikini.Ukishakuwa kama mwijaku inatosha kabisa
Hao wanasiasa wameharibu sana nchi yetu,mwisho wa siku watoto wao wala hawasomi hizi shule za Kiswahili!Lugha mtihani sana we sikiliza mtz apewe assignment ya kuongea kingereza akimaliza salama wote mnapumua puuh!!!
We sikiliza watu wanaohoji kwenye michezo na hadi wanakosa kujiamini
Tukisema kingereza kianzia chekechea hadi chuo kikuu watu wanakuja na uzalendo wa 1960