Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Amber ameshindwa kutumia fursa vizuriAkina Amber ama sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amber ameshindwa kutumia fursa vizuriAkina Amber ama sio
Elezea content zake vizuri, kama sio kwamba wenye biashara ndo wanawekaza kwake ili aendelee ku-promote biashara zao, huyu haiko independent anamilikiwa na kampuni fulani ku promote brand yao.
Na ni ma MD huko BOT TANAPA shirika la mafuta etcHao wanasiasa wameharibu sana nchi yetu,mwisho wa siku watoto wao wala hawasomi hizi shule za Kiswahili!
Tatizo na sisi wanaume wa kitanzania tamaa mno, tukipokelewa vizuri na tabasamu hapo hapo tunasimamisha, tunaomba namba, kimasihara inatawala kichwani. Hii nchi ni ngono tu yaani.Ndo shida kubwa ya dada zetu watanzania ukifika kwake anakua obsessed na kutongonzwa kwanza, anijahidi asiwe cheap kwako, wskati wewe ni mteja unahitaji huduma tu.
Lugha Ina maana sana we angalia kwa Nini watz kwenye platform za kimataifa Wana struggle shida ni lughaSure naona crazy kenan akifanya vizuri kutokana na lugha
muhimu content 🐒Huu ni ukweli mchungu, zama zimebadilika
Vijana mnaomaliza chuo mjifunze kutengeneza content zitakazotrend hasa za kuelimisha, kufundisha, kuburudisha na kuchekesha watu..
huko ndipo kuna fursa za dili nyingi zama hizi
Kuomba number sio kosa, kosa ni kunikubalia maombi yangu ya hovyo na kuharibu kazi yako.Tatizo na sisi wanaume wa kitanzania tamaa mno, tukipokelewa vizuri na tabasamu hapo hapo tunasimamisha, tunaomba namba, kimasihara inatawala kichwani. Hii nchi ni ngono tu yaani.
Mkuu, kila anayekuja akimuomba namba ili amtongoze unategemea atakuwa sawa? Imagine kila mwanamke anayekuja ofisini kwako anajilegeza, anakukonyeza, utaweza kufanya kazi? Ndo maana na wao ukifika tu wanajua atatongozwa sababu weshajizoelea aina ya wanaume waliopo. Nchi akili za watu wake ni ngono tu.Kuomba number sio kosa, kosa ni kunikubalia maombi yangu ya hovyo na kuharibu kazi yako.
Content zenyewe.....we ongea ongea sanaaaa wabongo wanapenda domodomo udaku umbeaumbea
Ova
muhimu content 🐒
unaweza kua na elimu au huna but what matters most ni content 🐒
Tatizo jamii ya watanzania haijui kuchuja takataka na dhahabu, tanzania mtu yoyote anaweza akawe cereblity bila kufanya mambo ya maana unakumbuka Dr shuka sikumvuki jina vizuri alipata umarufu kwa ujinga tu, nk, Elimu yetu imeshindwa kutegeneza jamii ya watu intellectual.Wanaweza wasifurahie lakini yeye maisha yanamnyookea anaishi anavyotaka yeye.
Simpendi huyu jamaa lkn ndo hivyo naona akifanikiwa kwa upuuzi wake
Kama ni graduate kweli tena ana first class degree Bcom, ni mpuuzi mkubwa hiyo dispised Unemployement, hiyo kazi inaweza kufanywa na wakina Nyerere ambao hawana shule, ni sawa sawa kumuona medical sajioni anaendesha daladala na na inamlipa kama 8m kwa mwezi then umsifie kwamba ana akili na anapiga pesa.Mwijaku sio mpuuzi. Bali Mwijaku amechagua niche ya upuuzi uchawa ili awe unique kwenye kutengeneza content zake. Kuna kitu kinaitwa Niche kwenye content creations.
Mwijaku ana degree ya maigizo kutoka creative arts udsm
Kabla hujaanza kutengeneza content zako kwanza Lazima ujue unapita njia gani ili upenye sokoni ukubalike.
Ndio maana kuna foodlover yeye amechagua niche ya mapishi. Yeye anapiga hela za matangazo ya wauza vyombo tu na spices
Kuna kina Steve mweusi yeye amechagua niche ya comedy
Kuna kina Lilian yeye amechagua niche ya ukungwi. Kufundisha mapenzi.
Lazima uwe na niche
Angeweka ya ngono😄tungejazana lundu we siunaona baby wa Taifa ni udsm alumn ila ni kungwi.Kuna jamaa alileta uzi humu, yeye ana website ya ajira, kaianzisha kitambo ila waliosubscribe wachache mno
Huyu dem kafanikiea like BOOM.Huyu binti content zake za ukonda wa bus Tilisho zimempa dili nyingi za ubalozi na matangazo. Na instagram ana followers milioni
Hapo tu ana miaka 24 ameshanunua gari yake. Na hata chuo kikuu hajafika
Kuna watu kibao wanafanya kazi miaka kibao serikalini na private sector ila hawawezi kununua hata IST. Maana wanategemea source moja tu ya income
View attachment 2950665
Itakuwa Ugali unatumbaza ety.MD anamalza chuo aruhusiwi kufungua duka la dawa ila masai ajaenda hata shule anapewa kibali na wizara cha kuuza dawa..Watanzania hadi tutakapoacha kula UGALI ndiyo tutakuwa na akili
Amna mzee ni riziki ilifungunga tu..Huyu dem kafanikiea like BOOM.
Sidhani kama alitegemea au labda alikua na mipango ya afanyacho.
Ndo ivo mkuu, contents za maana hupati watu, ila zile za kijinga utalamba mamilioni.Angeweka ya ngono😄tungejazana lundu we siunaona baby wa Taifa ni udsm alumn ila ni kungwi.