Watu ambao Wanatengeneza maudhui (Content) ndio wanaopewa ajira sana zama hizi, fursa za pesa Tanzania zipo kwenye Content creations

Watu ambao Wanatengeneza maudhui (Content) ndio wanaopewa ajira sana zama hizi, fursa za pesa Tanzania zipo kwenye Content creations

Kama ni graduate kweli tena ana first class degree Bcom, ni mpuuzi mkubwa hiyo dispised Unemployement, hiyo kazi inaweza kufanywa na wakina Nyerere ambao hawana shule, ni sawa sawa kumuona medical sajioni anaendesha daladala na na inamlipa kama 8m kwa mwezi then umsifie kwamba ana akili na anapiga pesa.

Mwijaku hajasoma B com. Mwijaku amesoma digrii ya sanaa ya maigizo. Udsm

Mwijaku amesoma digrii yake kule creative arts mbele ya udbs.

Yale mavazi ya kimasai anayopenda kuyavaa alikuwa anayavaa toka chuo udsm kwenye events za department yao ya creative arts
 
Tatizo jamii ya watanzania haijui kuchuja takataka na dhahabu, tanzania mtu yoyote anaweza akawe cereblity bila kufanya mambo ya maana unakumbuka Dr shuka sikumvuki jina vizuri alipata umarufu kwa ujinga tu, nk, Elimu yetu imeshindwa kutegeneza jamii ya watu intellectual.
Dr. Shika😅😅
Hata mandonga kapata umaarufu kwa vituko vyake lakini kwenye uhalisia bado sana kwenye ngumi.
 
Huu ni ukweli mchungu, zama zimebadilika

Vijana mnaomaliza chuo mjifunze kutengeneza content zitakazotrend hasa za kuelimisha, kufundisha, kuburudisha na kuchekesha watu..

huko ndipo kuna fursa za dili nyingi zama hizi
Yaani kukata mauno,kucheza mayenu, twerking, ndio chanzo cha ajira! Bro!
Hizo content ziwe zimeenda shule,sio hizi za kudundishana jinsi ya kubinuana na kupigana pipe! Au, zile za kukopy kama story book,
Kuna vitu kiboa vya kufundisha,sayansi, kilimo, military history, geopolitcal issues, sio upuuzi, wa kutikisa makalio
 
Ndo ivo mkuu, contents za maana hupati watu, ila zile za kijinga utalamba mamilioni.

Na hii ndio sababu watu wanatapeliwa kijinga, mtu anataka kazi ila kufatilia platform za kazi hataki yeye anafatilia udaku.
Hataki zile kazi za kwenda kufanya interview, yeye anataka kamserereko.

Sasa wajanja wanakuja kukupigia humohumo kwenye kamserereko ukatakako.
Kabisa platform za Ajira zipo nyingi na zinatoka ajira kila siku sema watu hawatafuti izo platform.eg Linkeid,mabumbe,whatsa group ila mtu anataka ile ya kupachikwa ndo tunapigiwa hapo.

Tufatilie hayo mamb ya kidunia ila usiyape focus kubwa kuliko maisha yako hasa girl graduate yeye ni umbea tu wa insta.
 
Back
Top Bottom