Kama ni graduate kweli tena ana first class degree Bcom, ni mpuuzi mkubwa hiyo dispised Unemployement, hiyo kazi inaweza kufanywa na wakina Nyerere ambao hawana shule, ni sawa sawa kumuona medical sajioni anaendesha daladala na na inamlipa kama 8m kwa mwezi then umsifie kwamba ana akili na anapiga pesa.
Dr. Shika😅😅Tatizo jamii ya watanzania haijui kuchuja takataka na dhahabu, tanzania mtu yoyote anaweza akawe cereblity bila kufanya mambo ya maana unakumbuka Dr shuka sikumvuki jina vizuri alipata umarufu kwa ujinga tu, nk, Elimu yetu imeshindwa kutegeneza jamii ya watu intellectual.
Yaani kukata mauno,kucheza mayenu, twerking, ndio chanzo cha ajira! Bro!Huu ni ukweli mchungu, zama zimebadilika
Vijana mnaomaliza chuo mjifunze kutengeneza content zitakazotrend hasa za kuelimisha, kufundisha, kuburudisha na kuchekesha watu..
huko ndipo kuna fursa za dili nyingi zama hizi
Kabisa platform za Ajira zipo nyingi na zinatoka ajira kila siku sema watu hawatafuti izo platform.eg Linkeid,mabumbe,whatsa group ila mtu anataka ile ya kupachikwa ndo tunapigiwa hapo.Ndo ivo mkuu, contents za maana hupati watu, ila zile za kijinga utalamba mamilioni.
Na hii ndio sababu watu wanatapeliwa kijinga, mtu anataka kazi ila kufatilia platform za kazi hataki yeye anafatilia udaku.
Hataki zile kazi za kwenda kufanya interview, yeye anataka kamserereko.
Sasa wajanja wanakuja kukupigia humohumo kwenye kamserereko ukatakako.
Mia9 itapendeza apumzike kwa amani.Dr. Shika😅😅
Hata mandonga kapata umaarufu kwa vituko vyake lakini kwenye uhalisia bado sana kwenye ngumi.