Watu dhaifu ni hatari sana, wanakuwa hatari zaidi wanapopata fursa za uongozi

Watu dhaifu ni hatari sana, wanakuwa hatari zaidi wanapopata fursa za uongozi

Kwa maoni yangu ili tutengeneze taasisi imara kuna mawili, ama jeshi lichukue Nchi kwa miaka kadha watulazimishe kujenga taasisi hizo au Chama cha upinzani kichukue Nchi na kuamua kutetekeleza mahitaji ya wana Nchi . Kwa sasa inaonekana CCM wamejisahau na taratibu wameanza kuwashirikisha polisi, Takukuru na Wafanyakazi wengine Wa serikali kuiba kura. Nusu ya wabunge Wa CCM hawakushinda uchaguzi.
Unataka wanajeshi waingie utafikiri wata compromise na matakwa ya raia, kiongozi wa kijeshi ataongoza nchi kama taasisi ya jeshi, yaani ni amri mbele. Halafu inaweza kuleta instability ya muda mrefu, mfano kupinduana kwa hapa na pale.....kule Nigeria hawajawahi kuondoka kwenye nafasi za juu za uongozi wa nchi na hata yanayoendelea kule Myannmar kila mtu anajua...
 
Unataka wanajeshi waingie utafikiri wata compromise na matakwa ya raia, kiongozi wa kijeshi ataongoza nchi kama taasisi ya jeshi, yaani ni amri mbele. Halafu inaweza kuleta instability ya muda mrefu, mfano kupinduana kwa hapa na pale.....kule Nigeria hawajawahi kuondoka kwenye nafasi za juu za uongozi wa nchi na hata yanayoendelea kule Myannmar kila mtu anajua...
Kwangu mimi ni bora iwe hivyo kuliko hapa tulipo fika. Kura za wana Nchi haziheshimiwi hata kidogo. Nusu ya wabunge waliopo Bungeni hivi sasa hawakuchaguliwa na wapiga kura. Ni bora jeshi lichukue Nchi ili tujipange kuheshimu KATIBA na matakwa ya wana Nchi.
 
Kwangu mimi ni bora iwe hivyo kuliko hapa tulipo fika. Kura za wana Nchi haziheshimiwi hata kidogo. Nusu ya wabunge waliopo Bungeni hivi sasa hawakuchaguliwa na wapiga kura. Ni bora jeshi lichukue Nchi ili tujipange kuheshimu KATIBA na matakwa ya wana Nchi.
Inawezekana na wao wapo kwenye mlo, kule Myannmar inawezekana hawakushirikishwa vizuri kwenye msosi ndo maana wamepindua..
 
Naam, wana bodi !

Niende moja kwa moja kwenye mada. Nayo inahusu watu dhaifu. Watu dhaifu ni watu hatari sana. Wakiwa wanasiasa wana kuwa hatari zaidi. Ni waoga wa mabadiliko. Waangalie wale wote walio beba agenda ya mitano tena. Karibu wote ni dhaifu kisiasa na kijamii. Wanapo sema mitano tena wanasukumwa na ubinafsi na kuogopa kuwa akija kiongozi mwingine watabaki na ulaji wao kweli??

Ukimtazama yule Mbunge wa Makambako utagundua haya ninayo sema. Kwanza yule hata darasa la Saba hajafika, anawaza kwamba hivi akija kiongozi mwingine atakubali kumwacha aendelee kugombea ubunge na elimu yake duni ilihali ndani ya chama kuna wasomi wazuri tu? Kwa hiyo dawa ni kujifanya anampenda Rais na kutaka aendelee milele. Ni udhaifu wake ndio ulio mfikisha hapo.

Mwigulu Nchemba ni msomi dhaifu. Ni kiongozi dhaifu hata kuliko watu ambao hawaja soma. Amefikia hatua anauliza watu wanadai KATIBA, KATIBA yanini wakati Maguli anatosha? Unajua kwanini? Amejua mapungufu ya mtukufu bosi wake kwa hiyo yupo tayari kuweka pembeni elimu yake yote ilimradi anapata mkate wa kila siku na kulinda maslahi yake kisiasa. Ni mtu dhaifu siyo mtu wa principles.

Kuna yule sijui Kessy, Mbunge Wa zamani wa Nkasi. Wajumbe walimchinjia baharini baada ya kuona amebeba agenda mfu. Nkamia naye wajumbe waliona dawa inayo mfaa ni kumchinjia baharini. Ametulia !

Ninacho taka kusema ni kwamba watu dhaifu popote pale ni hatari. Wanakuwa hatari zaidi wanapo kuwa wanasiasa. Mara nyingi hawana aibu. Ni wajinga wa milele. Kwao wao ustawi wa Nchi siyo kitu cha maana kuliko mafanikio yao binafsi. Hawabebi agenda za Nchi. Hawaangalii ajira kwa vijana, Utawala bora, Taswira ya Nchi Duniani n.k.

Kuna mjinga moja bila aibu aliutangazia ulimwengu kuwa ati watanzania sisi tunatamani kuona Chato ina kuwa kama Singapore!!! Kweli? Watu dhaifu wakimzunguka Rais ni hatari sana. Watu dhaifu nadra sana kutumia akili, mara nyingi huenenda na alama za nyakati au huangalia upepo unavuma kuelekea wapi. Hao ni watu dhaifu.
Jee mkuu umewahi kupata nafasi ya uongozi katika chama cha siasa?

Chama chochote kile chenye discipline ya kichama, baada ya kuamua chama kinataka nini, ukiisha kumpa Mbowe uenyekiti, yeye ndio atakuwa mbeba maono wa chama. Na sio kuwa viongozi wote wengine waliobaki wa Chadema ni wajinga.

Bendera akipewa Trump wengine sio wajinga ila ndio mifumo ya vyama vya siasa vyenye disciplines vilivyo.

CCM hawana tofauti na vyama vingine duniani, na hii ni mfumo wa vyama vya siasa disciplined duniani. Kwa kina Mwigulu wapo wengi tuu, ndani ya CCM, CUF, CHADEMA,labour party, Republican, Democrats, na ANC. nk

Na Chama unacho kiamini wewe kikikosa that party discipline, basi ni mkusanyiko wa wajinga na mnaulazimisha kuitwa Chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jee mkuu umewahi kupata nafasi ya uongozi katika chama cha siasa?

Chama chochote kile chenye discipline ya kichama, baada ya kuamua chama kinataka nini, ukiisha kumpa Mbowe uenyeviti, yeye ndio atakuwa mbeba maono wa chama. Na sio kuwa viongozi wote wengine wa Chadema ni wajinga.

Bendera akipewa Trump wengine sio wajinga ila ndio mifumo ya vyama vya siasa vyenye disciplines vilivyo.

CCM hawana tofauti na vyama vingine duniani, na hii ni mfumo wa vyama vya siasa disciplined duniani. Kwa kina Mwigulu wapo wengi tuu, CCM, CUF, CHADEMA,labour party, Republican, Democrats, na ANC. nk

Na Chama unacho kiamini wewe kikikosa that party discipline, basi ni mkusanyiko wa wajinga na mnaulazimisha kuitwa Chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umechanganya mambo! Kuna chama upande mmoja na KATIBA ya Nchi upande mwingine. Chama chenye wajinga wengi kinahatarisha uwepo wake chenyewe. Watu hupenda vyama makini. Wanacho fanya CCM ni kuchezea KATIBA. Wanajua hata wakiitisha kura za maoni wataiba tu. CCM almost imekufa. Kinalindwa na polisi , takukukuru na hao wanao jiita usalama wa Taifa.
 
Itategemea na wadhifa husika, kitu ambacho siwezi kubali ni kuwa choko tu [emoji16][emoji16][emoji16] ila kupewa nyadhifa za kumenya kwenye ma Vieite aah mbona sana tu...Huku 12M inaingia kila mwezi tutaimba mapambio freshi tu usishangae ndio hali ya nchi ilipofikia.
Kuhusu wanachukua ngapi ? usifanye mizaha ya kitoto, salary slip ukichukua na travelling allowances, na allowances zote inasoma 32- 45 kwa mwezi, sio mchezo. Ukisoma salary slip unaweza u kupata taabu ya kichwa.

MABILIKO YA KATIBA MUHIMU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam, wana bodi !

Niende moja kwa moja kwenye mada. Nayo inahusu watu dhaifu. Watu dhaifu ni watu hatari sana. Wakiwa wanasiasa wana kuwa hatari zaidi. Ni waoga wa mabadiliko. Waangalie wale wote walio beba agenda ya mitano tena. Karibu wote ni dhaifu kisiasa na kijamii. Wanapo sema mitano tena wanasukumwa na ubinafsi na kuogopa kuwa akija kiongozi mwingine watabaki na ulaji wao kweli??

Ukimtazama yule Mbunge wa Makambako utagundua haya ninayo sema. Kwanza yule hata darasa la Saba hajafika, anawaza kwamba hivi akija kiongozi mwingine atakubali kumwacha aendelee kugombea ubunge na elimu yake duni ilihali ndani ya chama kuna wasomi wazuri tu? Kwa hiyo dawa ni kujifanya anampenda Rais na kutaka aendelee milele. Ni udhaifu wake ndio ulio mfikisha hapo.

Mwigulu Nchemba ni msomi dhaifu. Ni kiongozi dhaifu hata kuliko watu ambao hawaja soma. Amefikia hatua anauliza watu wanadai KATIBA, KATIBA yanini wakati Maguli anatosha? Unajua kwanini? Amejua mapungufu ya mtukufu bosi wake kwa hiyo yupo tayari kuweka pembeni elimu yake yote ilimradi anapata mkate wa kila siku na kulinda maslahi yake kisiasa. Ni mtu dhaifu siyo mtu wa principles.

Kuna yule sijui Kessy, Mbunge Wa zamani wa Nkasi. Wajumbe walimchinjia baharini baada ya kuona amebeba agenda mfu. Nkamia naye wajumbe waliona dawa inayo mfaa ni kumchinjia baharini. Ametulia !

Ninacho taka kusema ni kwamba watu dhaifu popote pale ni hatari. Wanakuwa hatari zaidi wanapo kuwa wanasiasa. Mara nyingi hawana aibu. Ni wajinga wa milele. Kwao wao ustawi wa Nchi siyo kitu cha maana kuliko mafanikio yao binafsi. Hawabebi agenda za Nchi. Hawaangalii ajira kwa vijana, Utawala bora, Taswira ya Nchi Duniani n.k.

Kuna mjinga moja bila aibu aliutangazia ulimwengu kuwa ati watanzania sisi tunatamani kuona Chato ina kuwa kama Singapore!!! Kweli? Watu dhaifu wakimzunguka Rais ni hatari sana. Watu dhaifu nadra sana kutumia akili, mara nyingi huenenda na alama za nyakati au huangalia upepo unavuma kuelekea wapi. Hao ni watu dhaifu.
Kijana wangu JERUSALEMU, tambua kuwa siku zote, Udikiteta uzaa hofu, na hofu uzaa uoga na uoga uzaa kujipendekeza. Hiyo ndiyo kanuni ya maisha. Ni wachache sana watu jasiri wanao yasimamia wanayo yaamini.
 
Usifanye mizaha ya kidogo, salary slip ukichkua na travelling allowance, na allowances zote inasoma 32- 45 kwa mwezi, sio mchezo. Ukisoma salary slip unaweza u kupata taabu ya kichwa.

MABILIKO YA KATIBA MUHIMU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kuwa mkweli tu, awamu hii ya jiwe kama huna maghorofa kariakoo hio biashara ya kukupa 30M kila mwezi bila stress za ajabu ni biashara ipi?

Kama ipi unadhani huoa mtaji wake utakuwa bei gani?
 
Shida kubwa ni mambo mawili, katiba na mifumo yetu ya kiutawala.
 
Naam, wana bodi !

Niende moja kwa moja kwenye mada. Nayo inahusu watu dhaifu. Watu dhaifu ni watu hatari sana. Wakiwa wanasiasa wana kuwa hatari zaidi. Ni waoga wa mabadiliko. Waangalie wale wote walio beba agenda ya mitano tena. Karibu wote ni dhaifu kisiasa na kijamii. Wanapo sema mitano tena wanasukumwa na ubinafsi na kuogopa kuwa akija kiongozi mwingine watabaki na ulaji wao kweli??

Ukimtazama yule Mbunge wa Makambako utagundua haya ninayo sema. Kwanza yule hata darasa la Saba hajafika, anawaza kwamba hivi akija kiongozi mwingine atakubali kumwacha aendelee kugombea ubunge na elimu yake duni ilihali ndani ya chama kuna wasomi wazuri tu? Kwa hiyo dawa ni kujifanya anampenda Rais na kutaka aendelee milele. Ni udhaifu wake ndio ulio mfikisha hapo.

Mwigulu Nchemba ni msomi dhaifu. Ni kiongozi dhaifu hata kuliko watu ambao hawaja soma. Amefikia hatua anauliza watu wanadai KATIBA, KATIBA yanini wakati Maguli anatosha? Unajua kwanini? Amejua mapungufu ya mtukufu bosi wake kwa hiyo yupo tayari kuweka pembeni elimu yake yote ilimradi anapata mkate wa kila siku na kulinda maslahi yake kisiasa. Ni mtu dhaifu siyo mtu wa principles.

Kuna yule sijui Kessy, Mbunge Wa zamani wa Nkasi. Wajumbe walimchinjia baharini baada ya kuona amebeba agenda mfu. Nkamia naye wajumbe waliona dawa inayo mfaa ni kumchinjia baharini. Ametulia !

Ninacho taka kusema ni kwamba watu dhaifu popote pale ni hatari. Wanakuwa hatari zaidi wanapo kuwa wanasiasa. Mara nyingi hawana aibu. Ni wajinga wa milele. Kwao wao ustawi wa Nchi siyo kitu cha maana kuliko mafanikio yao binafsi. Hawabebi agenda za Nchi. Hawaangalii ajira kwa vijana, Utawala bora, Taswira ya Nchi Duniani n.k.

Kuna mjinga moja bila aibu aliutangazia ulimwengu kuwa ati watanzania sisi tunatamani kuona Chato ina kuwa kama Singapore!!! Kweli? Watu dhaifu wakimzunguka Rais ni hatari sana. Watu dhaifu nadra sana kutumia akili, mara nyingi huenenda na alama za nyakati au huangalia upepo unavuma kuelekea wapi. Hao ni watu dhaifu.
Kwa asilimia kubwa watu wanao zungumza maneno kama yako utakuta ndiyo dhaifu kupita kiasi,unamsema mbunge ambaye hana shule kwamba ni dhaifu ilihali walio feli wote ndiyo walio faulu maisha na walio faulu shuleni ndiyo walioishia umasikini..we unaita watu dhaifu, myambafu
 
Kwa asilimia kubwa watu wanao zungumza maneno kama yako utakuta ndiyo dhaifu kupita kiasi,unamsema mbunge ambaye hana shule kwamba ni dhaifu ilihali walio feli wote ndiyo walio faulu maisha na walio faulu shuleni ndiyo walioishia umasikini..we unaita watu dhaifu, myambafu
Unaona? Nani kakuambia waliofeli shule WOTE wanaya muda maisha? Umefanya utafiti wapi? Darasa la 7B wengi hutumia matusi badala ya kujibu hoja kwa hoja kwasababu ni dhaifu.
 
Kwa maoni yangu ili tutengeneze taasisi imara kuna mawili, ama jeshi lichukue Nchi kwa miaka kadha watulazimishe kujenga taasisi hizo au Chama cha upinzani kichukue Nchi na kuamua kutetekeleza mahitaji ya wana Nchi . Kwa sasa inaonekana CCM wamejisahau na taratibu wameanza kuwashirikisha polisi, Takukuru na Wafanyakazi wengine Wa serikali kuiba kura. Nusu ya wabunge Wa CCM hawakushinda uchaguzi.
Nina imani zaid8 ya nusu ya wabunge wa CCM, walipewa kura ambazo hawakupata.
 
Kwa maoni yangu ili tutengeneze taasisi imara kuna mawili, ama jeshi lichukue Nchi kwa miaka kadha watulazimishe kujenga taasisi hizo au Chama cha upinzani kichukue Nchi na kuamua kutetekeleza mahitaji ya wana Nchi . Kwa sasa inaonekana CCM wamejisahau na taratibu wameanza kuwashirikisha polisi, Takukuru na Wafanyakazi wengine Wa serikali kuiba kura. Nusu ya wabunge Wa CCM hawakushinda uchaguzi.
Jeshi lipi hilo la kuchukua nchi! Labda lile la wale vijana walioanza kujinyonga baada ya kuanza kupigika mtaani.
 
Kwa asilimia kubwa watu wanao zungumza maneno kama yako utakuta ndiyo dhaifu kupita kiasi,unamsema mbunge ambaye hana shule kwamba ni dhaifu ilihali walio feli wote ndiyo walio faulu maisha na walio faulu shuleni ndiyo walioishia umasikini..we unaita watu dhaifu, myambafu
Hili povu siyo la bure!! Relax Mheshimiwa. Na ukubali tu Wabunge wengi wenye hiyo Elimu pale Bungeni wamejawa tu na mipasho, vijembe, unafiki na kujikomba komba. Hawajawahi kujiamini mbele ya watu walio wazidi elimu.
 
Sasa we unafikiri mtaani kuzuri jamaa, hata mie ningecheza CD ilioko redioni kwa sasa.

Huo ushujaa ambao hautakusaidia ni bora kuuweka pembeni kwa muda ili umalize muhula wako vizuri. VX V8 kila unapoenda shughulini mwako, kodi ya nyumba, ada zinalipwa bila shida na heshima pia ambayo mtu unakuwa nayo katika wadhifa uliopewa.

Ubaya ni kwamba nyie ambao mnasakama kuwa watu ni dhaifu pia mgefanya hayo hayo ambayo wanayafanya walioko katika nafasi za kisiasa. We una hakika ungeweza kuleta ujuaji ufukuzwe kitengo na kukabidhi ofisi kwa fedhea kubwa?

Ukaanze kula msoto si utaonekana chizi 😁😁😁
... YAANI ...

👊 😅✌️💥
 
Kuna jamaa yangu Mwalimu alikuwa msimamizi mkuu kwenye moja ya vituo vya kura, anasema kituoni kura zilizidi Mara mbili ya kura halali zilizo pigwa baadae ikagundulika wenzake waliingia nazo so solution ni kuacha tu mana kumbe hata wale waangalizi wa upinzani nao walikuwa CCM. NI AIBU KWELI KWA YALIYOFANYIKA.

CCM ijue waliosimamia uchaguzi ni wananchi hivyo uchafu wao unafahamika nje ndani.

Walimu,, Maaskari na Usalama watakufa na siri kubwa sana kwa yaliyofanyika 2020.
CCM ni maiti inayotembea!!
 
Back
Top Bottom