Watu dhaifu ni hatari sana, wanakuwa hatari zaidi wanapopata fursa za uongozi

Watu dhaifu ni hatari sana, wanakuwa hatari zaidi wanapopata fursa za uongozi

Wadhaifu wako wengi Sana katika nchi hii , wafanyakazi wote ni dhaifu, wachache tu ndo sio dhaifu, wanaogopa siku ukipita upinzani mfumo wa utawala unaweza badilika na wakashindwa kukuza matumbo yao. Na wanatishwa kuwa msichague upinzani watabadili mfumo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha hizi sio zama za kutumia akili yako ukipewa wadhifa. Tumia akili uondolewe uanze kupigika na mtaa na mali zako zipigwe pini [emoji23][emoji23][emoji23]!!!

Walikuwepo mashujaa akina Sumaye ila walirudisha majeshi nyuma [emoji16] na kurudi kundini! Uhangaike miaka yote uzeeke umenyang'anywa vitu ulivyovitolea jasho kisa uonekane shujaa!?
Nimekupenda bure ee, yaani humumg'unyi maneno. Nyeupe unaipa jina sawia kuwa ni nyeupe. Walalamishi wengi humu JF yawezekana tunadhani ni mashujaa , kumbe hamna kitu ila hawajapata nafasi tuu.
 
Nimekupenda bure ee, yaani humumg'unyi maneno. Nyeupe unaipa jina sawia kuwa ni nyeupe. Walalamishi wengi humu JF yawezekana tunadhani ni mashujaa , kumbe hamna kitu ila hawajapata nafasi tuu.
Eeh mkuu yani wabongo kuambiana ukweli ni ngumu sana ila mie huwa sikopeshi. Uhalisia ndio huo, ni kwamba wanaolalamika hawajapata chance tu ila lasivyo ndio wangekuwa wale wale tu.
 
Eeh mkuu yani wabongo kuambiana ukweli ni ngumu sana ila mie huwa sikopeshi. Uhalisia ndio huo, ni kwamba wanaolalamika hawajapata chance tu ila lasivyo ndio wangekuwa wale wale tu.
Lakini Pole pole kageuka ama ndio alivyo ?, akiondoka Mkulu anarudi kule kule? Au kwa kuwa cChakula mdomoni hawezi kunena maneno. Kikiondoka anakuwa Pole Pole yule yule ?.
 
Lakini Pole pole kageuka ama ndio alivyo ?, akiondoka Mkulu anarudi kule kule? Au kwa kuwa cChakula mdomoni hawezi kunena maneno. Kikiondoka anakuwa Pole Pole yule yule ?.
Wengi maslahi yakikata akili hurudi😂
 
Hatuna legitimate government ni watu waliojichukulia tu nchi!! Aibu!!
 
Mwigulu Nchemba ni msomi dhaifu. Ni kiongozi dhaifu hata kuliko watu ambao hawajasoma. Amefikia hatua anauliza watu wanadai KATIBA, KATIBA ya nini wakati Magufuli anatosha?
Niliposoma kichwa cha mada yako, sikuwafikiria hao wote uliowataja kwa udhaifu wao. Nilimfikiria mtu mmoja tu ambaye hukumtaja kuwa ni "dhaifu."
 
Back
Top Bottom