Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Kwa uwingi wa wengi tuliokuwa tunajuwa wanaweza kukaza, inanipa shaka sana kama majasiri wapo wengi.Wanajeshi wao ni wanufaika sawa na sanga, nkamia, Kessy,pinda,katambi,musiba, mwigulu,masanja,lugola hofu akiingia mwingine wataishije?
Wa chini hawana nguvu uhaini utawahusu mabosi zao ni wanufaikaKwa uwingi wa wengi tuliokuwa tunajuwa wanaweza kukaza, inanipa shaka sana kama majasiri wapo wengi.
Yawezekana hata hao tunaosema leo ni majasiri yawezekana mchongo haujawapitia, itakapo tokea umepita tusishangae kima Mr. Slow slow wakaongezeka idadi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Defence zipo ila siyo za kumfanya mtu kuwa mdhaifuuuNyie hamjui defense mechanism za njaa
Kweli nakubali. Ukiwasikiliza uko bungeni wanakwambia vijana mtani wajiajiri wakati wao wenyewe wameajiriwa na hawana uwakika kama ajira itakuwa ya kudumj. Senzi sanaaaaaaaHofu akiingia mwingine watakufa njaa.Hawana maarifa ya kuishi nje ya kupewa
Mbona mnamkumbatia Sasa??Mwigullu Nchemba alifaa kuwa mchungaji kama mzee wa upako!
Furthermore, members of political oposition and civil societies must play their part in building model citizens that can make useful contributions to national unity, growth and values of integrity.Ukiwasilishwa na viumbe wenye majina kama haya, mfano tu ... taletale .... ujue unaishi kwenye nchi hii where the GODS are not merely CRAZY but certified to citizenship in cuckoo land. Kukumbatia UJINGA in the case ya mega ignoramus mithili ya TRUMP ni pamoja na hii:
. βThe collateral damage, when you keep unleashing lies, sow the wind of tribalism and pour that poison into the veins of people, is the system becomes so septic that violence spews out of it.β
Sooner or later. Watch this space
Umesema ukweli mtupu. Na ndiyo maana uchaguzi ulipinduliwa ili wabunge dhaifu wapite kwa wingi. Magufuli anawapenda sana.Naam, wana bodi !
Niende moja kwa moja kwenye mada. Nayo inahusu watu dhaifu. Watu dhaifu ni watu hatari sana. Wakiwa wanasiasa wanakuwa hatari zaidi. Ni waoga wa mabadiliko. Waangalie wale wote waliobeba agenda ya mitano tena. Karibu wote ni dhaifu kisiasa na kijamii. Wanaposema mitano tena wanasukumwa na ubinafsi na kuogopa kuwa akija kiongozi mwingine watabaki na ulaji wao kweli??
Ukimtazama yule Mbunge wa Makambako utagundua haya ninayosema. Kwanza yule hata darasa la Saba hajafika, anawaza kwamba hivi akija kiongozi mwingine atakubali kumwacha aendelee kugombea ubunge na elimu yake duni ilihali ndani ya chama kuna wasomi wazuri tu? Kwa hiyo dawa ni kujifanya anampenda Rais na kutaka aendelee milele. Ni udhaifu wake ndio uliomfikisha hapo.
Mwigulu Nchemba ni msomi dhaifu. Ni kiongozi dhaifu hata kuliko watu ambao hawajasoma. Amefikia hatua anauliza watu wanadai KATIBA, KATIBA ya nini wakati Maguli anatosha? Unajua kwanini? Amejua mapungufu ya mtukufu bosi wake kwa hiyo yupo tayari kuweka pembeni elimu yake yote ilimradi anapata mkate wa kila siku na kulinda maslahi yake kisiasa. Ni mtu dhaifu siyo mtu wa principles.
Kuna yule sijui Kessy, Mbunge Wa zamani wa Nkasi. Wajumbe walimchinjia baharini baada ya kuona amebeba agenda mfu. Nkamia naye wajumbe waliona dawa inayomfaa ni kumchinjia baharini. Ametulia !
Ninachotaka kusema ni kwamba watu dhaifu popote pale ni hatari. Wanakuwa hatari zaidi wanapokuwa wanasiasa. Mara nyingi hawana aibu. Ni wajinga wa milele. Kwao wao ustawi wa Nchi siyo kitu cha maana kuliko mafanikio yao binafsi. Hawabebi agenda za Nchi. Hawaangalii ajira kwa vijana, Utawala bora, Taswira ya Nchi Duniani n.k.
Kuna mjinga moja bila aibu aliutangazia ulimwengu kuwa ati watanzania sisi tunatamani kuona Chato ina kuwa kama Singapore!!! Kweli? Watu dhaifu wakimzunguka Rais ni hatari sana. Watu dhaifu nadra sana kutumia akili, mara nyingi huenenda na alama za nyakati au huangalia upepo unavuma kuelekea wapi. Hao ni watu dhaifu.
Sasa we unafikiri mtaani kuzuri jamaa, hata mie ningecheza CD ilioko redioni kwa sasa.
Huo ushujaa ambao hautakusaidia ni bora kuuweka pembeni kwa muda ili umalize muhula wako vizuri. VX V8 kila unapoenda shughulini mwako, kodi ya nyumba, ada zinalipwa bila shida na heshima pia ambayo mtu unakuwa nayo katika wadhifa uliopewa.
Ubaya ni kwamba nyie ambao mnasakama kuwa watu ni dhaifu pia mgefanya hayo hayo ambayo wanayafanya walioko katika nafasi za kisiasa. We una hakika ungeweza kuleta ujuaji ufukuzwe kitengo na kukabidhi ofisi kwa fedhea kubwa?
Ukaanze kula msoto si utaonekana chizi [emoji16][emoji16][emoji16]
Wabunge wa tume hawana uhakika wa kushinda kwa kura njia pekee ni kuondoa ukomoKweli nakubali. Ukiwasikiliza uko bungeni wanakwambia vijana mtani wajiajiri wakati wao wenyewe wameajiriwa na hawana uwakika kama ajira itakuwa ya kudumj. Senzi sanaaaaaaa
hivyo hHii inaitwa cynicism
Naunga mkono hoja yako.Naam, wana bodi !
Niende moja kwa moja kwenye mada. Nayo inahusu watu dhaifu. Watu dhaifu ni watu hatari sana. Wakiwa wanasiasa wanakuwa hatari zaidi. Ni waoga wa mabadiliko. Waangalie wale wote waliobeba agenda ya mitano tena. Karibu wote ni dhaifu kisiasa na kijamii. Wanaposema mitano tena wanasukumwa na ubinafsi na kuogopa kuwa akija kiongozi mwingine watabaki na ulaji wao kweli??
Ukimtazama yule Mbunge wa Makambako utagundua haya ninayosema. Kwanza yule hata darasa la Saba hajafika, anawaza kwamba hivi akija kiongozi mwingine atakubali kumwacha aendelee kugombea ubunge na elimu yake duni ilihali ndani ya chama kuna wasomi wazuri tu? Kwa hiyo dawa ni kujifanya anampenda Rais na kutaka aendelee milele. Ni udhaifu wake ndio uliomfikisha hapo.
Mwigulu Nchemba ni msomi dhaifu. Ni kiongozi dhaifu hata kuliko watu ambao hawajasoma. Amefikia hatua anauliza watu wanadai KATIBA, KATIBA ya nini wakati Maguli anatosha? Unajua kwanini? Amejua mapungufu ya mtukufu bosi wake kwa hiyo yupo tayari kuweka pembeni elimu yake yote ilimradi anapata mkate wa kila siku na kulinda maslahi yake kisiasa. Ni mtu dhaifu siyo mtu wa principles.
Kuna yule sijui Kessy, Mbunge Wa zamani wa Nkasi. Wajumbe walimchinjia baharini baada ya kuona amebeba agenda mfu. Nkamia naye wajumbe waliona dawa inayomfaa ni kumchinjia baharini. Ametulia !
Ninachotaka kusema ni kwamba watu dhaifu popote pale ni hatari. Wanakuwa hatari zaidi wanapokuwa wanasiasa. Mara nyingi hawana aibu. Ni wajinga wa milele. Kwao wao ustawi wa Nchi siyo kitu cha maana kuliko mafanikio yao binafsi. Hawabebi agenda za Nchi. Hawaangalii ajira kwa vijana, Utawala bora, Taswira ya Nchi Duniani n.k.
Kuna mjinga moja bila aibu aliutangazia ulimwengu kuwa ati watanzania sisi tunatamani kuona Chato ina kuwa kama Singapore!!! Kweli? Watu dhaifu wakimzunguka Rais ni hatari sana. Watu dhaifu nadra sana kutumia akili, mara nyingi huenenda na alama za nyakati au huangalia upepo unavuma kuelekea wapi. Hao ni watu dhaifu.
"Ukienda kwa wenye chongo na wewe vunja lako jicho"Hahahahah thats why kuna ule msemo, "In Rome, better act like Romans"
anajua ni wapumbav na waoga. so ni rahis kuwa controlUmesema ukweli mtupu. Na ndiyo maana uchaguzi ulipinduliwa ili wabunge dhaifu wapite kwa wingi. Magufuli anawapenda sana.
Hahahaha hizi sio zama za kutumia akili yako ukipewa wadhifa. Tumia akili uondolewe uanze kupigika na mtaa na mali zako zipigwe pini πππ!!!watanzania wote uwezo wetu wa akili ni mdogo sana ukichunguza vyema hatuna akili kabisa tena viongozi ndo wapumbavu daraja la kwanza waziri unadharishwa w.mkuu unatukaniwa ndugu na jamaa ila upo tu kisa ugali huna cha kufanya
mbunge/waziri unatukanwa alafu unaomba msamaha wewe kisa ugali
hata mimi hapa nasema tu nikipewa teuzi naanza imba mapambio kwa kuogopa kifukuzwa
watanzania hatuji kuendelea kamwe kwa maana ya kuwa na akili ndogo na unafiki.