Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.Bashite Mungu wa Dar
2.Lipumba
7.Jaji Mutungi
8.Mama Tulia Ackson
Sky unahabari za wahenga lolRais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
atakuwa wa yule wa nigeriaZari akizaa mtoto sasa hivi baada ya jamaa yake kufa,atakuwa wake diamond
from Katesh using Siemens C55
The best raper ever last, dead or live no one can be compared to the true legendary Lisane Gerand Crooks a.k.a Tupac Amaru Shakur
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ukute msomaji ni ufoo saro msomaji wa habari Sito Mbeki aitembelea itv.Yeah hata mimi kuna documentary moja hivi tena ya kiswahili niliwahi kuiona. Jamaa ameacha watoto kama watatu hivi.
Mtoto wa mbeki SITO MBEKI haaaahaaaaaaaahaaaaaaa mtangazaj awe demu pale ITV atangaze ujio wa mtt wa mbeki
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hastings hakuwahi kuwa na watoto, inasemekana alihasiwa kwasababu alikuwa daktari WA Malkia wa uingerezaHastings Kamuzu Banda alkua na watoto 3....no research no right 2 speak!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kibao chake kimoja matata sanaHichi kichwa huwa nakosaga majibu nikimfikiria dah Anyway R.I.P The GOAT
Janet anae mmoja bhana, tena kapata baaada Ya kuslim1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Nenda wikipedia mama kasome!Hastings hakuwahi kuwa na watoto, inasemekana alihasiwa kwasababu alikuwa daktari WA Malkia wa uingereza
Sent using Jamii Forums mobile app