Watu 'Powerful' 12 ni akina nani hadi waachiwe kuharibu Bonde la Ihefu?

Watu 'Powerful' 12 ni akina nani hadi waachiwe kuharibu Bonde la Ihefu?

Mbalino makazi ya chifu. Nyumba ya ghorofa mbili ya chifu Merere wa Utengule Usangu Mbeya.

View attachment 2453211
Picha: Makazi ya chief Merere wa Usangu ambaye ukoo wake ulikuwa ukikaribisha wageni toka sehemu za mbali ndani ya Tanganyika pia hadi pembe ya Afrika na hii kufanya himaya yao kuwa na washirika wenye nguvu kulinda himaya ya Usangu na pia kuleta mabadiliko chanya kupitia wadau wa maendeleo toka enzi za miaka ya 1800s
View attachment 2453213
Ngoma ya utamaduni 'yailya' mbele ya iliyokuwa kasri ya Chief Merere wa Usangu


Mwendo wa kukaribia Mbalino makazi rasmi ya Chifu wa Usanga aliyekuwa maarufu nyanda hizo za Utengule kusini magharibi ya Tanganyika

View attachment 2453212

Habari za Utengule Usangu na Chief Merere wa Usangu kwa hisani kubwa ya source : THE CRUMBLING HERITAGE OF THE SANGU

View attachment 2453216

Chief Salehe Alfeo Merere mwaka 2018

View attachment 2453215
Soma zaidi : source : BOMA LA CHIFU MERERE WA USANGU LINAVYOWAVUTIA WAGENI KUTEMBELEA

Chifu Merere wa miaka ya 1800s anaelezewa kwa kina Mzee wa Usangu. Bonde la Usangu lina makabila mengi Wasangu, Wabaluchi, Wamasai, Wahehe, Wanyakyusa, Wasukuma ambao wote walikaribishwa na utawala wa Chifu Merere na kulowea mpaka leo


Wenyeji hao wa Usangu kutoka jamii tofauti ni wakulima na wafugaji
Source : MbeyaYetuOnlineTV
 
PART II: MAISHA YA UMOJA WA WANA WA ENEO LA USANGU BILA UBAGUZI TANGU ENZI YA CHIFU MERERE

 
TOKA MAKTABA 2013
SAFARI KUELEKEA BONDE LA IHEFU MVUA ILIPINYESHA MIAKA 9 ILIYOPITA



PART II : SAFARI KUELEKEA BONDE LA IHEFU, MIAKA 9 ILIYOPITA

Source : Calvin Gwabara
 
Picha-na.-1-1-1024x661.jpg

12 January 2021

Changamoto zilizopo kwenye Ranchi ya Usangu

1671893875191.png


……………………………………………………………
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki (aliyesimama), akizungumza na baadhi ya wakulima na wafugaji wanaofanya shughuli zao kwenye Ranchi ya Usangu iliyopo Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, pamoja na baadhi ya wawekezaji waliopatiwa vitalu katika ranchi hiyo wakati alipofanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani humo. Kulia kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune.
Picha-na.-3AAA-1024x576.jpg


Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) Bw. Masele Mipawa akitoa taarifa ya madeni ya wawekezaji waliopatiwa vitalu kwenye ranchi za taifa zilizopo maeneo mbalimbali nchini wakati wa kikao cha Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki na baadhi ya wakulima na wafugaji wanaofanya shughuli zao kwenye Ranchi ya Usangu iliyopo Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, pamoja na baadhi ya wawekezaji waliopatiwa vitalu katika ranchi hiyo. Bw. Mipawa amesema NARCO inawadai wawekezaji zaidi ya Shilingi Bilioni Sita

15 October 2022

MKUU WA MKOA NA DC WALALAMIKA NA KUIELEKEZEA KIDOLE NARCO KUWA WAGUMU KUTOA TAARIFA KWA WENZAO SERIKALINI

 
24 December 2022
Dar es Salaam, Tanzania

LIVE: "TUMEKABIDHI MAJINA YA FAMILIA 12 KWA MAKAMU WA RAIS ZINAZOHARIBU MAZINGIRA". MECIRA



Taasisi ya MECIRA imesema kwa sasa mikoa ya Shinyanga, Singida, Kigoma , Katavi, Morogoro n.k mazingira yake yameathirika vibaya sana na uharibifu unaotokana na shughuli za kibinadamu ...

Taasisi ya MECIRA inasema itaendelea kuibua uharibifu wa mazingira unaoendelea nchini kote ...
Source : Jamvi online TV
 
21 November 2022
MFEREJI ULIOJENGWA UKUTA MKUBWA KUZUIA MAJI KUINGIA MTO RUAHA MKUU WAANZA KUBOMOLEWA
-



Ni utekelezaji wa maagizo 10 ya Makamu wa Rais kuhakikisha mabanio yote haramu ya maji yanabomolewa - Inakadiriwa umegharimu zaidi ya Milioni 400.

- Kazi zaidi inahitajika kufanyika kubomoa kingo nyingine Siku chache baada ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango kuzielekeza Mamlaka zinazosimamia mto Ruaha Mkuu kuhakikisha vizuizi vyote vinaondolewa Ili kuuruhusu mto huo kutiririsha maji kama kawada.

Moja kati ya kizuizi kikuu Cha mto Ruaha kupata maji kimeanza kuondolewa Hapa ni Kata ya Imalio Usongwe katika mfereji wa nguvu kazi Mwanavala unaopeleka maji katika mashamba ya mnazi katika eneo la Warumba yanayotakiwa kuingia katika Mto Ruaha Mkuu na kuelekea hifadhi ya Taifa ya Ruaha, Bwawa la Mtera, Kidatu, Bwawa la Nyerere na hatimaye Bahari ya Hindi.

Zoezi la kubomoa mabanio haya yasiyorasmi yanayotumika kuchepusha kinyume na sheria kutoka katika Mto Mfereji huu unakadiriwa kuwa umejengwa kwa zaidi ya Milion 400 miaka kadhaa nyuma.

Jitihada za kuuokoa mto Ruaha Mkuu kuufanya uwe unatiririsha maji mwaka mzima Zinaendelea na Mto Ruaha kuacha kukauka mwaka mzima INAWEZEKANA.

Ukiokoa mtiririko wa Maji mto Ruaha Mkuu maana yake umeoko na kuilinda Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Maana yake pia umalihakikishia Taifa Upatikanaji wa umeme katika Bwawa la Mtera, Kidatu na Nyerere linaloelekea kukamilika.
Source : JAMVI online TV

Halafu kuna mtu anadai eti mitambo ni mibovu na mwendazake alikuwa analazimisha isifungwe ndio maana kulikuwa hakuna mgao, yeye kama kinara kabaki kuuza gesi badala ya kwenda kufungua vyanzo vya nishati, watu wakisema mgao huu ni wa makusudi baba zao wanakuja juu na kutukana waandishi wa habari na mtoto mpendwa analalamika kwa mama kuwa anatukanwa sana, wakati uwezo wake ni mdogo. haya ndio matokeo ya walamba asali, si ajabu Polepole aliwaita wahuni.
 
Back
Top Bottom