Watu 'Powerful' 12 ni akina nani hadi waachiwe kuharibu Bonde la Ihefu?

Watu 'Powerful' 12 ni akina nani hadi waachiwe kuharibu Bonde la Ihefu?

Kumbe? Sasa akiitwa shetani usikasirike
Eh! Hayo ya kukasirika yanatoka wapi tena? Muhimu kuelewa ni kwamba hata wale ambao waliguswa na utawala wa Magufuli hata kama walistahili ila nao watasema Magufuli ni shetani na Kikwete kutokana na uongozi wake wa kishikaji ndio ndio moja ya sababu ya kuitwa dhaifu.
 
Eh! Hayo ya kukasirika yanatoka wapi tena? Muhimu kuelewa ni kwamba hata wale ambao waliguswa na utawala wa Magufuli hata kama walistahili ila nao watasema Magufuli ni shetani na Kikwete kutokana na uongozi wake wa kishikaji ndio ndio moja ya sababu ya kuitwa dhaifu.
Magufuli pia kutokana na kuteka, kubambikiza kesi, kuua, kufunga na kufilisi watu ndiyo sababu anaonekana shetani
 
Hii sinema mmeletewa watz kama sinema zingine tu

Ova
 
Bonde la Ihefu limeharibika kabla hata Magufuli hajawa Rais
Magufuli alichoweza ni kuua na kufunga tu watu wa Chadema, hakuweza kingine chochote
Kwani kipindi cha Magufuli haya matatizo ya umeme na maji yalikuwepo?Haya mambo ya Ihefu yamejitokeza tu badaa ya tatizo la umeme kukatika katika na kuanza kusingizia kuwa kukatika umeme ni sababu vyanzo vya maji kuhujumiwa,sasa Magufuli angeliwazuiaje wakati hakukuwepo na matatizo ya umeme kukatika?
 
Tukubali au tusikubali, JPM alikuwa CHUMA, ndo maana haya madudu hayakufanyika wakati wake.
Mbona hakuweka hadharani taarifa ya akina Bashiru kuhusu maliza CCM na wanaozitafuna?
 
Kwani kipindi cha Magufuli haya matatizo ya umeme na maji yalikuwepo?Haya mambo ya Ihefu yamejitokeza tu badaa ya tatizo la umeme kukatika katika na kuanza kusingizia kuwa kukatika umeme ni sababu vyanzo vya maji kuhujumiwa,sasa Magufuli angeliwazuiaje wakati hakukuwepo na matatizo ya umeme kukatika?
Kazikwe nae Chato
 
Kwani kipindi cha Magufuli haya matatizo ya umeme na maji yalikuwepo?Haya mambo ya Ihefu yamejitokeza tu badaa ya tatizo la umeme kukatika katika na kuanza kusingizia kuwa kukatika umeme ni sababu vyanzo vya maji kuhujumiwa,sasa Magufuli angeliwazuiaje wakati hakukuwepo na matatizo ya umeme kukatika?
Umeme ulikuwa unakatika bila hata taarifa nani angehoji. Sasa hivi tunapewa taarifa.
 
Kwani kipindi cha Magufuli haya matatizo ya umeme na maji yalikuwepo?Haya mambo ya Ihefu yamejitokeza tu badaa ya tatizo la umeme kukatika katika na kuanza kusingizia kuwa kukatika umeme ni sababu vyanzo vya maji kuhujumiwa,sasa Magufuli angeliwazuiaje wakati hakukuwepo na matatizo ya umeme kukatika?
Labda wakati huo ulikuwa sehemu ambayo hapakuwa na umeme ndo maana hujui kama ulikuwa unakatika.
 
ADMIN NIMESOMA MAANDIKO YA WACHANGIAJI NAOMBA UFUTE TU SWALI LANGUU KULINDA YAJAYO...TATADHALI..AHSANTE HUKU NIMEKUJA BAHATI MBAYA LOU
 
Mbalino makazi ya chifu. Nyumba ya ghorofa mbili ya chifu Merere wa Utengule Usangu Mbeya.

View attachment 2453211
Picha: Makazi ya chief Merere wa Usangu ambaye ukoo wake ulikuwa ukikaribisha wageni toka sehemu za mbali ndani ya Tanganyika pia hadi pembe ya Afrika na hii kufanya himaya yao kuwa na washirika wenye nguvu kulinda himaya ya Usangu na pia kuleta mabadiliko chanya kupitia wadau wa maendeleo toka enzi za miaka ya 1800s
View attachment 2453213
Ngoma ya utamaduni 'yailya' mbele ya iliyokuwa kasri ya Chief Merere wa Usangu


Mwendo wa kukaribia Mbalino makazi rasmi ya Chifu wa Usanga aliyekuwa maarufu nyanda hizo za Utengule kusini magharibi ya Tanganyika

View attachment 2453212

Habari za Utengule Usangu na Chief Merere wa Usangu kwa hisani kubwa ya source : THE CRUMBLING HERITAGE OF THE SANGU

View attachment 2453216

Chief Salehe Alfeo Merere mwaka 2018

View attachment 2453215
Soma zaidi : source : BOMA LA CHIFU MERERE WA USANGU LINAVYOWAVUTIA WAGENI KUTEMBELEA

Chifu Merere wa miaka ya 1876s anaelezewa kwa kina na wenyeji wa ndani ndani kabisa wa Bonde la Usangu ambao ni Wasangu, waburushi /baluchistan , Wahehe, Wawanji, Wamasai, Wasukuma n.k ..... na ujio wa watu kutoka pande zote



Source : MbeyaYetuOnlineTV
 
Back
Top Bottom