Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba hao watu wamemiliki hilo eneo baada ya Jiwe? jamaa yenu alikuwa mtu wa KAMBA sanaMzilankende Ndiyo Aliweza Hayo Alitamka Go And Touch, Untouchable
Haa Hapo Ilikuwa Hofu Tele
Ni taarifa inayoonesha kwamba hatutaendelea. Tuna kundi la watu wa hovyo, lakini wanaitwa ni powerful!
Kwa maoni yako endelea;
Kama hujui ni kwamba, ndani Chadema John Heche ni very powerful! Wengi wanamfikiria kuchukua nafasi ya Ayatollah Mbowe! Ahahahahah! Hofu iliyopo asije akawa kama Chacha Wangwe! RIP!!kawa powerful kuanzia lini?
Nitetee mafisadi? Nachopinga ni hii tabia ya kumfanya JPM alikua exceptional wakati ni yaleyale tu wote ni CCM na wote wanalinda mafisadi.Hata kama ila safari hii wamezidi.
Bora jpm alikuwa angalau anawatisha,
Alafu mbona unaitetea sana hii awamu? Nawe una ramba asali?
Untouchables wako kila regime. Kwa JPM wafuatao walikuwa untouchables; Makonda, Sabaya, Mnyeti, Ditto James, Mayanga construction,Hapo ndio tutamkumbuka JPM, hakukuwa na untouchable!
Ila hii sirikali ya kimama mmmh
Angalau alijikuna kwa kuwanyanganya kina Rostam chanel ten.. Vipi hawa wa sasa umeona hata kuna lolote linafanyika kweli?Nitetee mafisadi? Nachopinga ni hii tabia ya kumfanya JPM alikua exceptional wakati ni yaleyale tu wote ni CCM na wote wanalinda mafisadi.
JPM alishindwa kumkamata hata mmoja kwenye Ile ripoti ya Bashiru ya ukaguzi wa mali za chama!! Sasa ana tofauti gani na mafisadi wa awamu ya sita?
Mipango yupi?Utakuta Hawa Wanafamilia 12, wameanza hii shughuli baada ya JPM kufariki.
Tumtume nani Sasa?? Mipango?? Ataweza kweli ??
Sijasema Kikwete alikuwa kiongozi mbaya ila alikuwa dhaifu, hicho ndio nilichokisema.Na kuna wengi pia walimuona Kikwete alikuwa kiongozi mzuri, so ni suala la mtanzamo tu
Waliwataja hao miamba 12Magazeti ya leo front page itakuwa ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji1] [emoji1]Wewe hata mkeo akizabua makofi utamshukuru Samia
Kwanini asiwataje yeye hapoMnafki
Yah tatizo ni leadershipNchi ina kila aina ya utajiri lakini imekosa viongozi, inasikitisha sana.
Mbn sahv yuko kimyaBasi ingekuwa enzi za Dkt Magufuli kigogo2014 angetoka na bonge uzushi
Hayo matuta yalijengwa kipindi cha huyo huyo mwendazakeHapo ndio tutamkumbuka JPM, hakukuwa na untouchable!
Ila hii sirikali ya kimama mmmh
Na wao wanasema Magufuli alikuwa shetaniSijasema Kikwete alikuwa kiongozi mbaya ila alikuwa dhaifu, hicho ndio nilichokisema.