BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Upuuzi mtupu. Yani mtu mmoja au wawili au watatu watikise nchi nzima! Hii Tanzania nchi ya kifala sana. Taifa la watu milioni 60+ lipelekeshwe na familia kadhaa, chinjia baharini hao watu maisha yaendelee, sijui wanakwama wapiJe hamkuwahi kuambiwa kuna watu wakiguswa nchi itatetemeka?