Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Vyovyote itakavyokuwa ila najua mzee baba wa kutabasamu hakosekani humo au familia yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora huyo jpm alikuwa hata anakamata japo anawaachia!Mbona mnamkuza sana JPM kwamba wakati wake hakukua na untouchables? Nchambi si akikamatwa na bunduki za kutosha na meno ya tembo vipi mbona alitoka uraini kwa faini ndogo tu!!!
Mwanyika alipewa ubunge kabisa licha ya kesi juu ya ushiriki wake kwenye kutorosha Makinikia!!
Alitambulika na watu gani?Magufuli tena kaingiaje mbona mimi sijamtaja? Mie nimesema tu Kikwete alitambulika kuwa ni rais dhaifu basi.
Hayo Ni matokeo ya Sera Bora kabisa za Dk.Samia 👇Wewe hata mkeo akizabua makofi utamshukuru Samia
kawa powerful kuanzia lini?Hata John Heche kawekeza hapo.
Lazima mataahira akitajwa jpm mata. Kle yaanze kupwita.Yamefanyika hata kabla shetani Magufuli hajawa Rais na yeye alibaki akikodoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango!
Wamekamata lile jambazi Sabaya, sasa hivi linanyea ndooBora hata huyo aliwakamata!
Vipi hawa mirenda wa sasa hivi umeona hata wamekamata mtu?
Chanel ten ilikuwa mali ya ccm toka zamani kina Rostam wakaipora enzi za kina jk,Labda kama umezaliwa jana , unazifahamu sababu za Channel 10 kuwa mali ya ccm ?
Halafu mbona hilo jambo halikuwa la siri ! kila mtu mwenye macho aliona
Mbona hakuwagusa Sasa? Balile anasema fedha ya kujengea tuta toka WB iko kwenye account ni mwaka wa 6 Sasa.Mzilankende Ndiyo Aliweza Hayo Alitamka Go And Touch, Untouchable
Watanzania walifanywa Mazezeta na jiweHela ya kampeni inachotwa hazina kwani wana wasiwasi gani wakati Watanzania ni mazezeta yasiyoweza kuhoji fedha zao!
Hii misukule utaiweza basi...Mbona hakuwagusa Sasa? Balile anasema fedha ya WB iko kwenye account ni mwaka wa 6 Sasa.
Wezi wa escro walitiwa ndani mkapiga kelele eti jpm ana chuki na matajiri.Whatever the case hoja hapa ni kwamba untouchables walikuwepo hata kipindi Cha JPM. Huyo Mwanyika si JPM alisema kasababisha Tumeibiwa Makinikia ya matrillion ila faini less than 1 Billion!!
So CCM ni wale wale tu JPM wasn't anything special otherwise wezi wote wa Escrow na EGMA wangekua jela.
Ahh maskini! Kumbe Lukuvi anakufa na tai Shingoni? Sasa tayari naanza kuunganisha dots kuanzia hapo! [emoji24][emoji24][emoji24]Hizi familia 12 tunaomba zisishiriki mchakato wa mwaka2025.
Ni kundi hatari sana.
Lukuvi hizi familia anazifahamu na ndizo zilimchomoa Uwaziri
Hata kama ila safari hii wamezidi.Sasa JPM alimfunga nani Kila mtu pesa ilikua inaongea? Nchambi na Mwanyika walikua na kesi za mabilion ila wakalipa fine chini ya 1% walioiba!! utadhani madhara yaliyoletwa na ufisadi yanakua solved kwa pesa pekee.
Huyo Mwanyika kutoka kuitwa msaliti Hadi kupewa ubunge na JPM Tena alimfanyia kampeni kabisa.
Untouchables walikuwepo miaka yote hata JPM aliwajua ila aliwalinda tusidanganyane hapa kwamba alishughulikia mafisadi kama alikua na jeuri hiyo angewashughulikia wezi wa mali za CCM.
Hata kama ila safari hii wamezidi.Sasa JPM alimfunga nani Kila mtu pesa ilikua inaongea? Nchambi na Mwanyika walikua na kesi za mabilion ila wakalipa fine chini ya 1% walioiba!! utadhani madhara yaliyoletwa na ufisadi yanakua solved kwa pesa pekee.
Huyo Mwanyika kutoka kuitwa msaliti Hadi kupewa ubunge na JPM Tena alimfanyia kampeni kabisa.
Untouchables walikuwepo miaka yote hata JPM aliwajua ila aliwalinda tusidanganyane hapa kwamba alishughulikia mafisadi kama alikua na jeuri hiyo angewashughulikia wezi wa mali za CCM.
Ahh maskini! Kumbe Lukuvi anakufa na tai Shingoni? Sasa tayari naanza kuunganisha dots kuanzia hapo! [emoji24][emoji24][emoji24]Hizi familia 12 tunaomba zisishiriki mchakato wa mwaka2025.
Ni kundi hatari sana.
Lukuvi hizi familia anazifahamu na ndizo zilimchomoa Uwaziri
Hata kama ila safari hii wamezidi.Sasa JPM alimfunga nani Kila mtu pesa ilikua inaongea? Nchambi na Mwanyika walikua na kesi za mabilion ila wakalipa fine chini ya 1% walioiba!! utadhani madhara yaliyoletwa na ufisadi yanakua solved kwa pesa pekee.
Huyo Mwanyika kutoka kuitwa msaliti Hadi kupewa ubunge na JPM Tena alimfanyia kampeni kabisa.
Untouchables walikuwepo miaka yote hata JPM aliwajua ila aliwalinda tusidanganyane hapa kwamba alishughulikia mafisadi kama alikua na jeuri hiyo angewashughulikia wezi wa mali za CCM.
Ahh maskini! Kumbe Lukuvi anakufa na tai Shingoni? Sasa tayari naanza kuunganisha dots kuanzia hapo! [emoji24][emoji24][emoji24]Hizi familia 12 tunaomba zisishiriki mchakato wa mwaka2025.
Ni kundi hatari sana.
Lukuvi hizi familia anazifahamu na ndizo zilimchomoa Uwaziri
We ushawahi kumpa rushwa ya sh ngapi?Ni mnafiki na mla rushwa haswa