WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Kwani ni uongo au wewe ni Balile.Huwa hamkosekani watu dizaini yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni uongo au wewe ni Balile.Huwa hamkosekani watu dizaini yako
Tatizo unafikiri huo ubongo utabeba mawazo ya wachache! Ulinzi na usalama ni wa raia wote lakini mipango na mbinu si kazi ya raia wote!Hakuna kitu kama ubongo wa Taifa. Kila kitu kinaanza na kuisha na raia walio wengi wenyewe. Kama raia mlio wengi hamna akili hata mngepewa CIA au Mossad wawaendeshe mtabaki mafukara tu.
Unawakilisha familia 12 ndugu?Balile yupo vuzuri lakini hana minzani sawa kwenye habari akikuchukia atakusema hata mambo ambayo hujafanya! rafiki yake huyo na yule kijana wa mtama aliyekanyaga makalio dada zetu na mama zetu
Ana backupHuyu mwandishi wa habari anatufaa
Ni mnafiki na mla rushwa haswaBalile yupo vuzuri lakini hana minzani sawa kwenye habari akikuchukia atakusema hata mambo ambayo hujafanya! rafiki yake huyo na yule kijana wa mtama aliyekanyaga makalio dada zetu na mama zetu
Mmojawapo wa zile familia 12 ni huyu hapaNi mnafiki na mla rushwa haswa
Huyu mwandishi wa habari anatufaa
Magufuli tena kaingiaje mbona mimi sijamtaja? Mie nimesema tu Kikwete alitambulika kuwa ni rais dhaifu basi.Kikwete aliwafunga mawaziri wastaafu, vigogo wa polisi, Magufuli amemfunga nani kwa ufisadi? Sugu na madiwani wa Chadema?
Utakuta Hawa Wanafamilia 12, wameanza hii shughuli baada ya JPM kufariki.
Tumtume nani Sasa?? Mipango?? Ataweza kweli ??
Hayo aliyoweza kuyagusa tu imekuwa balaa imemfanya achukiwe na mwishowe ikaonekana kafa kwa sababu hakuwa mtu mzuri kwa maana wazuri hawafi.Walikuwepo before JPM na wapo after JPM Mnazani Magu aliweza kumgusa kila mwizi TZ kuna royal families ambazo hazigusiki
Hatuna viongozi ila tuna midoli tu iko pale imekaaNimemsikiliza ndugu yangu Balile! Kwa aliyosema ni mambo mazito yanayofanya kama Taifa tujiulize mamlaka zetu hasa za usalama wanamuogopa nani kwenye ulinzi wa rasilimali zetu?
Balile binafsi nimekupa heshima ya pekee kwa hili.
Bora hata huyo aliwakamata!Hakuwa na lolote yule jamaa , mdogo wa Rostam Aziz alipodakwa na Makontena ya meno ya tembo pamoja na mibunduki kadhaa ya kivita , Jiwe alikubali Rushwa ya Channel 10 ili yaishe.
Umesahau hili ?
Wewe hata mkeo akizabua makofi utamshukuru SamiaAshukuriwe Rais Samia kwa kurejesha Uhuru wa maoni mpaka watu wanafunguka bila hofu..