misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Na big fish eats small fish... 😂Big animals eat small animals
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na big fish eats small fish... 😂Big animals eat small animals
Haiwezi? Hela za kampeni 2025 unadhani zinatoka wapi?Nchi haiwezi kutetemeka kwa hawa wanaovunja sheria!
Akalipa faini na kuachiwa huru ! [emoji38][emoji38][emoji38]Kwaiyo Rostam angelifungwa wewe ungenifaika nini? Sinibora alivyohongwa Chanel 10, Sasahivi inalingizia taifa mapato, juzi kuna Mchina amekamatwa ameua tembo zaidi ya 500 amehukumiwa kifungo cha miezi 6 au kulipa faini ya laki tano.
Halafu JPM akajipendekeza hadi kumpa ubunge MwanyikaSasa JPM alimfunga nani Kila mtu pesa ilikua inaongea? Nchambi na Mwanyika walikua na kesi za mabilion ila wakalipa fine chini ya 1% walioiba!! utadhani madhara yaliyoletwa na ufisadi yanakua solved kwa pesa pekee.
Huyo Mwanyika kutoka kuitwa msaliti Hadi kupewa ubunge na JPM Tena alimfanyia kampeni kabisa.
Untouchables walikuwepo miaka yote hata JPM aliwajua ila aliwalinda tusidanganyane hapa kwamba alishughulikia mafisadi kama alikua na jeuri hiyo angewashughulikia wezi wa mali za CCM.
Ni taarifa inayoonesha kwamba hatutaendelea. Tuna kundi la watu wa hovyo, lakini wanaitwa ni powerful!
Kwa maoni yako endelea;
Ni taarifa inayoonesha kwamba hatutaendelea. Tuna kundi la watu wa hovyo, lakini wanaitwa ni powerful!
Kwa maoni yako endelea;
Ndio ni kila kitu! Ndipo nchi inapoanzia na kuishia! Ndipo panapaswa kuwa ubongo wa Taifa.Ni mawazo ya hovyo na potofu kufikiria usalama ndio muarobaini wa kila kitu.
Unakataa ukweli wake? Akitajwa tuu mungumtu wenu basi hamtaki tena ukweli usemwe! Kumbe hata Prof Jalalani alipomuita mheshimiwa mungu haikuwa bahati mbaya!Lini utaacha upumbavu wako?[emoji706][emoji706]
Hata Iddi Amin aliwahi kuwaambia waandishi "uhuru wa kusema naweza kuwahakikishia lakini uhuru baada ya kusema siwezi kuahidi".Ashukuriwe Rais Samia kwa kurejesha Uhuru wa maoni mpaka watu wanafunguka bila hofu..
Kama katika "list of shame'" mafisadi papa yalitajwa kwa majina bila ya kupepesa macho, sasa inashindikanaje sasa kwa hawa wahujumu wa miundombinu muhimu ya maji hapa nchini. Hata kama kiserikali katika hatua ni mapema mno kuwataja ili kupisha uchunguzi zaidi. Lakini wapo watu jasiri ambao hawana kifua na wana uthubutu wa kufanya hivyo.Yaani kilichonifurahisha ni kuwa hawa watu Wenye pembe 12,hata humu JF wamewaogopa kuwataja hata kwa abbreviations zao. Kweli kuna watu wamitia mfukoni Nchi hii.
Na mawakala waowatu wao wapo ccm.
Hakuna kitu kama ubongo wa Taifa. Kila kitu kinaanza na kuisha na raia walio wengi wenyewe. Kama raia mlio wengi hamna akili hata mngepewa CIA au Mossad wawaendeshe mtabaki mafukara tu.Ndio ni kila kitu! Ndipo nchi inapoanzia na kuishia! Ndipo panapaswa kuwa ubongo wa Taifa.
Ndiyo maana tunasema CCM ni Chama Cha MafisafiHakuwa na lolote yule jamaa , mdogo wa Rostam Aziz alipodakwa na Makontena ya meno ya tembo pamoja na mibunduki kadhaa ya kivita , Jiwe alikubali Rushwa ya Channel 10 ili yaishe.
Umesahau hili ?
Amekanyaga live wirekwa hii nchi kajimaliza, from day one watu wapo kazini dhidi yake,akae chonjo kagusa maslahi ya watu
Kwani alichosema uongo au wewe ulikuwa kwenu Burundi kipindi hayo yanatokea?Lini utaacha upumbavu wako?[emoji706][emoji706]
Kwani hilo bonde la Ihefu limeanza kuharibiwa mwaka jana? Kwa nini kipindi chake alipokuwa Rais hakufanya kitu?Mzilankende Ndiyo Aliweza Hayo Alitamka Go And Touch, Untouchable
Haa Hapo Ilikuwa Hofu Tele